Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na videos zinazoonyesha nyuma ya CBD tena kwa mbali kabisa, hizo picha umeweka humu zimepigwa kutokea ofisi za mabasi Nata.. chukua hii inayoonyesha sura ya NWANZA CBD, pita humu mzee Walker .. 👇. Inaonekana wewe kwa Mwanza ni mpita njia tu huijui hata.. Owky endelea kuiona Mwanza 👇. Pitia na humu 👇. Unajifurahiisha unavyozungumzia masuala ya siting plan halafu unaipigia mfano kenya unasahau kwamba hii 👇ni mobasa
3016034_JamiiForums1710910803.jpg
kenyan's second largest city . Hii tofauti na Mwanza kuwa ni mji uliopo kwenye mawe, kuna sitting plan hapa mombasa.? Naona unapiga piga kelele kuhusu makazi ya Mwanza.. kwakua uliitolea Kenya mfano ngoja na mimi nikutolee mfano haya ni makazi duni ya watu wa Mombasa 👇. Halafu njoo ujifunze kuhusu nyumba zilizopo juu ya milima za hali duni na za kitajiri 👇. Halafu nataka utoe maoni yako kati ya mombasa na Mwanza wapi wako na nafuu, na kama jibu ni Mwanza then usitupigie kelele na kututolea mifano ya kenya .. njooni wewe Nicxie pamoja na Tony254 mjifunze hapa ..
 
Hata kama ungekuwa unajua hadi chini ya ziwa Victoria kukoje, hutaweza kukataa the fact kuwa Mwanza haina mpangilio. Watu wanajenga kila mahali na sasa everything is just a mess. Siku nitaenda Mwanza nipige picha mwenyewe.
Kaka naungana na Ichoboy kwamba ukiondoa milimani, kwa asilimia kubwa sehemu tambarare zimejengwa vizuri tu mbona.
 
Ukiangalia vizuri utapata kwamba chanzo cha nyinyi kugongana wenyewe kwa wenyewe ni kwa sababu hampendi kuona mtu akisema ukweli kuhusu nchi yenu, awe ni mtanzania mwenzenu au mkenya.

Hili sio tatizo sana kwetu kwa sababu mambo yetu huwa tunayaweka wazi wala hakuna cha kuficha kitu. Mtanzania ni mtu atakulazimisha mawazo yake yawe ya ukweli hata kama Hakuna chembe cha ukweli kwa analosema ilimradi tu aonekane amekushinda kwa hoja.

Ukijaribu kumkosoa hapo ndio mnakosana. Sisi wakenya hatuna hii tabia na si eti najisifu. Mapungufu yeti tunayakubali, something that most Tanzania don't do in this forum
Hukumbuki jinsi mlivyokua mkimshambulia Mkikuyu- Akili timamu kwa sababu ya kusema ukweli dhidi ya Kenya mkawa mnasema sio mkenya ni mtanzania?
 
ishu siyo kusema ukweli,ishu ni namna gani unauheshimu huo ukweli,

watz wa humu huwa hatuutaki unafki ndiyo maana mara nyingi huwa tunapishana wenyewe kwa wenyewe tofauti na nyie wakenya siku zote huwa mnaogopana na kuogopa kuchambua shida zenu kwa reality,

ndiyo maana mpo hapa kama mazombi hamkosoani wala kupeana ukweli zaidi huwa mnaishia kujazana kichwa
Wakikosoana alafu mmoja akamtishia mwenzie kuweka wazi ushuzi wa nchi yao basi mwengine hukaa kimya na kuogopa kabisa tofauti na cc humu
 
Ukiangalia vizuri utapata kwamba chanzo cha nyinyi kugongana wenyewe kwa wenyewe ni kwa sababu hampendi kuona mtu akisema ukweli kuhusu nchi yenu, awe ni mtanzania mwenzenu au mkenya.

Hili sio tatizo sana kwetu kwa sababu mambo yetu huwa tunayaweka wazi wala hakuna cha kuficha kitu. Mtanzania ni mtu atakulazimisha mawazo yake yawe ya ukweli hata kama Hakuna chembe cha ukweli kwa analosema ilimradi tu aonekane amekushinda kwa hoja.

Ukijaribu kumkosoa hapo ndio mnakosana. Sisi wakenya hatuna hii tabia na si eti najisifu. Mapungufu yeti tunayakubali, something that most Tanzania don't do in this forum
Ok hebu kubali kwamba Kenya inaongoza kwa Slums duniani.
 
Nchi inaexport ombaomba ni Tanganyika. That should tell you how many they are there
Kenyans gangs kidnap physically challenged people from border towns and subject them to begging on the streets this is how low Kenyans have reached with their neighbour's this is done not only with surrounding nations but also within Kenya.
 
View attachment 2026687tuna pigwa vita hapa. mara sio wagandree, mara sio wa rwandii, mara sio wacongolee, mara sio waethiopia, eritrea na somalia, mara sio sasa watanzanii.. hii hela yetu hii.. dollar..
Be informed that now Ksh is exchanged at 15Tzs instead of 22Tzs, and it goes on depreciating against Tzs. And note that Tzs is stronger and has high purchasing power than Ksh.
 
Achana na videos zinazoonyesha nyuma ya CBD tena kwa mbali kabisa, hizo picha umeweka humu zimepigwa kutokea ofisi za mabasi Nata.. chukua hii inayoonyesha sura ya NWANZA CBD, pita humu mzee Walker .. 👇. Inaonekana wewe kwa Mwanza ni mpita njia tu huijui hata.. Owky endelea kuiona Mwanza 👇. Pitia na humu 👇. Unajifurahiisha unavyozungumzia masuala ya siting plan halafu unaipigia mfano kenya unasahau kwamba hii 👇ni mobasaView attachment 2026690kenyan's second largest city . Hii tofauti na Mwanza kuwa ni mji uliopo kwenye mawe, kuna sitting plan hapa mombasa.? Naona unapiga piga kelele kuhusu makazi ya Mwanza.. kwakua uliitolea Kenya mfano ngoja na mimi nikutolee mfano haya ni makazi duni ya watu wa Mombasa 👇. Halafu njoo ujifunze kuhusu nyumba zilizopo juu ya milima za hali duni na za kitajiri 👇. Halafu nataka utoe maoni yako kati ya mombasa na Mwanza wapi wako na nafuu, na kama jibu ni Mwanza then usitupigie kelele na kututolea mifano ya kenya .. njooni wewe Nicxie pamoja na Tony254 mjifunze hapa ..

Tujifunze nini sasa hapo? First, the only Mombasa video you've included ni ya sehemu ya watu wa mapato ya chini. And then you want us to make a comparison with your selected videos of Mwanza showing better areas!

Mombasa isn't the best city, but I can bet on my last penny that it is better in many fronts compared to Mwanza
 
Back
Top Bottom