Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuji console nayo!.. mombasa wachana nayo kabisa.. sio ligi yenu
hata sisi tumewchana nayo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
0B4C2CAB-6ECF-4C5E-B44B-66980438A934.jpeg
561088C8-52FD-463C-8597-16ABC0B6E8D6.jpeg
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wakenya mpo wapi? Kama nawaona jinsi mnavyosakura backfire πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwenye hili wala msijisumbue sababu hamna huo uchumi wa kusomesha first world's universities πŸ‘Œ
 
Kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema wanafunzi wa Tanzania wanategemea vyuo vyenu kupata elimu bora, kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema mna wanafunzi wengi abroad kuliko Tanzania

Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na wanafunzi wengi kwenye international universities worldwide

Therefore ni marufuku Kenya kujilinganisha na Tanzania kiuchumi and social standards of life
 
Kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema wanafunzi wa Tanzania wanategemea vyuo vyenu kupata elimu bora, kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema mna wanafunzi wengi abroad kuliko Tanzania

Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na wanafunzi wengi kwenye international universities worldwide

Therefore ni marufuku Kenya kujilinganisha na Tanzania kiuchumi and social standards of life
 
Back
Top Bottom