Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
They are here illegally bongolala. Ila bado tunawapokea na kuwasaidia😂😂😂 Unajielewa wewe.? yani mtu ni omba omba hiyo nauli atatoa wapi.? Residential permit atapata wapi.? Pesa ya kutengeneza passport atapata wapi.? Mbona una uwezo mdogo sana wa kufikiri .?



.. SGR from Dar to Isaka to Kigali 