Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂 Unajielewa wewe.? yani mtu ni omba omba hiyo nauli atatoa wapi.? Residential permit atapata wapi.? Pesa ya kutengeneza passport atapata wapi.? Mbona una uwezo mdogo sana wa kufikiri .?
They are here illegally bongolala. Ila bado tunawapokea na kuwasaidia
 
Mtu anahitaji shilingi ngapi kama nauri Kutoka Sirari hadi Isebania Kenya? Tumia akili kidogo bongolala.

Unataka tuwafukuze? Hiyo si utu. Mtu ni kilema amekimbia umaskini nchini mwake aje kutafuta angalau sabuni nchini kwenu kisha tena umfukuze? Even God can't be happy with you if you do that. Tutazidi kuwapokea na kuwasaidia kadri ya uwezo wetu as we've always done
kwanini msiwasaidie wakenya wenzenu?

utaratibu wa boda ni lazima uwe na kibali maalum kinachokuruhusu kutoka nchi moja kwenda nchi jirani,tell me kwa upande wenu sheria imekaaje?

au inaacha kuwakagua waremavu smbao kwa mujibu wako unasema kuwa ni omba omba kutoka Tz
 
Kama hio article moja ya Al Jazeera niliyopost bado haijakushawishi basi tazama hizi hapa.
The East African

na The Guardian

Natumai umeshawishika kwamba mama hafuati hizo sheria unazozungumzia wewe.
Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ni ukweli, Kama nilivyokuambia, Nyerere ndiye mwanzilishi wa hii Sheria, Marais wengine wote waliomfuata baada yake waliona kwamba ni Sheria nzuri na kuendelea kuitumia, Kama Samia ameona kwamba haifai na ameiondoa bila hata kushirikisha bunge basi tunamtakia kila la kheri katika uongozi wake, lakini sidhani Kama Samia ana busara kuwashinda watangulizi wake wote.
 
Nashindwa kuelewa wanao shangilia wanashangilia nini?Mzazi anaenda kusoma na asiye mzazi !!wataongea nini! Ikiwa tu mwanafunzi malaya anaweza kuadhiri marafikinzake wote nao wakawa kama yeye( kuna msemo usemao ukitembea na mwizi nawew utakuwa mwizi) Soon tutambiwa na bangi imepita so wanafunzi wavute mpka shuleni
Mkuu Tanzania will never be the same again, let be prepared for the worst", nafasi ya urais ni kubwa Sana kwa Samia Suluhu, hana uwezo nayo.
 
apo mkuu ..inaonekana kama akili ni kbwa kuliko unavo jiaadress
Mkuu akili ya kujieleza na kujibu mtihani ni vitu viwili tofauti, ila sikutegemea kupata division 4, sijui nini kilitokea nilitegemea japo division 3, anyway acha maisha yaendelee.
 
Tatizo la unplanned linajulikana but some towns have tried and Tanga tops in Tz in good planning compared to all those mention
Kama Tanga Ndio mfano wa kuigwa Tanzania Basi nchi inahitaji msaada mkubwa kwenye urban planning.
 
Dead on arrival, at least ungenionyesha horizontal infrastructure, nyumba kama hizo Kenya zinajengwa na mtu mmoja 💩💩💩 Nigeria alaro city chini ya tatu city parent company. It's not too late to ask for help👇👇👇
FB_IMG_1637958330861.jpg

Oya Coco reborn naskia uliiulizia huu mradi leo 👇. 😂😂😂 Mbona hunijibu.? Dege eco village Kigamboni sindio hii au .?
 
We unaijua tanga.? kumbe mtu mwenyewe miji unaiona google tu 😂😂😂😂, safiri fala wewe, kwahiyo kwaakili zako hapo hakuna lami au .? Miji yote ya Africa Iko na makazi ya hovyo na makazi mazuri, ila Tanga hata hayo makazi ya hovyo yana mpangilio .. by the way hakuna jiji hapa tz sijawahi kufika ..hiz picha nimepiga kwa mkono wangu View attachment 2024029View attachment 2024035View attachment 2024039View attachment 2024045View attachment 2024049View attachment 2024053View attachment 2024247
3013728_IMG_20210903_122622_405.jpg
3013745_IMG_20210903_122942_772.jpg
Tanga pia kuna recreational parks tano .. hizi ni mbili nilizopiga picha mimi mwenyewe 👇View attachment 2024215View attachment 2024216View attachment 2024219forodhani Park 👇View attachment 2024222View attachment 2024224View attachment 2024227View attachment 2024229we fala au we sio mtanzania.? Usipende kutoa comment sehemu ambazo wewe mwenyewe haujawahi kufika unaishia kuziona google tu, haya kama wewe ni mtanzania sema unatokea mji gani.? Coco reborn. Vipi una lipi la kusema.? .

View attachment 2024248

View attachment 2024265

Hamna lolote hapa! You’re just patronizing Tanzanians on this thread. Kama Tanga Ndio role model ya miji yote ya Tanzania kwenye urban planning basi ni wazi kuwa hii nchi ina Tatizo kubwa sana.
 
Niseme tu kwa kifupi kwamba kama mamangu mzazi hangepata masomo na hamgesoma hadi college enzi zile za zamani ambapo wasichana hawakuwa wanasomeshwa sana hapa Kenya na yeye kupata kazi nzuri basi mimi nami singepata masomo ya hali ya juu. Pengine hata singemaliza chuo cha sekondari, sahau kabisa mimi kufika chuo kikuu na pia sasa naendelea na masomo zaidi ya hapo. Baba ni kweli alichangia ila alichangia kidogo sana kwenye masomo yangu. Hadi kumaliza kwangu kwa chuo kikuu na hata kupata nafasi za kuenda ulaya yote ilikuwa ni mchango wa mama. So watu wanaofikiria kwamba kusomesha watoto wa kike ni kupoteza hela au kupoteza muda basi hamjui mnachosema.
Kwenye familia ambazo mama Amesoma lazima utaona prosperity. Kuanzia kwenye maisha ya wanafamilia na elimu Kwa watoto. Mama akisoma kuna uhakika mkubwa wa maendeleo ya nyumba Kwa ujumla!

Hii Ndio trend inayoonekana Marekani Kwa sasa.
 
Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ni ukweli, Kama nilivyokuambia, Nyerere ndiye mwanzilishi wa hii Sheria, Marais wengine wote waliomfuata baada yake waliona kwamba ni Sheria nzuri na kuendelea kuitumia, Kama Samia ameona kwamba haifai na ameiondoa bila hata kushirikisha bunge basi tunamtakia kila la kheri katika uongozi wake, lakini sidhani Kama Samia ana busara kuwashinda watangulizi wake wote.
Busara katika hili swala inaonekana pale viongozi wanapotatua tatizo badala ya kuwakomoa watoto Kwa kuwaachisha shule. Sijaona busara yoyote iliyofanywa na viongozi wa nyuma na hata Samia bado hajalishughulikia swala Hili ipaswavyo. Ni jinsi gani tunaweza kupunguza rates za mimba za utotoni? Predecessors wa Samia walichagua kuwatia hofu watoto Kwa kuwaachisha shule lakini bado maelfu ya wasichana waliendelea kupata mimba wakiwa shule. Assumption yao ni kuwa mimba za utotoni ni fault ya watoto peke yao. Lakini this issue is complicated than that. Hivyo, tunafanya nini haswa? Hili ndio swali ambalo Serikali ya awamu hii inapaswa kujiuliza.
 
waganda wasahau kujenga SGR kwenda Kenya
Mungu ibariki Tanzania .. SGR from Dar to Isaka to Kigali


"The loan agreement requires UCAA to set up an escrow account to hold all of the Authority’s revenues. The agreement provides that UCAA cannot use any of the accrued money for whatever expenditure without approval from Beijing."

Tukiendelea kucheka na ujinga wa bandari ya bwagamoyo, tutafika huku
 
Dead on arrival, at least ungenionyesha horizontal infrastructure, nyumba kama hizo Kenya zinajengwa na mtu mmoja 💩💩💩 Nigeria alaro city chini ya tatu city parent company. It's not too late to ask for help👇👇👇View attachment 2024631
😂😂😂 Mbona sasa umeenda kuleta miradi ya Nigeria.? Moyo inakuuma kinoma.. alafu bado ni uchafu unaotaka kulinganisha na Dege eco village unakichaa.? Render 👇. Reality 👇. Mradi una apartments 7k, Executive villas 68, twin villas 88, detached house 188 .. shule, vituo vya polisi hotels n.k pata maelezo zaidi 👇. Mradi unafanywa kwenye eneo lenye ukubwa wa 300 hectares .. 😂😂😂 Alafu uje umlinganishe na huo uchafu wa Lagos 😂😂😂 Huu mradi una ukubwa sawa na eneo zima la .. HUNA HATA AIBU 😂😂😂
 
Kama Tanga Ndio mfano wa kuigwa Tanzania Basi nchi inahitaji msaada mkubwa kwenye urban planning.
Mkuu sijajua arguments zinapingana zenyewe Kwanza kuna mkunya anasema kipawa ward ni slum lakini kipawa ilivunjwa ndipo ilipo airport terminal 3 . Angalia kule kurasini palibana sana wamenunua watu pamevunjwa kuna project ambazo ziko integrated na bandari zinaendelea . Angalia renovation ya mbagala kuu kuanzia barabara na kila kitu . Angalia kiwalani hadi buza , tandika na sehemu za tandika kuna tarmac road mitaani kabisa tena na taa za barabarani . Same to vingunguti kule inakopita reli walikua wananunua nyumba kama walivyofanya kurasini. So kuna improvement kubwa kwenye urbanization . Changes haziwezi kua kama mushroom yaani overnight tuzune uyoga
 
Mkuu sijajua arguments zinapingana zenyewe Kwanza kuna mkunya anasema kipawa ward ni slum lakini kipawa ilivunjwa ndipo ilipo airport terminal 3 . Angalia kule kurasini palibana sana wamenunua watu pamevunjwa kuna project ambazo ziko integrated na bandari zinaendelea . Angalia renovation ya mbagala kuu kuanzia barabara na kila kitu . Angalia kiwalani hadi buza , tandika na sehemu za tandika kuna tarmac road mitaani kabisa tena na taa za barabarani . Same to vingunguti kule inakopita reli walikua wananunua nyumba kama walivyofanya kurasini. So kuna improvement kubwa kwenye urbanization . Changes haziwezi kua kama mushroom yaani overnight tuzune uyoga
Hapo unampigia mbuzi gitaa mzee wangu, huyo hawazi kukuelewa anachotaka ni kwamba kwao ni bora kuliko kwetu, hata kama hajapaona panafananaje 😂😂😂
 
Mkuu sijajua arguments zinapingana zenyewe Kwanza kuna mkunya anasema kipawa ward ni slum lakini kipawa ilivunjwa ndipo ilipo airport terminal 3 . Angalia kule kurasini palibana sana wamenunua watu pamevunjwa kuna project ambazo ziko integrated na bandari zinaendelea . Angalia renovation ya mbagala kuu kuanzia barabara na kila kitu . Angalia kiwalani hadi buza , tandika na sehemu za tandika kuna tarmac road mitaani kabisa tena na taa za barabarani . Same to vingunguti kule inakopita reli walikua wananunua nyumba kama walivyofanya kurasini. So kuna improvement kubwa kwenye urbanization . Changes haziwezi kua kama mushroom yaani overnight tuzune uyoga

Tujenge miji mipya kama wenzetu (Nigeria, Kenya, Egypt, Angola n.k) tuache tabia ya kuimprovise na kuacha miji ijijenge yenyewe, kwa style hii we will never have beautiful cities kwa mahitaji ya muda wetu. Kigamboni hiyo imeachwa sasa inazidi kuvamiwa……baadae ndio utasikia tujenge sasa, gharama za kufidia zimeishakuwa mara kumi ya sasa. Ujuha huu.
 
Back
Top Bottom