Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Dala Dala za gongo la mboto zilee😂😂Itawachukua Kenya miaka 200 kuwa na view kama hii.View attachment 2023582
Dala Dala za gongo la mboto zilee😂😂Itawachukua Kenya miaka 200 kuwa na view kama hii.View attachment 2023582
Tanga ndio the most planned town hands down. Manispaa yake ipo makiniMmmmh umewahi kusafiri wapi na wapi hapa Tz wewe tuanzie hapo kwanza.. unaijua Tanga wewe.?
Wakenya basi roho kwatu, hatimae ndege ya Tanzania inafanya safari Kenya, anything Tanzanian to Kenyans is a privilege
Tatizo la unplanned linajulikana but some towns have tried and Tanga tops in Tz in good planning compared to all those mentionView attachment 2023599
Hii si Ndio Tanga unayozungumzia? Hii Sio urban planning ninayozungumzia mimi. Urban planning Sio mpangilio wa makazi katika grids! Makazi haya Kwa kuyaangalia tu unaona ni duni! Hapa hata sewarage system sidhani kama ipo! Barabara zenyewe vumbi Tupu!
Inabidi tuwe honest. Kuficha uchafu uliipo ni Sawa na kuufanyia promotion undelee kuwepo. Tena nafurahi wakenya wanavyotubeza ili aibu tupate.
Kuna mtanzania mwenye time na Kenya kweli?Ni siku kubwa kwa mtanzania akija kenya. Nkama mkenya akienda marekani.
😅😅😅😅 Chengine walichokua wanamchukia nacho Magu eti ni kwa nini airtz ina regional routes almost kote lakini Kenya wamerukwa 😂😂Hiyo ndege imebeba abiria wa kikenya waliogoma kupanda ndege mbovu na chakavu za KQ![]()
Ulitaka tulete Dreamliner?
Kajilipua🤣🤣🤣 air ticket ya kuja Kenya mnayo, jiulize kwanini JKIA inahandle abiria wengi kuliko Tanzania nzima🤣🤣 middle class Iko ngangariKuna mtanzania mwenye time na Kenya kweli?
Wakenya wanauana ili waje Tanzania kuenjoy maisha, hutoona mtanzania anaenda for leisure Kenya incase there's any!
View attachment 2023748View attachment 2023749View attachment 2023750View attachment 2023751
Number of kilometers zinazojengwa saivi naona ni 100 kwenda mbele
Waga unajua kuwakera sana, unapiga panapo uma😂😂😂Shugulika na uswazi za Dar kijana. Nairobi si rika yako. Povu utatoa lakini haitabadilisha chochote.
Lang'ata labda mlinganishe na moja ya mitaa yenu ya kifahari. Lanes please! View attachment 2023731View attachment 2023732View attachment 2023733View attachment 2023734View attachment 2023735View attachment 2023736View attachment 2023738View attachment 2023739View attachment 2023740View attachment 2023741View attachment 2023742View attachment 2023745View attachment 2023746View attachment 2023747
View attachment 2023743
Kwani Azam Bongo ameweka Dollar ngapi juzijuzi hapa? Besides hiyo hela itachangamsha soka la Kenya sana tuu.hakuna fursa huko.. hio hela uliyotaja unaijua ukubwa wake?au ni kwa miaka 100?
SA kuna train wamezishindwa huko maana miundo mbinu yao ni ya kizamani kwenye rail hivyo private investor kachukua vichwa vyote PRASA walivyoagiza spain kavileta kwenye TAZARA.South Africa wenyewe wamechoka vibaya mno.
Wana kazi kubwa ya kuijenga reli yao baada ya kipindi cha lockdown, Mateja na wajinga wengine, kuharibu vibaya mno miundombinu ya reli na mfumo wa umeme wa relini kwa kuiba nyaya na mataruma kama chuma chakavu.
Uhuru Kenyatta ni mpumbavu!
Phases, mpaka iishe ni miaka 80 ijayo
Yet gap la tourism revenue ni $2bKajilipua🤣🤣🤣 air ticket ya kuja Kenya mnayo, jiulize kwanini JKIA inahandle abiria wengi kuliko Tanzania nzima🤣🤣 middle class Iko ngangari
Kwenye bilateral air service agreement huwa wana stipulate type of equipment to be used based on number of seats per trip.