Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View from Nairobi National Park

FFCviN8XEAMHi3i
Look at that cluster forming around Eka Hote/South C area along Southern Bypass
 
Maneno mengi vipicha ni vile vile. Yani kitu Cha maana umenionyesha hapo ni Hilo vumbi kali😂😂 Mimi si hater nakupa fact Dodoma haifai kuitwa hata town Leo nashangaa yaitwa capital city💩💩
😂😂😂 Pole sana kijana .. this time around utakunya kwa chuki
 
Kwani umesikia utakuwa wa Kwanza kuwakana? Wengine walishawakana kitambo sana mbele yako. Mnapenda sana to live in denial
sasa hao omba omba,ambao kiuhalisia ni maskini je nauli za kuja huko nairobi wanazitoa wapi?,
na huwa wanatumia boda ipi kuingia huko?,
hauoni kuwa nyie mpo weak kiusalama?,kiasi cha kwamba omba omba wanaingia hovyo kulingana na mujibu wa data zenu za kimagumashi mnazosema kuwa omba omba wote waliopo nairobi wanatokea Tz,

hebu muwe mnajiongeza kidogo msiwe waropokaji for nothing,kama wanatokea Tz fukuzeni hao hawana vibali rasmi vya kuwepo hapo hata sheria inawabana,
dunia hii hakuna nchi inayoweza kukaa na omba omba ambaye hana citizen otherwise awe mkimbizi,

ila kwa mara ya kwanza kenya imekuwa nchi pekee duniani inayopokea omba omba kutoka Tanzania,

hizi joking mziache
 
sasa hao omba omba,ambao kiuhalisia ni maskini je nauli za kuja huko nairobi wanazitoa wapi?,
na huwa wanatumia boda ipi kuingia huko?,
hauoni kuwa nyie mpo weak kiusalama?,kiasi cha kwamba omba omba wanaingia hovyo kulingana na mujibu wa data zenu za kimagumashi mnazosema kuwa omba omba wote waliopo nairobi wanatokea Tz,

hebu muwe mnajiongeza kidogo msiwe waropokaji for nothing,kama wanatokea Tz fukuzeni hao hawana vibali rasmi vya kuwepo hapo hata sheria inawabana,
dunia hii hakuna nchi inayoweza kukaa na omba omba ambaye hana citizen otherwise awe mkimbizi,

ila kwa mara ya kwanza kenya imekuwa nchi pekee duniani inayopokea omba omba kutoka Tanzania,

hizi joking mziache
😂😂😂 Huyo ni tahira huyo, uwezo wa ku reason ni mdogo sana ..
 
Oya Coco reborn naskia leo uliiulizia Dege eco village Kigamboni renda hii hapa . Halafu mradi ulifkia hapa, any time soon tutaumalizia, huu . Umeona tunavyofwatisha renda eeh.? Huu mradi ukiisha Mmmh Mtakua nnakua mnakuja Dar kutalii mana ni ulaya kmmae. Heb pata dozi kidogo hii ni vid ya miaka minne iliyopita mradi ulikua hiv . Mradi uko na nyumba 7k huu mradi ukiisha sujui mtapost nini kushindanisha na DSM mana hayo ndio yatakua makazi ambayo huwezi kukutana nayo popote hapa EA
kabisa
 
sasa hao omba omba,ambao kiuhalisia ni maskini je nauli za kuja huko nairobi wanazitoa wapi?,
na huwa wanatumia boda ipi kuingia huko?,
hauoni kuwa nyie mpo weak kiusalama?,kiasi cha kwamba omba omba wanaingia hovyo kulingana na mujibu wa data zenu za kimagumashi mnazosema kuwa omba omba wote waliopo nairobi wanatokea Tz,

hebu muwe mnajiongeza kidogo msiwe waropokaji for nothing,kama wanatokea Tz fukuzeni hao hawana vibali rasmi vya kuwepo hapo hata sheria inawabana,
dunia hii hakuna nchi inayoweza kukaa na omba omba ambaye hana citizen otherwise awe mkimbizi,

ila kwa mara ya kwanza kenya imekuwa nchi pekee duniani inayopokea omba omba kutoka Tanzania,

hizi joking mziache
Mtu anahitaji shilingi ngapi kama nauri Kutoka Sirari hadi Isebania Kenya? Tumia akili kidogo bongolala.

Unataka tuwafukuze? Hiyo si utu. Mtu ni kilema amekimbia umaskini nchini mwake aje kutafuta angalau sabuni nchini kwenu kisha tena umfukuze? Even God can't be happy with you if you do that. Tutazidi kuwapokea na kuwasaidia kadri ya uwezo wetu as we've always done
 
Mtu anahitaji shilingi ngapi kama nauri Kutoka Sirari hadi Isebania Kenya? Tumia akili kidogo bongolala.

Unataka tuwafukuze? Hiyo si utu. Mtu ni kilema amekimbia umaskini nchini mwake aje kutafuta angalau sabuni nchini kwenu kisha tena umfukuze? Even God can't be happy with you if you do that. Tutazidi kuwapokea na kuwasaidia kadri ya uwezo wetu as we've always done
😂😂😂 Unajielewa wewe.? yani mtu ni omba omba hiyo nauli atatoa wapi.? Residential permit atapata wapi.? Pesa ya kutengeneza passport atapata wapi.? Mbona una uwezo mdogo sana wa kufikiri .?
 
Nyoka yuko kila mahali duniani
kwani hao uliowaweka hawapo sehemu nyingine duniani?,

watu wa zoo zao wamewafuga baadhi kwa kuwapandikiza,watalii huja huku kwaajili ya kuwaona wanyama sababu wapo kwenye mazingira yao ya uhalisia

wacha ushamba
 
Mzee Coco reborn na bwana Nicxie tukiachana na Dom hii old Dom CBD View attachment 2024394kuna Dodoma hii new CBD underway View attachment 2024397View attachment 2024398View attachment 2024400kuna huu mradi wa makazi ya watu 1k houses View attachment 2024406View attachment 2024408
View attachment 2024410halafu kuna huu mradi wa watumishi housing mradi wa nyumba 120, na kama unavyojua individual development level ya Dom sio ya kupima mzee. . lafu kuna upcoming Dom administrative city au wenyewe tunaita Magufuli City . Hayo majengo yote yanayoonekana kwenye renda hapo juu yapo under construction ..
1. Msalato international airport
2. DOM international football stadium
3. Dom indoor Arena
4. Dom international SGR terminus
5. State House
6. DOM outer ring road 112 km
7. Miradi mengine ya barabara ndani ya Dom kibao
Vyote hivyo vipi under construction .. sijui mtaleta mji gani kushindana na Dom ifikapo 2024 ni bakora tu ..
Dom commuter railway na brt
 
Back
Top Bottom