Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We unaijua tanga.? kumbe mtu mwenyewe miji unaiona google tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, safiri fala wewe, kwahiyo kwaakili zako hapo hakuna lami au .? Miji yote ya Africa Iko na makazi ya hovyo na makazi mazuri, ila Tanga hata hayo makazi ya hovyo yana mpangilio .. by the way hakuna jiji hapa tz sijawahi kufika ..hiz picha nimepiga kwa mkono wangu View attachment 2024029View attachment 2024035View attachment 2024039View attachment 2024045View attachment 2024049View attachment 2024053View attachment 2024247
3013728_IMG_20210903_122622_405.jpg
3013745_IMG_20210903_122942_772.jpg
Tanga pia kuna recreational parks tano .. hizi ni mbili nilizopiga picha mimi mwenyewe ๐Ÿ‘‡View attachment 2024215View attachment 2024216View attachment 2024219forodhani Park ๐Ÿ‘‡View attachment 2024222View attachment 2024224View attachment 2024227View attachment 2024229we fala au we sio mtanzania.? Usipende kutoa comment sehemu ambazo wewe mwenyewe haujawahi kufika unaishia kuziona google tu, haya kama wewe ni mtanzania sema unatokea mji gani.? Coco reborn. Vipi una lipi la kusema.? .

View attachment 2024248

View attachment 2024265


We unaijua tanga.? kumbe mtu mwenyewe miji unaiona google tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, safiri fala wewe, kwahiyo kwaakili zako hapo hakuna lami au .? Miji yote ya Africa Iko na makazi ya hovyo na makazi mazuri, ila Tanga hata hayo makazi ya hovyo yana mpangilio .. by the way hakuna jiji hapa tz sijawahi kufika ..hiz picha nimepiga kwa mkono wangu View attachment 2024029View attachment 2024035View attachment 2024039View attachment 2024045View attachment 2024049View attachment 2024053View attachment 2024247
3013728_IMG_20210903_122622_405.jpg
3013745_IMG_20210903_122942_772.jpg
Tanga pia kuna recreational parks tano .. hizi ni mbili nilizopiga picha mimi mwenyewe ๐Ÿ‘‡View attachment 2024215View attachment 2024216View attachment 2024219forodhani Park ๐Ÿ‘‡View attachment 2024222View attachment 2024224View attachment 2024227View attachment 2024229we fala au we sio mtanzania.? Usipende kutoa comment sehemu ambazo wewe mwenyewe haujawahi kufika unaishia kuziona google tu, haya kama wewe ni mtanzania sema unatokea mji gani.? Coco reborn. Vipi una lipi la kusema.? .

View attachment 2024248

View attachment 2024265

Umetishaa mzee jamaa hajui anaishii ulayaa huyoo
 
Ndio maana nikasema Africa tuna kazi nzito, cc tulifanya miaka 10 iliyopita wao wanafanya leo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, Bro nimecheka sana kwahyo kumbe siku zote hizo hizo jamaa hata barabara za za kulinganisha county zao hawana.. sasa wanasema eti wanatuzid km za barabara za lami ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nakuuliza kimoyo moyo "kivipi.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kumbe wao mpaka leo wanasafiri wiki nzima njiani
 
Do you know planes..or unakuwa mnafiki
that A220 -300 seats 132 passengers
E190 zenu mnazoleta seats 96 .passengers..na ndo huwa mnazileta mostly....
achana naye hajui kitu huyo ni zumbukuku
 
Hehehehee lile shuzi lililokuwepo pale kipawa ni Slum halisi
Kuna baadhi ya miji mipya inaweza kuwa kama vile tena hasa mbezi malamba mawili,stendi ya magufuli imefanya viwanja kuwa juu mitaa ya mbezi,kibamba,kiluvya n.k,sasa kuna jamaa wananunua vile viwanja vya miguu 20-20,halafu baada ya wiki tu anauza miguu 10-10,hapo kama alinunua 20-20 kwa mln 8,yeye atauza 10-10 kwa mln 5,so anapata faida ya mln 2 ila ndio ule ujenzi wa manzese manzese flan
 
Maisha yangekuwa mazuri Tanzania as you want to paint it hamgengukuwa na hao ombaomba in the first place. Na hata hata muwe nao mbona hujiulizi kwa nini wameacha 'asali na maziwa' Tanzania na kuja kutembeza bakuli Kenya?
huku hatutaki omba omba ,huwa tunawafukuza ,njoo dar ujifunze

ukiona omba omba ujue ni mlemavu tena wanzhesabika tena ni nadra sana kuwaona

halafu muache kujazana ujinga hao omba omba mnaosema ni watz ,hiyo nauli ya kuja huko si bora wangefanya biashara ya kuuza uza matunda na mboga mboga,

acheni porojo
 
but i only realize Darslam ni vyumba tu yani structures structures.. Dar has nothing to offer, a very empty city if am so to say. as in, it has nothing tangible.
atleast nairobi is famous, everybody knows nairobi hosts one of the 4branches hq of UN. nairobi again is the african hq for Worldbank and IMF. Toyota african Hq is based in nairobi..

Dar nayo!? toweni ata mojaโ˜๐Ÿฝ

Screenshot_2021-11-26-18-55-26-87.jpg
 
huku hatutaki omba omba ,huwa tunawafukuza ,njoo dar ujifunze

ukiona omba omba ujue ni mlemavu tena wanzhesabika tena ni nadra sana kuwaona

halafu muache kujazana ujinga hao omba omba mnaosema ni watz ,hiyo nauli ya kuja huko si bora wangefanya biashara ya kuuza uza matunda na mboga mboga,

acheni porojo
Kwani umesikia utakuwa wa Kwanza kuwakana? Wengine walishawakana kitambo sana mbele yako. Mnapenda sana to live in denial
 
Oya Coco reborn naskia leo uliiulizia Dege eco village Kigamboni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ renda hii hapa ๐Ÿ‘‡. Halafu mradi ulifkia hapa, any time soon tutaumalizia, huu ๐Ÿ‘‡. Umeona tunavyofwatisha renda eeh.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Huu mradi ukiisha Mmmh Mtakua nnakua mnakuja Dar kutalii mana ni ulaya kmmae. Heb pata dozi kidogo hii ni vid ya miaka minne iliyopita mradi ulikua hiv ๐Ÿ‘‡. Mradi uko na nyumba 7k huu mradi ukiisha sujui mtapost nini kushindanisha na DSM mana hayo ndio yatakua makazi ambayo huwezi kukutana nayo popote hapa EA
 
Wakenya ni watu wapuuzi Sana, mlikua mkimchukia Magufuli kwasababu alikua anawazidi na kuwabana katika kila Jambo.

Magufuli siye aliyeweka hiyo Sheria, hiyo ni Sheria ya Nyerere na hakuna rais hata mmoja aliyeitengua, Hawa wanaharakati walipoanzisha vuguvugu la kudai hiyo Sheria irekebishwe ili waruhusiwe, Magufuli alikataa na kusisitiza kamwe hawatoruhususiwa badala yake wataendelea kusoma katika mfumo huo aliouanzisha Nyerere.

Kama Samia Suluhu Hassan ameruhusu kweli(sijawa na uhakika), basi itakua ni sehemu ya madhahifu yake ya kiuongozi na ninauhakika Mambo Kama haya yatagharimu Sana uongozi wake, sio rahisi "kumchallenge" Julius Nyerere politically" na ukabaki salama katika siasa za Tanzania.
Kama hio article moja ya Al Jazeera niliyopost bado haijakushawishi basi tazama hizi hapa.
The East African

na The Guardian

Natumai umeshawishika kwamba mama hafuati hizo sheria unazozungumzia wewe.
 
Back
Top Bottom