Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

One of ama the most?🤣🤣
Yani kaumia hadi analeta screenshots za ujinga kulazimisha mawazo yake as usual. Jamaa Kazama mitandaoni kutafuta ufariji kwa kuleta hiI picha eti ni Lang'ata 😂 😂 😂
3013172_F6072A45-3FB0-44A0-8A3B-D84548271F6E.png


Alafu alivyo mjinga haoni ndani ya screenshot pameandikwa Ongata Rongai
 
Hiyo phases umeisoma wapi bongolala? Ama hapo ndio wivu imekufikisha?
Hamna ubavu wa kujenga hiyo barabara yote at a go kama unabisha leta company ilioshinda tenda za hizo kilometers zote, usitake kufanya watu hamnazo kama ninyi

Wa marekani walishaupotezea huo mradi
 
Travel is a sign of disposable income.
Tanzania bongolala maskini pesa ni ya makazi na malisho.
Hivi ninyi kwa maisha mnaweza kujilinganisha na Tanzania, kuanzia nyumba, bata, lifestyle and everything hamna ubavu wa kujilinganisha na Tanzania

Tanzania kwa Africa inaongoza kwa kuishi maisha ya starehe sana, pitia pages za social lifestyle za Tanzania kama hizi uone kama Kenya mna ubavu wa kuaaford haya maisha

 
Back
Top Bottom