Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha porojo mingi, kupata Elimu au kutopata Elimu kwa raia wa nchi kunatokana na sera nzuri za Elimu za serikali/nchi husika, hatuzungumzi familia Moja Moja.

Tanzania Nyerere alilazimisha kwamba ni lazima kila mtoto kupata Elimu ya msingi(Primary Education), ili kufanikisha hilo aliifanya Elimu ya msingi kupatikana bure na ni lazima mzazi kumuandikisha mtoto wake shuleni, kushindwa kufanya hivyo lazima mzazi atashitakiwa na kutozwa faini.

Nyerere ndiye aliyeanzisha Sheria ya kukataza mtoto aliyepata mimba kuendelea na masomo (Formal education), badala yake akaanzisha mfumo wa "adult education" ambao utamuwezesha huyo mtoto kusoma hadi chuo Kikuu huku akiwa anaendelea na jukumu lake la kulea mtoto na akipenda kuolewa.

Ni mtu mpuuzi ambaye anaweza kupinga mfumo mzuri wa Nyerere ambao umempa nafasi huyo Binti kuendelea na masomo Kama mzazi wakati huo huo kupunguza athari za kisaikolojia ambazo zingeweza kusababishwa na yeye kwa wanafunzi wenzake au kwake kutoka kwa wanafunzi wenzake endapo angeendelea kusoma shule na darasa lile lile
Alichofanya Magu ni ku copy na ku paste tu aliyokuwa akihubiri Nyerere, yani Magu alikuwa mwanafunzi mtiifu wa Nyerere na ndiyo maana hakuacha kumtaja popote alipoenda, hope kwamba ipo siku nchi hii itapata mwanafunzi mtiifu wa Magufuli japo huenda akasawazisha yale mapungufu ya Magufuli.
 
Hatuongei kuhusu Nyerere hapa. Tunaongea kuhusu Magufuli na sera zake mbovu zilizofanya world bank wakate mrija wa pesa waliokuwa wanawapa kwa ajili ya elimu. Usilete Nyerere kwenye mambo ya Magufuli.

Kama maamuzi ya Magufuli yalikuwa sawa mbona jana mama Suluhu ameyabadilisha?

Kama Samia kampinga Magu juwa kwamba kampinga Nyerere, Joto amekuelewesha vzr usiwe mgumu kuelewa na wewe mwishowe nitakuandikia sign chini kama ninavyowaandikia wenzio.
 
Sasa hushangai kwanini watanzania wenye pesa zao hawavamii Kenya badala yake ombaomba ndio wanaovamia huko?, Mitaa ya Nairobi imejaa watoto wa mitaani na homeless people, huku Tanzania ni nadra Sana kukutana na watoto wamezagaa mitaani. Kenya inavutia maisha ya Ombaomba wakati Tanzania tunavutia watalii na "investors".
Wakirudia tena nitag
 
Wakenya ni watu wapuuzi Sana, mlikua mkimchukia Magufuli kwasababu alikua anawazidi na kuwabana katika kila Jambo.

Magufuli siye aliyeweka hiyo Sheria, hiyo ni Sheria ya Nyerere na hakuna rais hata mmoja aliyeitengua, Hawa wanaharakati walipoanzisha vuguvugu la kudai hiyo Sheria irekebishwe ili waruhusiwe, Magufuli alikataa na kusisitiza kamwe hawatoruhususiwa badala yake wataendelea kusoma katika mfumo huo aliouanzisha Nyerere.

Kama Samia Suluhu Hassan ameruhusu kweli(sijawa na uhakika), basi itakua ni sehemu ya madhahifu yake ya kiuongozi na ninauhakika Mambo Kama haya yatagharimu Sana uongozi wake, sio rahisi "kumchallenge" Julius Nyerere politically" na ukabaki salama katika siasa za Tanzania.
Heheheheeee eti uende kinyume na Nyerere kwa akili gani ulizonazo, mtu aliiongelea Tz ya kikoloni mpk Tz ya ss na kweli yametokea, alafu aje mtu kizembe zembe tu amkosoe, lazima moto umuwakie.
 
FB_IMG_16379360919211017.jpg
 
Sasa hushangai kwanini watanzania wenye pesa zao hawavamii Kenya badala yake ombaomba ndio wanaovamia huko?, Mitaa ya Nairobi imejaa watoto wa mitaani na homeless people, huku Tanzania ni nadra Sana kukutana na watoto wamezagaa mitaani. Kenya inavutia maisha ya Ombaomba wakati Tanzania tunavutia watalii na "investors".
Maisha yangekuwa mazuri Tanzania as you want to paint it hamgengukuwa na hao ombaomba in the first place. Na hata hata muwe nao mbona hujiulizi kwa nini wameacha 'asali na maziwa' Tanzania na kuja kutembeza bakuli Kenya?
 
mwizi kawapa wezi pesa 😂😂😂

Sio huyu mzee wanasemaga ana utajiri wa dollars billions 2?

Sasa mbona anawapa binti zake urithi kiduchu wa dollars million 2.5, hiyo si pesa wamasai wa Tanzanite wanaingiza kila siku? 😅😅😅
 
Maisha yangekuwa mazuri Tanzania as you want to paint it hamgengukuwa na hao ombaomba in the first place. Na hata hata muwe nao mbona hujiulizi kwa nini wameacha 'asali na maziwa' Tanzania na kuja kutembeza bakuli Kenya?
Hivi hujui kwamba Sheria ya Tanzania imekataza kuombaomba?, huku Tanzania ombaomba ni "criminal offence by law" ni kama wanawake wanaojiuza barabarani usiku, hao ombaomba hapa Tanzania mara kwa mara wanakamatwa na vyombo vya Dola, hawana Amani wakiwa Tanzania, wakiona polisi huwa wanajificha, nchi pekee ambayo wanahisi kuwa na Amani ni Kenya,
 
Unataka nikuletee ground breaking ceremony wakati picha zimetumwa haha za ujenzi? Unatumia akili kweli? This is the same way you guys were asking for the Expressway billboard one year ago an mkaumbuliwa. Stupid bongolalas!
Huna ubavu wa kuleta nilichoagiza sababu hakipo 😅😅😅
 
Hivi hujui kwamba Sheria ya Tanzania imekataza kuombaomba?, huku Tanzania ombaomba ni "criminal offence by law" ni kama wanawake wanaojiuza barabarani usiku, hao ombaomba hapa Tanzania mara kwa mara wanakamatwa na vyombo vya Dola, hawana Amani wakiwa Tanzania, wakiona polisi huwa wanajificha, nchi pekee ambayo wanahisi kuwa na Amani ni Kenya,
The point is, all beggars on our streets are Tanzanians. That's the most important point here
 
Back
Top Bottom