Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ghana wanaikubali Nairobi.View attachment 2020286
Ila wakifika Nairobi different story😁😁😁😁😁
Screenshot_20211123-060931_Chrome.jpg
Screenshot_20211123-060829_Chrome.jpg
Screenshot_20211123-060737_Chrome.jpg
 
Mnataka za karibu ndio zionyeshe tu majumba yaliyo kandokando ya barabara. Hamtaki za mbali zinazoonyeshe jinsi sehemu kubwa ya mji wenu ilivyo.
Za mbali ndio huwa zinawaumbua vzr mana ma slums hamuwezi kuyaficha na ndiyo maana hampendi kuweka picha za mbali, mnaweka za upande upande.
 
Slums, njaa, water scarcity, unemployment rate and higher rate of crime navyo vinaonyesha nini hapo Nairobi?
Kwn njaa ndio kipimo cha utajiri, crime rate hata watoto wa ushuani ni wahuni tena mbaya sana..nawajua kadhaa..
Njoo kivingine mzee, kenya hakuna mtu anayemiliki ardhi slum areas zile zote ni reserves za serekali kw ajili ya wazamia mjini...

Mashinani sai kumenoga
 
Inamaana hapo Nairobi hakuna projects za serikali zenye kulenga huduma za kijamii?, Maji, makazi, ajira, Hospitali, usalama wa raia na chakula.
Twende battle za hospitali za mitaani, dar vs nai..
Uko poa ama utakimbia km juzi tu, tukimalizana na hospitali tuubganishe na battle ya shule za mitaani
 
Back
Top Bottom