joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Haya ni Mambo ya kawaida Kenya, hutokea kila siku, wakenya ni watu katili sana
Hospitali zimekua picha sio


Na ni nini kinawashinda kuwa deport?kama sio umalaya wa maneno...na vile ni ndugu zenu...mnamchukua ombaomba moja wa Tz kucover your ass....just deport themFanyieni kazi hawa mliowajaza Kenya
Tulia wewe dozi ikuingie 💉💉💉💉Mjambiani kazi anayo weza ni kuzungusha jambio huku na kule
Ccm nzima mwanaume alikuwa MAGUFULI TU KWA KIPINDI HICHI WALIOBAKI KALIBIA WOTE WANASHINDWA KUKAZA SAUTITulia wewe dozi ikuingie![]()

NI VIJANA NYORORO ,ROJOROJO ,mwambie Geza Ulole aposti picha aliyo ifuta ya masisiemu yamepaka lipstick 
Toka 2015 to 2016 au ulimanisha 2021wacha ushabiki nawe toka 2015 mpaka 2016 ni miaka 6 mtoto anaanza la kwanza!
mbona imekuuma sana watu kuzaliana au unataka wote tuwe mashoga kama wewe ili tusizaliane ,kama mama yako kazaa mtoto mpumbafuu kama wewe kwanini tuzuie wengine kuzaliana , ushauri wangu kwako ...piga mazoezi ,kula vumbi la1 kongo,kula karanga mbichi ,ili urudie kwenye uwanaume mambo ya kichoga siyo dili sana kama unavyo yaendekeza au kama vipi ni PM nikusaidie maana nimewasaidia watu kama wewe 6 hivi sasa hivi wanawatotowacha ushabiki nawe toka 2015 mpaka 2016 ni miaka 6 mtoto anaanza la kwanza!
ukisadikisha hapo ni dar mm nafunga acc jamii forum 😂😂😂😂 mushaanza kuokota picha sasaEbu zoom hapa tuone👇👇👇💩💩View attachment 2020218
hzi hutaki 😂😂😂😂😂Kijitonyama new CBD 👇👇💩💩View attachment 2020235
hzi hutaki 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣huaga Wana babaisha ambao hawajafika kunyaland🤣🤣🤣Hivi vitasa kutoka kwa Wa Ghana. Wode maya itabidi aingilie kati kutetea.
Wewe huaga Unafikiri tunafanya gazework kama nyie🙂There is no place Gongo la njaa in Nairobi. Propaganda za Nyerere mtaacha
hebu tuzoom tuone 😂😂😂😂😂Maeneo ya kipawa ward, kando ya jnia airport View attachment 2020295View attachment 2020296
hio ni kipawa ya wapi hebu tuletee ushahidi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyingine hii ya kipawa, msiniue Bure kwa uzembe wenuView attachment 2020310
Eti karia duduHayo majina tuu yanajieleza tuu kwamba huko watu wamepigika vibaya mno





one pic imemaliza kila kitu 😂😂