Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee hizi picha unazifanyaga nini .. uliona wapi ushindani wa hivi.? Njoo na fair comparison kama unashinda utashinda tu lakini kama utashindwa ndio hivyo tena hutotoboa mzee .. kwanini ulete picha za zamani alafu unazichafua.? We ni kichaa.?
Kijana mdogo huu mchezo hautaki hasira,😂😂 hizo ni picha za kipawa ward zilizopigwa na wenzenu, please channel your anger to your leaders. Usinilaumu kwa umaskini wenu.
 
Haya ndo madhara ya Kula albino, kwahio magomeni yote inanaanza na kuisha kwa hio estate kijana mdogo. Inaonekana we ni mgeni huku, ichoboy alikua akiipost daily mpaka siku tukashtukizia akawacha. So tuletee vitu vipya ama bado wapiga picha hawako🤣
😂😂😂 Nimecheka kifala sana, eti Ooh huyu mgeni, sasa unafkiri mimi naijua DSM kupitia picha za humu JF.?
 
Nyingine hii ya kipawa, msiniue Bure kwa uzembe wenu
images (2).jpeg
 
Huyu dogo ni mbwakni sana, maneno mengi picha akileta ni zile zile. Mfano hii estate inafaa ipumzishwe kwa hii thread juu Ina zaidi ya miaka minne humu. Jiji halikui ama shida ni camera hakuna🤣🤣
3009787_45d25e12f69730cbde841eba3b95865e6ebd4c67.jpg
 
Huyu dogo ni mbwakni sana, maneno mengi picha akileta ni zile zile. Mfano hii estate inafaa ipumzishwe kwa hii thread juu Ina zaidi ya miaka minne humu. Jiji halikui ama shida ni camera hakuna🤣🤣View attachment 2020318
We jamaa ni fala au .? Kwahiyo ulitaka ivunjwe ijengwe nyingine sio.? Unaakili timamu wewe.? Au ni wivu na roho mbaya ndio vinakusumbua.?
 
I can never be jealous of dar hio hata kwa ndoto haiwezekani FYi I pity dar soooo much. What am doing is giving you a reality check juu most of you are starting to believe in your own lies. Dar is a shambolic unplanned slumpolis. Ndo maana ukiangalia the top address in dar utakuta zimechakaa sana mfano makumbusho, masaki, kijitonyama. Kama una ubavu leta low middle class estate 20 za dar nikuonyeshe something.
Nairobi isn’t any better. As a matter of fact, you host the biggest slum on the continent. Instead of trolling Tanzanians about Dar’s unplanned neighborhoods, why don’t you take a a closer look at where you live and judge your own home?
 
I can never be jealous of dar hio hata kwa ndoto haiwezekani FYi I pity dar soooo much. What am doing is giving you a reality check juu most of you are starting to believe in your own lies. Dar is a shambolic unplanned slumpolis. Ndo maana ukiangalia the top address in dar utakuta zimechakaa sana mfano makumbusho, masaki, kijitonyama. Kama una ubavu leta low middle class estate 20 za dar nikuonyeshe something.
You don’t even know Dar well. Who said that Kijitonyama and makumbusho are Dar’s affluent suburbs? They are experiencing massive growth every day, but they aren’t Dar’s richest neighborhoods.
 
Huyu dogo ni mbwakni sana, maneno mengi picha akileta ni zile zile. Mfano hii estate inafaa ipumzishwe kwa hii thread juu Ina zaidi ya miaka minne humu. Jiji halikui ama shida ni camera hakuna🤣🤣View attachment 2020318
Unlike Nairobi, Dar doesn’t have many gated communities. People here build their own homes, that’s why it’s difficult to just take pictures of peoples houses. And it’s the reason why it’s pointless to compare Nairobi’s suburbs to Dar’s. But I can assure you that Dar has lots of spectacular homes.
 
Unlike Nairobi, Dar doesn’t have many gated communities. People here build their own homes, that’s why it’s difficult to just take pictures of peoples houses. And it’s the reason why it’s pointless to compare Nairobi’s suburbs to Dar’s. But I can assure you that Dar has lots of spectacular homes.
Hehehe, uliambiwa Nairobi watu hawajijengei? Her. Tembea Hii mitaa
syokimau
Kahawa Sukari
Membley
Ruai
Kiserian
Rongai
Kitengela n.k
 
Back
Top Bottom