Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naamini Tanzania tuna uwezo wa kufikia level za hawa jamaa💪💪💪
IMG-20210511-WA0016.jpg
IMG-20210511-WA0025.jpg
IMG-20210525-WA0011.jpg
IMG-20210511-WA0022.jpg
 
huo ndiyo ukweli ,industry yao ya local product ipo chini sana lazima wategemee vya kuagiza kwa asilmia kubwa
Miaka ya nyuma kuna bidhaa zilikuwa zimeandikwa zimetokea Kenya lakini sasa hivi zimeandikwa zimetoka South Africa na nchi zingine...kwani wamepatwa na nini!

Kwani mabwana zao wamengoa hizo viwanda na kuhamishia kwenye nchi zingine!
 
Miaka ya nyuma kuna bidhaa zilikuwa zimeandikwa zimetokea Kenya lakini sasa hivi zimeandikwa zimetoka South Africa na nchi zingine...kwani wamepatwa na nini!

Kwani mabwana zao wamengoa hizo viwanda na kuhamishia kwenye nchi zingine!

Hata siku ile Jamaa alidai yale maziwa Ya Uniliver yametengenezwa kwao, nilicheck nikakuta Made in South Africa.
Kwa ujumla Kwenye Super market nyingi za Bongo, products nyingi zilizokua za kenya zimekua replaced na SA products. Blue band yao bado ipo lakini.
 
Hata siku ile Jamaa alidai yale maziwa Ya Uniliver yametengenezwa kwao, nilicheck nikakuta Made in South Africa.
Kwa ujumla Kwenye Super market nyingi za Bongo, products nyingi zilizokua za kenya zimekua replaced na SA products. Blue band yao bado ipo lakini.
Tanzania tunaweza kuishi bila wao ila wao hawawezi kuishi bila Tanzania.
 
Back
Top Bottom