Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As long as hunilazimishi maoni yako binafsi/potovu, mimi sina shida na mtu
wewe ni binadamu katika maisha siku zote ukitaka kufanikiwa lazima uishi kwenye uhalisia wako ili uweze kujua zaidi mapungufu yako na kuyacorrect,
 
3007786_IMG_1637473736005.jpg
 
Ni aibu sana kwa nchi miaka 60 tangu muachiwe na mzungu bado mna matatizo ya umeme na maji hadi mjini kati, bora sisi vigumu sana usikie mambo kama hayo mjini kwenyewe, hutokea tu mara moja moja mitaani.
Hapo unaweza Dhani unaiingelea Kenya ya US? 🤣🤣
 
Ni aibu sana kwa nchi miaka 60 tangu muachiwe na mzungu bado mna matatizo ya umeme na maji hadi mjini kati, bora sisi vigumu sana usikie mambo kama hayo mjini kwenyewe, hutokea tu mara moja moja mitaani.

Kenya generates 2000mw,
What is the difference?
Wale South Africa huwa mnajilinganisha nao wana 50K MW na bado hauwatoshi..
 
Halafu hilo tatizo mlijitakia wenyewe, huyo mzee aliwarudisha nyuma sana, itawachukua muda mrefu kuamka Ukate miti milioni mbili halafu umuombe Mungu akuletee mvua? Serious?
haha una tatizo sehemu we sio mzima na huyo alietengeneza huo uzi AKILI MMEKALIA. naweza kupa takwimu ukashangaa kwa siku miti inyokatwa njombe mafinga iringa mbeya ni nusu ya hiyo miti uliyotaja hapo na bado mvua zina nyesha na maji hujaa mpak mabwawa yanataka kupasuka leo hii kisa bwawa la nyerere linajengwa ndio litasababisha mvua kutonyeshaa.
 
Back
Top Bottom