Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,228
- 18,021
Kwa hivyo watanzania wamekuwa watch dogs na whistle-blowers wa mashirika Kama WB na IMF? 😂 😂Sisi kwanza hatuna hata kawaida ya kuongopa mzee, hata madudu yanayotokea nchini mwetu tunayajadili humu ndani na wote mnaona, ukiona kitu tumeshkilia bango na kukipinga vikali ujue huo ni uongo (hicho kitu ni cha kutengeneza/taarifa zisizo na uhakika), sasa sio watu wa kujikweza babu hujatuelewa tu bado.? Nicxie
Kwamba taarifa yoyote WB ama IMF wanatoa ni lazima watanzania wakubaliane nayo ndio iwe ukweli? Wakiipinga ni lazima ikataliwe na mataifa mengine? Sasa wewe na wenzako hapo Mwananyamala na Gongo la Mboto mkishasema taarifa ya WB na IMF ni uwongo that's final! Kisa na maana eti Kenya imewekwa mbele yenu? Meza wembe ufe!