Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daraja linakuumiza kichwa hilo, huamini macho yako .. owky endelea kuumia kidogo View attachment 2015207daraja lingineView attachment 2015209and guess what, haya Madaraja hapa DSM yatajengwa matatu, mawili kama unavyoyaona, bado moja, utaumia sana mdogo angu, mambow ndio kwanza yameanza ..
Dsm ndio inapata madaraja karne hii sio, yani kiufupi ndio mumeamka toka usingizini
 
View attachment 2015186Hapa ni Nairobi km 10 kutoka CBD baada ya miaka michache tutaanza Dodoma vs Nairobi
Sasa Ulikua unatarajia Wajenge Ndani ya Mbuga? Ama Umesahau Nairobi National part iko 10km south of Nairobi?.
Dodoma itafika hapa 2099View attachment 2015225View attachment 2015226View attachment 2015227View attachment 2015228View attachment 2015229View attachment 2015230
FB_IMG_16309080766647593.jpg
 
Imebidi nijibu this ignorance.., eti hizi mitaa ya Nax Vegaz ni best? unajua mitaa ya kifahari in Nakuru wewe., sikuweka humu kilaza they are not here., , hadi raha, ndio mjue Kenya sio size yenu
3000944_JamiiForums1527534153.jpg
Kila siku nakwambia acha ukicha wakuparamia usicho elewa, mwenzio alileta ako kapicha akizani ni better kumbe mafii, na ww umekuja tena unasem nimesema hii ndio better...tuko na vitu better zaidi apo kunya akuna cha kuniambia...by the way am not a corter fan
2395882_0330258D-0EE7-4926-B9C3-629AB5C9F72A.jpg
 
Naona kaweka lugha ya kishamba hapo ya kiswahili. Lugha ambayo ni very local haipo international level
Kwenda. Hicho ni kiswahili cha Kenya. Huku hatukithamini kiswahili chenu mbovu.
 
Kwenda. Hicho ni kiswahili cha Kenya. Huku hatukithamini kiswahili chenu mbovu.
Teh kiswahili ni kiswahili tu. Ni lugha ambayo haipo international level na inaongelewa na watu wa Tanzania tu ambao hawana exposure kwenye international community.
 
Teh kiswahili ni kiswahili tu. Ni lugha ambayo haipo international level na inaongelewa na watu wa Tanzania tu ambao hawana exposure kwenye international community.
Kwa hivyo Wakenya hawaongei Kiswahili.
 
Back
Top Bottom