Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya nawatakia usiku mwema nikiwa hapa New York ya EA
JamiiForums468436950.jpg
 
waTz humu wataamini sana kua nchi yao ni bora sana sana shinda kenya kwa kila kitu. lakini kiukweli ni kwamba kenya ni jangwa sehemu kubwa, lakini keny
 
waTz humu wataamini sana kua nchi yao ni bora sana sana shinda kenya kwa kila kitu. lakini kiukweli ni kwamba kenya ni jangwa lakini keny
haya baci hii ni kenya kwa ubora wake. hebu leteni ubishi.. hii ni UN na IMF
Screenshot_2021-11-17-19-28-41-77.jpg
whenever u see anythng black,.. mjue tu hizo ni mi-nchi ya moto ya kuotea mba..... mbali 💥💥 less utachomeka wewe mwenye..... mweyewe.. 😆
 
Jpm aliteua watu wajinga sana kwa serikali yake kama huyu makonda. Mwisho wake, wateuzi hao wajinga hawakumshauri vizuri, hatimaye kifo.

 
Watanzania halisi wamechoshwa mataga. Wanataka ujenzi wa sgr amabyo haikamiliki ujenzi na miradi yote ya magufuli isimamishwe mara moja kwa kupoteza pesa bure.

 
Watanzania halisi wamechoshwa mataga. Wanataka ujenzi wa sgr amabyo haikamiliki ujenzi na miradi yote ya magufuli isimamishwe mara moja kwa kupoteza pesa bure.

Source Jamii Forums
 
Tano, Boeing mbili (dreamliner na cargo) Airbus mbili na dash 8 moja.

Tatizo langu ni hizo Max zilizouwa watu mara mbili. Kumbuka hizi Max waliziharakisha ili washindane na airbus neo. Sasa baada ya kuzifanyia marekebisho ni bora tusubiri tuone kama kweli ziko vizuri.
Max zimesharekebishwa tatizo sio muundo bali ilikuwa ni software inayoruhusu ndege kufanya manouvre angani imeshabadilishwa na kupitishwa na FAA. Kila kampuni duniani wanakimbilia kununua hizi ndege maana ni nzuri kibiashara.
 
Back
Top Bottom