THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Hahaaa!!zuka hiloWazalendo wa Kenya hii...
Global warming and rising sea water levels itafunika izi zote by 2100
Duh hii kweli imetoka moyoni . Kweli huipendi Tanzania . Atleast ungesema ukweli inapendeza Sana. Vumilia tu mkuuGlobal warming and rising sea water levels itafunika izi zote by 2100
Dwarf
Km footbridge tu manake sio ufupi huo


Global warming and rising sea water levels itafunika izi zote by 2100



Mjadala wa data, emu ziletete hzo data alizoleta akafu utuambie unalia nini...manake ninavyojua data hupingwa kw data wala sio maneno matupu...Tuko na mjadala wa data za shoga yako kwanza. Hebu tusaidie kuzichanganua bhas maaana wewe uko mombasa hapo tuambie ni mizigo gani mna import Kwa volume kubwa hivyo for just local consumption.
Imebidi nijibu this ignorance.., eti hizi mitaa ya Nax Vegaz ni best? 😂 😂 😂 unajua mitaa ya kifahari in Nakuru wewe., sikuweka humu kilaza 😂 😂 😂 😂 😂 they are not here., 👇 👇 👇 , hadi raha, ndio mjue Kenya sio size yenu 😂 😂 😂 😂 😂Vile unachukua normal against the best yet still inapanguswa kalio
We kunguru unajua hata mana ya dwarf?Dwarf
Km footbridge tu manake sio ufupi huo
Vumbi nation 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., anajibu Ruai na residential za matajiri in Dar., hakuna tarmac 😂 😂 😂 😂 😂 😂 mashambani., village!!Ndio uchafu gani unaweka apaa..
. Mwanza iyoooView attachment 2012630View attachment 2012631View attachment 2012632View attachment 2012633
Nataka ukubali kwamba maskini wa NAIROBI akija DSM atakufa, hawezani .. maskini wa NAIROBI ako na hali mbovu zaidi kulinganisha na maskini wa Dar, since maskini wa NAIROBI wanaishi kwenye nymba zenye kuta za mabati.. 😂😂😂More than a half of residential houses in Dar ni uswazi aka dreamhouses. Mbona unajitekenya? Hizo dreamhouses ndio uswazi babaa kama hujui.
Millioni saba kwasababu taifa lina city moja nyote fukara kutoka vijijini mnakimbilia dar kutafuta maisha., sitashangaa mkifika millioni kumi before 2025! ufukara vijijini ni mingi mno 😂 😂 😂 😂 ., na yale vijiji mnaita city hazina uwezo wa kiuchumi kuwezesha watu wengi kufaulu., ni Dar mnaelekea nyoote, ona ufukara mlio mwaga jijini Dar., uswazi kote kote., nyumba za ovyo, vichochoro sehemu mingi sana gari haiwezi kuingia, balaa!! ni aibu sana!Plus Dar ina watu milioni 7
Nairobi milioni 4
Mombasa milioni 1
Hiki ni nini 😂😂😂, kwa kujifanya kichaa hujamboImebidi nijibu this ignorance.., eti hizi mitaa ya Nax Vegaz ni best? 😂 😂 😂 unajua mitaa ya kifahari in Nakuru wewe., sikuweka humu kilaza 😂 😂 😂 😂 😂 they are not here., 👇 👇 👇 , hadi raha, ndio mjue Kenya sio size yenu 😂 😂 😂 😂 😂
![]()
Sio wivu ni ukweliWivu umekuzidi![]()
Global warming is real. Bahari litafunika most of dar is a slum by 2100. Posta etc.Duh hii kweli imetoka moyoni . Kweli huipendi Tanzania . Atleast ungesema ukweli inapendeza Sana. Vumilia tu mkuu
Acha kujamba wewe leta Takwimu za wakazi wa hizo City zenu..Millioni saba kwasababu taifa lina city moja nyote fukara kutoka vijijini mnakimbilia dar kutafuta maisha., sitashangaa mkifika millioni kumi before 2025! ufukara vijijini ni mingi mno 😂 😂 😂 😂 ., na yale vijiji mnaita city hazina uwezo wa kiuchumi kuwezesha watu wengi kufaulu., ni Dar mnaelekea nyoote, ona ufukara mlio mwaga jijini Dar., uswazi kote kote., nyumba za ovyo, vichochoro sehemu mingi sana gari haiwezi kuingia, balaa!! ni aibu sana!