Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania halisi wamechoshwa mataga. Wanataka ujenzi wa sgr amabyo haikamiliki ujenzi na miradi yote ya magufuli isimamishwe mara moja kwa kupoteza pesa bure.

Hao ni mafisadi wenye kumiliki malori na wadau wa kuuza mafuta ya magari ndiyo wanapiga vita sgr ya umeme
 
28 million umeipataje fafanua
Hilo swali lako peleka World Bank
PhotoGrid_1605162481588.jpg
 
Kwahiyo mpo 50mil? Kwamba mliacha kupigana mpini, Kenya mpo over 55mil.
Wacha tu nikufurahishe.
40% of 55m is 22m. Swali bado inabaki pale pale: kati ya 22m na 28m gani nyingi?

Mtatafuta kila aina ya kisingizio a vijisababu lakini number bado mtasoma
 
Hivi huyu mjambiani ameproject kitu gani toka aingie ikulu maana mang'amuzi ya jpm yanakwisha soon sijui tutapambana vipi na hawa nyangau za kenya maana kasi ya magufuli iliwa activate wakenya pia nao wana tengengeza miji yao kwa bidii kama kuweka na kujenga njia za wapita kwa miguu nairobi kwa kuzipendezesha .....sisi tumeondoa wamachinga lakini hakuna maboresho yoyote ya kupendezesha miji au mitaa !!! Kkoo kunamajengo hayajawai kufanyiwa ukarabati wala kupakwa rangi toka uhuru ,sijui kwanini serikali inaangaika na kutoza tozo masikini wakati hao wenye majengo machafu wangekuwa wanapigwa faini serikali ingepata mamilioni ya dola
Projects zinakuja bro wait alafu vikishindikana ndio tulaumu, tupo pazur sana mbona, let's wait and see
 
Projects zinakuja bro wait alafu vikishindikana ndio tulaumu, tupo pazur sana mbona, let's wait and see
Nime kunoti .....mm nitavuta subira ila mambo yakiwa magumu tusije tukakimbiana kwenye huu uzi maana nyinyi mnaosema hivyo hatuta waona mkitetea jahazi la huu uzi
 
Kwani ilo neno sijui dwaft ni gani naona toka ulifume kwenye mtihani wa manesi sijui madokta wa inglishii mliopata sifuri wote isipokuwa wachache naona kila mada ni dwafitiiiiii
Daraja lenu ni dwarf mzee hata uruke tuke vipi wala ukweli hautobadilika
 
Daraja lenu ni dwarf mzee hata uruke tuke vipi wala ukweli hautobadilika
Daraja linakuumiza kichwa hilo, huamini macho yako 😂😂😂.. owky endelea kuumia kidogo 👇
3002875_563734BD-ACD3-455F-9EAC-9BCFAB15220E.jpeg
daraja lingine👇
maxresdefault(18).jpg
and guess what, haya Madaraja hapa DSM yatajengwa matatu, mawili kama unavyoyaona, bado moja, utaumia sana mdogo angu, mambow ndio kwanza yameanza ..
 
Back
Top Bottom