Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,172
- 29,783
Hao ni mafisadi wenye kumiliki malori na wadau wa kuuza mafuta ya magari ndiyo wanapiga vita sgr ya umemeWatanzania halisi wamechoshwa mataga. Wanataka ujenzi wa sgr amabyo haikamiliki ujenzi na miradi yote ya magufuli isimamishwe mara moja kwa kupoteza pesa bure.
![]()
Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini. Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote...www.jamiiforums.com


