Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi ni sehemu gani ndani ya Tanzania unaweza kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine ukatumia masaa 96 njiani?
Longest Route is Mtwara to Mutukula
Screenshot_20211118-085251.png
 
Danganyikans are generally stupid. Even in the face of death like Magufuli, wanaamua kua tu wajinga. Maji maji rebellion the same, unaamini uchawi unakufa risasi. Magufuli unaamini dawa za kienyeji unakufa corona. Plain and simple.
 
Wakunya nawatakia usiku mwema nikiwa hapa New York ya EA View attachment 2014697
Hivi huyu mjambiani ameproject kitu gani toka aingie ikulu maana mang'amuzi ya jpm yanakwisha soon sijui tutapambana vipi na hawa nyangau za kenya maana kasi ya magufuli iliwa activate wakenya pia nao wana tengengeza miji yao kwa bidii kama kuweka na kujenga njia za wapita kwa miguu nairobi kwa kuzipendezesha .....sisi tumeondoa wamachinga lakini hakuna maboresho yoyote ya kupendezesha miji au mitaa !!! Kkoo kunamajengo hayajawai kufanyiwa ukarabati wala kupakwa rangi toka uhuru ,sijui kwanini serikali inaangaika na kutoza tozo masikini wakati hao wenye majengo machafu wangekuwa wanapigwa faini serikali ingepata mamilioni ya dola
 
Back
Top Bottom