Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unakufa na tetenus kabla ulazwe.


Ruvuma Hospital - Regional Referral Hospital
Dah unaleta tangazo lina FAX, lina yahoo wkt serkali email zake zote zinaishia kwa .go.tz, hilo tangazo lako ni la enzi ya Mwinyi Senior.
 
Kumbe unajua kuhesabu?? 😂 😂 😂
So ni ujinga tu unakuanga nayo?? Sasa naomba uhesabu na hii pia (the one on the far left) uniambie ni ngapi kisha nikuambie kitu hufahamu kuhusu hizi towers
View attachment 1997119

Mahali umeanza kuhesabia is not ground level. GTC residentials have a common block that rises five floors above the ground. (Yani foundation ni moja then ikajengwa hadi ghorofa ya tano ndio hizo towers zikagawanyishwa into four individual towers.) Kutoka ghorofa ya sita kwenda juu ndio kuna individual towers as you can see below. So hizo 24 floors umehesabu kuna zingine tano chini View attachment 1997124View attachment 1997139

View attachment 1997118
ushahidi huu hapa sio mm usinikasirikie bure 😂😂😂😂😂 asante mchina
14C616C3-8C6D-4DEE-8E06-927A62E44B0B.jpeg
D4BB0713-AB7C-466E-9E2E-EF886AEBB6BB.jpeg


AAABD1C0-F4A4-475C-A0D9-A1DF13190284.jpeg
 
Dah unaleta tangazo lina FAX, lina yahoo wkt serkali email zake zote zinaishia kwa .go.tz, hilo tangazo lako ni la enzi ya Mwinyi Senior.
Nueni vifaa kwanza, hospitali zenu za mkoa bado ni big clinics. Tanzania has 1 doctor per 25000 patients way below the WHO recommendation of 1 doctor per 10000. Kenya has 1 doctor per 7000 patients.
 
Wewe jiulize je watz tunatamani kuishi nigeria au la? Utapata jibu ,hizo jdp za makaratasi zinazidishaga tu maumivu ya moyo kitu ambacho watz hatukitaki yaani kuwa NA SIFA ZA LODI ROFA
Na nyie mtabaki hvo hvo kujikuta mko vizuri kumbe mna mark-time tu km kawaida yenu..
 
Leo nimewapiga kama mbwa hadi mkaanza kuleta hospitali za kanisa. Sijui bugando catholic hospital.🤣🤣🤣 Mumeshangaa sana how all our county referral hospitals are equipped with modern facilities hadi huko Wajir, Mandera, Turkana etc
We are not even talking about facilities in level 6 hospitals yet.

 
ushahidi huu hapa sio mm usinikasirikie bure 😂😂😂😂😂 asante mchina
View attachment 1997322View attachment 1997323

View attachment 1997325
Bongolala, I know you are stupid but how many times am I going to tell you that mahali umeanza kuhesabia sio ground level? Can't you see hizi ghorofa tano ambazo ziko in the common block ndio zimeanzia kwa ground level? Huoni hizi towers mbili hapa zote zimejengwa juu ya hiyo common block ya ghorofa tano?
FA7n1FIXEAITMSI.jpg


And then if you managed to count hizo floors ziko juu ya hiyo common block na ukapata ziko 24, iweje huwezi hesabu hizi na upate ziko ngapi? Si unaona wewe ni mjinga tu?
images (25).jpeg
 
Back
Top Bottom