Hehehe, mikorogo hamna Kenya, hiyo ni tabia ya Congo, Nigeria na Tanzania. Kenyans are proud of their color just like Ugandans. Tanzania ndio muna mikorogo maana huko mnaabudu rangi nyeupe. Hata matusi yenu mara nyingi hugusia weusi wa rangi alafu mastaa wenu wote hutafuta wanawake weupe weupe. Video za miziki munapenda kuweka wazungu. Yani kwa Mtanzania weupe wa rangi ndio sura. Hapa Kenya tunajipenda tulivyo - ukizaliwa mweusi sawa, ukizaliwa mweupe sawa. Hata mastaa wetu mara nyingi huimba nyimbo za kusifia wanawake weusi. We are proud of being black ndio maana huku hakuna mikorogo kama huko kwenu.