Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa lipi hasa la ajabu alilofanya? Au ndo kukimbia, mbio zenyewe za km 2000

Lini ulisikia mbio ndefu zinamaajabu kama mbio fupi?
Mbona basi kafanya maajabu kw kubeba tuzo mfululizo za best male athlete km sijakosea
Au weye unaongelea maajabu gani
 
hebu hesabu hapa tuone 😂😂😂😂
View attachment 1997327
That's 25 floors above the common block. Wewe ulihesabu hapa?
images (25).jpeg
 
Bongolala, I know you are stupid but how many times am I going to tell you that mahali umeanza kuhesabia sio ground level? Can't you see hizi ghorofa tano ambazo ziko in the common block ndio zimeanzia kwa ground level? Huoni hizi towers mbili hapa zote zimejengwa juu ya hiyo common block ya ghorofa tano?View attachment 1997351

And then if you managed to count hizo floors ziko juu ya hiyo common block na ukapata ziko 24, iweje huwezi hesabu hizi na upate ziko ngapi? Si unaona wewe ni mjinga tu?View attachment 1997350
Ujinga uliotukuka
Jamaa kasahau km hapo sio ground level
 
Bongolala, I know you are stupid but how many times am I going to tell you that mahali umeanza kuhesabia sio ground level? Can't you see hizi ghorofa tano ambazo ziko in the common block ndio zimeanzia kwa ground level? Huoni hizi towers mbili hapa zote zimejengwa juu ya hiyo common block ya ghorofa tano?View attachment 1997351

And then if you managed to count hizo floors ziko juu ya hiyo common block na ukapata ziko 24, iweje huwezi hesabu hizi na upate ziko ngapi? Si unaona wewe ni mjinga tu?View attachment 1997350
Unahesabu mpk parking na bado haifiki 30, Kenya nzima over 30 zipo 5 pamoja na asante Mchina, Dar 10
 
Kenya over 30 ni 11, Tanzania ni 7.
Tuanze kuhesabu? Na hapo ifahamike kwamba hatukuwa tunajisumbua na majengo kwa miaka 10 sasa, nyie mmepata msaada wa asante Mchina lkn wapii, ss jaribu kufikiria kabla ya asante Mchina gape lilikuwaje
 
Mtyanzania ni mtu wa kuongelesha kutumia proves and evidences. Here is a good picture to summerize everything. From this you can see all the five residential buildings are 30+ floors. The commo9n block is 6 floors.


2321292_tapatalk_1568101048332.jpg
Cc Nicxie umeona hakuna over 30 hata moja apo
 
Tuanze kuhesabu? Na hapo ifahamike kwamba hatukuwa tunajisumbua na majengo kwa miaka 10 sasa, nyie mmepata msaada wa asante Mchina lkn wapii, ss jaribu kufikiria kabla ya asante gape lilikuwaje
Tuanze na GTC. Over 30 floors ni five.

All the 4 residential buildings of over 30+ ndio hizi hapa.

33f
33f
31f
30f

2321291_IMG_20200117_105443_2.jpg


2321292_tapatalk_1568101048332.jpg
 
Back
Top Bottom