President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Is this referral hospital!? Seriously!?Wajir County Referral Hospital.
View attachment 1997015
View attachment 1997016
View attachment 1997017
🤣🤣🤣 Dispensary zitakuwaje sasa!?
Is this referral hospital!? Seriously!?Wajir County Referral Hospital.
View attachment 1997015
View attachment 1997016
View attachment 1997017
Hahaha, it sound like you explain your behavior as kunyans![]()
Ndio ndio big broHizi picha ni ubungo pale ilipokuwa stendi ya mkoa?
Yaani maskini kama wewe uombwe🤣🤣🤣
Huyu Mzee anakufa na njaa huko Nairobi wewe unaleta propaganda.
Can you solve this!?
View attachment 1997002
View attachment 1997004
View attachment 1997005
Haya mambo yanapatikana Kenya tu.Tatizo lenu uzembe, mna mapori yote hayo lakini umaskini mpaka mnatuchafulia nchi kwa omba omba wenu
Hospitali ilishafanyiwa rennovation kitambo na ikafunguliwa, wewe bado unakuja hapa na picha za ukoloni wakati wa Lamu District. Pole sana sahii ni Lamu County hadi ikona radiology machines. AAAAAUUUIIIIIII Kujeni muone bongolala anaumia.🤣🤣🤣 😂😂😂😂😂Umekuja tena na issue zako za kufananisha Wajir na Chinese cities
View attachment 1997020
Mzee Hiyo Hospital ni ya msaada toka kwa King of Saudi Arabia. Vitu vidogo hivyo mpaka mpate msaada!?Hospitali ilishafanyiwa rennovation kitambo na ikafunguliwa, wewe bado unakuja hapa na picha za ukoloni wakati wa Lamu District. Pole sana sahii ni Lamu County hadi ikona radiology machines. AAAAAUUUIIIIIII Kujeni muone bongolala anaumia.🤣🤣🤣 😂😂😂😂😂![]()
Haya mambo yanapatikana Kenya tu.
Ukiwa mzembe huwezi kupata chakula.
Saidia baba na mama zako. Acha kujificha kwa keyboard
View attachment 1997030
Nawewe unaamini na wakati maendeleo yalipo china hiyo marekani yenyewe itasubiri... Hizo maneno ni za kusema China na Russia ni developing countries ni propaganda tu za mrengo wa kulia (capitalism)Russia and China are not developed. Read on the threshold for developed country and come back.
Mbona umesahau hii.Hospitali ni kubwa na ujue kwa hio picha ya 2017 haikua hata imemaliza kujengwa yote, umia pole pole. Ulikua unangoja kuona Wajir hakuna level 5. 🤣🤣🤣🤣 utaumia sana nugu.
![]()
View attachment 1997035
HOMSO...Ndio maana nikakuambia IQ yako bado ipo chini sana.
Neno Wizara ya Afya lilikuwa kinatumika during colonial system.
Sasa hivi tunatumia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.
Check kibao sasa. Nioneshe kibao cha Wajir
View attachment 1996820


Internship nimefanyia hapa... Noma na nusu 

Hii Hospitali ikona ICU by the way. Morogoro regional clinic si munapiga tu watu Xray mukiwatuma Muhimbili.🤣🤣🤣🤣Mbona umesahau hii.
This is not hospital dude. This is just a dispensary. I need Hospital, acha kuleta uchafu.
View attachment 1997053
Malolo Hospital Tabora TanzaniaHospitali ni kubwa na ujue kwa hio picha ya 2017 haikua hata imemaliza kujengwa yote, umia pole pole. Ulikua unangoja kuona Wajir hakuna level 5. 🤣🤣🤣🤣 utaumia sana nugu.
![]()
View attachment 1997035
Nimekuleta mbio na Wajir County Hospital, hadi umetorokea kwa private hospitals. Huko sasa ndo hutawezana ju Kenya is a capitalist state. Hospital zenu ni big clinincs tu hakuna vifaa. Ona sasa Wajir County Hospital renal dialysis unit.
😂😂😂 Hii kama ni referal hospital basi hapo Kenya ni mavi .. heb ona vituo vya afya vile vinakaa tz 👇masasi MtwaraWajir County Referral Hospital.
View attachment 1997015
View attachment 1997016
View attachment 1997017