Muhimu ni kukusanya Kodi nyingi au muhimu ni matumizi Bora ya makusanyo na "impact" zinazotokana na matumizi ya Kodi iliyokusanywa?.
Miradi inayofanywa na GoT kutokana na makusanyo ya Kodi ni zaidi ya mara kumi ya Ile inayofanywa na GoK kutokana na Kodi wanazokusanya.
1)Bwawa la Nyerere $2.9B
2)SGR $4B
3)Ununuzi wa midege ya kisasa $800M
4)Daraja la Kigongo Busisi $300M
5)Kimara - Kibaha highway $200M
Total $8.2B
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]