Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Sasa huoni mwangaza unaowaka zaidi ni ule uliopo ndani barani. Dar ipo kando mwa ufuo wa bahari. Ni rahisi kuona kwamba japo Dar inawaka kushinda Mombasa bali Nai inawaka kushinda Dar. Usijipofushe.Wapi nimesema Nairobi inawaka zaidi ya Dar? Wewe hiyo picha huioni au unajifanya kipofu.


