Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi nimesema Nairobi inawaka zaidi ya Dar? Wewe hiyo picha huioni au unajifanya kipofu.
Sasa huoni mwangaza unaowaka zaidi ni ule uliopo ndani barani. Dar ipo kando mwa ufuo wa bahari. Ni rahisi kuona kwamba japo Dar inawaka kushinda Mombasa bali Nai inawaka kushinda Dar. Usijipofushe.
 
Muhimu ni kukusanya Kodi nyingi au muhimu ni matumizi Bora ya makusanyo na "impact" zinazotokana na matumizi ya Kodi iliyokusanywa?.

Miradi inayofanywa na GoT kutokana na makusanyo ya Kodi ni zaidi ya mara kumi ya Ile inayofanywa na GoK kutokana na Kodi wanazokusanya.
1)Bwawa la Nyerere $2.9B
2)SGR $4B
3)Ununuzi wa midege ya kisasa $800M
4)Daraja la Kigongo Busisi $300M
5)Kimara - Kibaha highway $200M

Total $8.2B
Sasa kama mnajenga kwa pesa yenu ya ndani na sisi tunajenga kwa mkopo tofauti iko wapi bora sisi tunaweza kulipa mkopo huo pamoja na riba yake? Umewahi kusikia kwamba Kenya imekosa kulipa mkopo wake? Hakuna siku Kenya imewahi kushindwa kulipa mkopo.
 
Sasa kama mnajenga kwa pesa yenu ya ndani na sisi tunajenga kwa mkopo tofauti iko wapi bora sisi tunaweza kulipa mkopo huo pamoja na riba yake? Umewahi kusikia kwamba Kenya imekosa kulipa mkopo wake? Hakuna siku Kenya imewahi kushindwa kulipa mkopo.

Yes,
Na sasa Kenya inakopa ili kulipa Madeni,
Imefika wakati sasa Kenya inakopa kwa matajiri wa ndani ili kulipa madeni ya nje,
Your economy is going Greece way .
 
Kingine Mrundi ukimsaidia huwa anakumbuka hasahau.
Ni tofauti sana na wale wengine jirani yao.

Ndio maana huwa akitokea mpumbav yoyote kutaka kuigusa Burundi lazima tu JWTZ ihakikishe Burundi inakuwa salama.
Mburundi na mcomoro ukikutana nae nchi za watu wanakuchukulia mbongo ni ndugu yao wa damu kabisaa,huwezi kusikia mcomoro au mrundi kakamatwa hapo TZ kwa kuingia bila viza na jamaa wapo kibao wanaishi bila vibali
 
Urafiki nje ya ukweli ni unafiki! Get to know the genesis ya hili! Ni kueleza mabaya ya Magufuli! I have nothing to fear and no one will cow me down on that! Just like they peddle his good i have the right to peddle his bad in the honor of those lost souls!
Huyu jamaa na yule mwenzaka lwiva bora walivyokula ban,wanageuza hili jukwaa uwanja wa siasa
 
Yes,
Na sasa Kenya inakopa ili kulipa Madeni,
Imefika wakati sasa Kenya inakopa kwa matajiri wa ndani ili kulipa madeni ya nje,
Your economy is going Greece way .
Ngojeeni tushindwe kulipa mkopo ndio muanze kusherehekea.
 
Mburundi na mcomoro ukikutana nae nchi za watu wanakuchukulia mbongo ni ndugu yao wa damu kabisaa,huwezi kusikia mcomoro au mrundi kakamatwa hapo TZ kwa kuingia bila viza na jamaa wapo kibao wanaishi bila vibali
Hao Comoro asilimia kubwa ya vyakula, matunda na mbogamboga wanazotumia vinatoka bongo.
Halafu kuna mdau alishawahi kufungua uzi humu jamiiforums akihoji kwanini Tanzania haikuungana na Comoro kutengeneza nchi moja!
 
hujaelewa na umeongea pumba tu.. Azam na Biashara United wakitoka wote Dar na kutua Egypt jumla wanakuwa abiria 22 sio? wakifika egypt hao biashara watapanda ndege ndogo kama ipo watue Libya.. wakirudi watarudi wote kutokea Egpyt.. Libya na Egypt ni kama Uganda na Kenya
barrick anaiaibisha biasharaunited au biashara United inamuaibisha barrick?
 
mbona umekuwa wa ajabu, una maswali ya kitoto.. kwan ATCL ina route ya Benin au Nigeria ilivyopeleka Taifa Stars na Yanga?
Tatizo langu ni kulazimisha ndege kusafiri under-capacity. Ujue mafuta lazima ijazwe full tank huku ndege imebeba 1/3 ya capacity yake. Lakini kama ATCL ina ndege ndogo basi hakuna shida. Ndege ndogo inaweza kutumika.
 
Sasa kama mnajenga kwa pesa yenu ya ndani na sisi tunajenga kwa mkopo tofauti iko wapi bora sisi tunaweza kulipa mkopo huo pamoja na riba yake? Umewahi kusikia kwamba Kenya imekosa kulipa mkopo wake? Hakuna siku Kenya imewahi kushindwa kulipa mkopo.
Hahahaha, Sasa hiyo pesa mnayokusanya ni kwa ajili gani?, Maji, chakula na makazi ni duni ukilinganisha na Tanzania.
 
Hahahaha, Sasa hiyo pesa mnayokusanya ni kwa ajili gani?, Maji, chakula na makazi ni duni ukilinganisha na Tanzania.
Barabara yetu ni nzuri kushinda yenu. Wakenya wengi wana umeme nyumbani kushinda Watanzania.
 
Sasa kama mnajenga kwa pesa yenu ya ndani na sisi tunajenga kwa mkopo tofauti iko wapi bora sisi tunaweza kulipa mkopo huo pamoja na riba yake? Umewahi kusikia kwamba Kenya imekosa kulipa mkopo wake? Hakuna siku Kenya imewahi kushindwa kulipa mkopo.
Wacha kujipiga kifua apa...sijuzi tu meomba mkopo usogezwe mbele..manake nini kama sio kushindwankulipa?
 
Sasa nenda kwanza uka update google inayosema hivi View attachment 1983608View attachment 1983609

Congratulations Dar is Slum. Largest city on planet earth.

dar1.JPG
dar2.JPG
 
Back
Top Bottom