Linahusu nn hilo sakata mkuu.Hii sakata la Biashara United ujinga mtupu.
msimu huu kuna timu nyingi kubwakubwa zitaanguka pua.. hao wageni (underdogs) wana maajabu sana saiz.. Simba huyu mbotswana kapewa uwepes bas tu.. ila kwengine vigogo wanahaha.. subir wiki ijayo uone shows za kibabe zitakavyopigwa



Hii sakata la Biashara United ujinga mtupu.
Wazee wa $100 wakujibu hilo swali mkuu.
Sioni kama kuna taifa linaweza fika standard za China ..umewahi kujua kuhusu huu mji.? 👇.
and mark you this happened this month View attachment 1984331
inferiority complex.Hawa jamaa nafanya nao kazi Wana kiburi Sana,hata madem wao Wana zarau hatari! Aalafu wanabaguana wao kwa wao sijui tigre,oromo🙄mkute sasa Yule anajua English ndo utakoma🙄
Hvi wadau wa ithiopia wana shida gani kila siku wao tuu, uchumii wao wamakaratasi nn mbona kutwa wanakimbia nchi yao
Wametapakaa kwa ajili ya kujituma, sio eti kwao kubaya. KCB iko in the process ya kununua Bank fulani huko Tz, inamaanisha kuna wakenya kadhaa watakuja kuendesha branches za hiyo bank huko - hiyo ni kujituma, sii kukosa. Kama vile Wachina, Walebanese na Wazungu walivyotapakaa Afrika - sio eti kwao hakuna - ni kujituma wamejituma.Wakenya wametapakaa nchi zote za Africa Kama ilivyo wahabeshi wa Ethiopia, tatizo ni ukabila, unemployment, njaa, insecurity na kukata tamaa
Biashara imeshindwa kusafiri Libya kwa second leg, kisa mambo ya pesa mara usafiri.Linahusu nn hilo sakata mkuu.
Wametapakaa kwa ajili ya kujituma, sio eti kwao kubaya. KCB iko in the process ya kununua Bank fulani huko Tz, inamaanisha kuna wakenya kadhaa watakuja kuendesha branches za hiyo bank huko - hiyo ni kujituma, sii kukosa. Kama vile Wachina, Walebanese na Wazungu walivyotapakaa Afrika - sio eti kwao hakuna - ni kujituma wamejituma.
joto la jiwe sikiliza hii mbuzi 🤣🤣🤣🤣Wametapakaa kwa ajili ya kujituma, sio eti kwao kubaya. KCB iko in the process ya kununua Bank fulani huko Tz, inamaanisha kuna wakenya kadhaa watakuja kuendesha branches za hiyo bank huko - hiyo ni kujituma, sii kukosa. Kama vile Wachina, Walebanese na Wazungu walivyotapakaa Afrika - sio eti kwao hakuna - ni kujituma wamejituma.
Ilikua wapi hii?, siku nyingi sijaisikia hapa



Na hao jamaa usiombe ukutane nao nje ya africa,wanalinga hatari wakishatusua europe
Kweli mnawaelewa hawa jamaa, huwa wanajisikia kishamba sana.Wanasema wao sio waafrika, kumbe nchi yao majanga tupuu
Kujituma vipi wakati hata chakula ni shida?Wametapakaa kwa ajili ya kujituma, sio eti kwao kubaya. KCB iko in the process ya kununua Bank fulani huko Tz, inamaanisha kuna wakenya kadhaa watakuja kuendesha branches za hiyo bank huko - hiyo ni kujituma, sii kukosa. Kama vile Wachina, Walebanese na Wazungu walivyotapakaa Afrika - sio eti kwao hakuna - ni kujituma wamejituma.
🤣🤣🤣🤣🤣Ilikua wapi hii?, siku nyingi sijaisikia hapa![]()