Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Teargas aliokota picha za hela huko akazileta hapa akidai anamiliki hizo pesa,jamaa kavu sana haoMkenya Noma Sana 🤣🤣🤣🤣
Teargas aliokota picha za hela huko akazileta hapa akidai anamiliki hizo pesa,jamaa kavu sana haoMkenya Noma Sana 🤣🤣🤣🤣
Usidharau hii project. Hii ni the longest expressway in Africa. Hata South Africa au Egypt hawana expressway ndefu kama hii.Nchi ya project moja, hata wajenge nini bado panakaa ushagoo, jamaa miji yao michafu sn, no wonder the country holds various dirtiest citiesView attachment 1982342
Hahaha kiswahili chako ni kikali kweli. Lakini kiswahili cha Kenya huwa kibovu kweli. "Enyewe", "venye" "penye". Lakini tunajivunia kiswahili chetu tukufu.Emu utuache kidogo nyinyi wa tz munapenda kutuonea penye tunapendaga kujitahidi uoni venye tumejipanga😃😃😃😃😃😃😃😃View attachment 1982558
Kenya wanatumia magari ya kizamani mnoo, sasa kama hili si ni la ww1 hili!?Emu utuache kidogo nyinyi wa tz munapenda kutuonea penye tunapendaga kujitahidi uoni venye tumejipangaView attachment 1982558










Huyo mama anakuanga na pesa nyingi Sana sai alipata kazi kwa serikali ni engineer ministry of water![]()







Wawe nayo ya nn sasa, unadhani wao ni dampo la wajinga kama Kenya waruhusu mamiradi yasiyo na tija kwa mwananchi?Usidharau hii project. Hii ni the longest expressway in Africa. Hata South Africa au Egypt hawana expressway ndefu kama hii.
Kwanza hiyo project sio ya serikali, pili haina "direct impact"kwa uchumi wa Kenya, mwisho haisaidii mwananchi wa kawaidaUsidharau hii project. Hii ni the longest expressway in Africa. Hata South Africa au Egypt hawana expressway ndefu kama hii.
Kwanza hiyo project sio ya serikali, pili haina "direct impact"kwa uchumi wa Kenya, mwisho haisaidii mwananchi wa kawaida
Wacheni wivu. Kwa hivyo jam kupungua Nairobi haitakuwa na impact yoyote katika uchumi wa Kenya?Wawe nayo ya nn sasa, unadhani wao ni dampo la wajinga kama Kenya waruhusu mamiradi yasiyo na tija kwa mwananchi?
huyu Geza Ulole ana matatizoa tu
Jam ya kuelekea Airport?? Why not kuelekea Thika road au kuelekea Kibera?Wacheni wivu. Kwa hivyo jam kupungua Nairobi haitakuwa na impact yoyote katika uchumi wa Kenya?




Zuwenna, Mambo?Niwakumpuuz
Utadhani Chato ipo nje ya mipaka ya Tanzania.Bora waite hivyo hivyo geita maana kuna watu wakiona chato uwa wanaumia mioyoni mwao



Sio airport pekee. Hii expressway inapitia Mombasa road ambapo kuna industrial area of Nairobi. Hapo kuna industries nyingi sana. Pia Mombasa road ina estates ambapo wakaazi wengi sana wa Nairobi wanaishi. Pia eneo hilo kuna Nairobi inland container depot ambapo malorry yanakuja kubeba containers zilizoshushwa na treni ya SGR. Hii expressway pia inapitia Nairobi CBD ambapo huwa kuna jam kali sana. Isitose hii expressway pia inapitia Westlands pia ambapo huwa kuna jam kali sana. Kwa hivyo sio jam inayoelekea airport pekee itakayopungua. Naona huielewi Nairobi vizuri.Jam ya kuelekea Airport?? Why not kuelekea Thika road au kuelekea Kibera?![]()
Tuachie sisi vijana uvuvi.
Kama ingekuwa ni "free of charge" ndiyo ungeweza kuwa na uhakika kwamba gari nyingi zingetumia kila siku. Hii ni sawa na Karen au Nairobi Hospitals, only upper and few Middle class can affordSio airport pekee. Hii expressway inapitia Mombasa road ambapo kuna industrial area of Nairobi. Hapo kuna industries nyingi sana. Pia Mombasa road ina estates ambapo wakaazi wengi sana wa Nairobi wanaishi. Pia eneo hilo kuna Nairobi inland container depot ambapo malorry yanakuja kubeba containers zilizoshushwa na treni ya SGR. Hii expressway pia inapitia Nairobi CBD ambapo huwa kuna jam kali sana. Isitose hii expressway pia inapitia Westlands pia ambapo huwa kuna jam kali sana. Kwa hivyo sio jam inayoelekea airport pekee itakayopungua. Naona huielewi Nairobi vizuri.