Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza hiyo project sio ya serikali, pili haina "direct impact"kwa uchumi wa Kenya, mwisho haisaidii mwananchi wa kawaida
Wawe nayo ya nn sasa, unadhani wao ni dampo la wajinga kama Kenya waruhusu mamiradi yasiyo na tija kwa mwananchi?
Wacheni wivu. Kwa hivyo jam kupungua Nairobi haitakuwa na impact yoyote katika uchumi wa Kenya?
 
Jam ya kuelekea Airport?? Why not kuelekea Thika road au kuelekea Kibera?
Sio airport pekee. Hii expressway inapitia Mombasa road ambapo kuna industrial area of Nairobi. Hapo kuna industries nyingi sana. Pia Mombasa road ina estates ambapo wakaazi wengi sana wa Nairobi wanaishi. Pia eneo hilo kuna Nairobi inland container depot ambapo malorry yanakuja kubeba containers zilizoshushwa na treni ya SGR. Hii expressway pia inapitia Nairobi CBD ambapo huwa kuna jam kali sana. Isitose hii expressway pia inapitia Westlands pia ambapo huwa kuna jam kali sana. Kwa hivyo sio jam inayoelekea airport pekee itakayopungua. Naona huielewi Nairobi vizuri.
 
Sio airport pekee. Hii expressway inapitia Mombasa road ambapo kuna industrial area of Nairobi. Hapo kuna industries nyingi sana. Pia Mombasa road ina estates ambapo wakaazi wengi sana wa Nairobi wanaishi. Pia eneo hilo kuna Nairobi inland container depot ambapo malorry yanakuja kubeba containers zilizoshushwa na treni ya SGR. Hii expressway pia inapitia Nairobi CBD ambapo huwa kuna jam kali sana. Isitose hii expressway pia inapitia Westlands pia ambapo huwa kuna jam kali sana. Kwa hivyo sio jam inayoelekea airport pekee itakayopungua. Naona huielewi Nairobi vizuri.
Kama ingekuwa ni "free of charge" ndiyo ungeweza kuwa na uhakika kwamba gari nyingi zingetumia kila siku. Hii ni sawa na Karen au Nairobi Hospitals, only upper and few Middle class can afford
 
Back
Top Bottom