babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Ni kweli lakini mabinti wa siku hizi wanaona fahari kutembea na wazee wanasema vijana ni bahili.Ng'ombr hazeeki maoni![]()
Na hii yote inasababishwa na nyie wazee kuonga parefu!



Ni kweli lakini mabinti wa siku hizi wanaona fahari kutembea na wazee wanasema vijana ni bahili.Ng'ombr hazeeki maoni![]()



Leo kwenye vyombo vya habari nimemsikia kuna daraja lingine wanataka kujenga Mbezi,ni Mbezi louis,au ni Mbezi ipi wakuu, naomba kujua mwenye taarifa kamili.
Majibu za hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha kiswahili chako ni kikali kweli. Lakini kiswahili cha Kenya huwa kibovu kweli. "Enyewe", "venye" "penye". Lakini tunajivunia kiswahili chetu tukufu.
Hehehehehee....Zuwenna, Mambo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kua mkenya kazi Sana inataka moyoKenya wanatumia magari ya kizamani mnoo, sasa kama hili si ni la ww1 hili!?![]()
Ww ndio hata ulicho andika hujui, please back to your englishjisomee kenye umeandika, uwezo wa kuelewa ni finyu, kwani ilikua ni lazima u comment?., idiot, linakuaga limezubaa siku zote![]()
![]()
![]()
![]()


"jisomee kenye umeandika" fool kwani uliambiwa ni lazima unijibu


Ukiona huelew pita kimyaa ...jisomee kenye umeandika, uwezo wa kuelewa ni finyu, kwani ilikua ni lazima u comment?., idiot, linakuaga limezubaa siku zote![]()
![]()
![]()
![]()
1)19< Age: They have time, Energy but no MoneyNi kweli lakini mabinti wa siku hizi wanaona fahari kutembea na wazee wanasema vijana ni bahili.
Na hii yote inasababishwa na nyie wazee kuonga parefu!![]()





Kenye,venye penye ,enyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we jamaa umetisha 🤣🤣🤣Ww ndio hata ulicho andika hujui, please back to your english"jisomee kenye umeandika" fool kwani uliambiwa ni lazima unijibu
![]()
Jam ya kuelekea Airport?? Why not kuelekea Thika road au kuelekea Kibera?![]()






Kama ww ndio unamaumivu zaidi kamshauri mama ameachie mbowe...Mwenda zake ni off limit ...unapoteza mdaa kumuhadaaah marehem ulukuwa wapi wakati yuu hai?hivi kwann hakuna ustaarabu wa kukubali different opinion? why matusi? kwa vile wengine hawajui kutukana au? May be hii ndo sababu wakina Gwamba na Saanane hatunao kisa tu walikuwa na maoni tofauti! Aisee siwezi kumsamehe mwendazake kwa hili!

tafuta cha kufanya acha kuwa nagging kama wewe ulivyo na uchungu na suala la Magufuli kuanikwa na kwa uuaji na ukabila wake kuna watu hawajaona ndugu zao kwa miaka hawajui kama wamekufa au wako hai! Mimi nawa-present hao na huna chochote unaweza kunibadiliksha maana hamna dhambi kuu zaidi ya kuua.Kama ww ndio unamaumivu zaidi kamshauri mama ameachie mbowe...Mwenda zake ni off limit ...unapoteza mdaa kumuhadaaah marehem ulukuwa wapi wakati yuu hai?
Ujuaji mwingi usio na manaa![]()
Kwenye no time ndo kuna tatizo sisi wa 20 - 40 yrs.1)19< Age: They have time, Energy but no Money
2) 20 - 40 yrs; They have Energy, Money but no time
3) Above 45year; They have time, Money but no Energy
Kwahiyo mabinti wanajua kwamba huku watapa "Maximum attention"(time), highest pay(Money), from less work they perform (No Energy)![]()



Ninyi ni pasua kichwa, hamtaki kutoa pesa lakini kitandani mnasimamia kucha,Kwenye no time ndo kuna tatizo sisi wa 20 - 40 yrs.![]()



