Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo kwenye vyombo vya habari nimemsikia kuna daraja lingine wanataka kujenga Mbezi,ni Mbezi louis,au ni Mbezi ipi wakuu, naomba kujua mwenye taarifa kamili.

mbezi mwisho (louis).. pale makutano ya mbezi, goba na malamba mawili .. ile sehem ni korofi sana.. hakuna easy flow of vehicles
IMG_2512.jpg


pitia hapa
 
Ni kweli lakini mabinti wa siku hizi wanaona fahari kutembea na wazee wanasema vijana ni bahili.
Na hii yote inasababishwa na nyie wazee kuonga parefu!
1)19< Age: They have time, Energy but no Money

2) 20 - 40 yrs; They have Energy, Money but no time

3) Above 45year; They have time, Money but no Energy

Kwahiyo mabinti wanajua kwamba huku watapa "Maximum attention"(time), highest pay(Money), from less work they perform (No Energy)
 
hivi kwann hakuna ustaarabu wa kukubali different opinion? why matusi? kwa vile wengine hawajui kutukana au? May be hii ndo sababu wakina Gwamba na Saanane hatunao kisa tu walikuwa na maoni tofauti! Aisee siwezi kumsamehe mwendazake kwa hili!
Kama ww ndio unamaumivu zaidi kamshauri mama ameachie mbowe...Mwenda zake ni off limit ...unapoteza mdaa kumuhadaaah marehem ulukuwa wapi wakati yuu hai?
Ujuaji mwingi usio na manaa
 
Kama ww ndio unamaumivu zaidi kamshauri mama ameachie mbowe...Mwenda zake ni off limit ...unapoteza mdaa kumuhadaaah marehem ulukuwa wapi wakati yuu hai?
Ujuaji mwingi usio na manaa
tafuta cha kufanya acha kuwa nagging kama wewe ulivyo na uchungu na suala la Magufuli kuanikwa na kwa uuaji na ukabila wake kuna watu hawajaona ndugu zao kwa miaka hawajui kama wamekufa au wako hai! Mimi nawa-present hao na huna chochote unaweza kunibadiliksha maana hamna dhambi kuu zaidi ya kuua.
 
1)19&lt; Age: They have time, Energy but no Money

2) 20 - 40 yrs; They have Energy, Money but no time

3) Above 45year; They have time, Money but no Energy

Kwahiyo mabinti wanajua kwamba huku watapa "Maximum attention"(time), highest pay(Money), from less work they perform (No Energy)
Kwenye no time ndo kuna tatizo sisi wa 20 - 40 yrs.
 
Back
Top Bottom