Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Kwa nini baba yako hakuwa fisadi unalia Lia kwa njaa humuSasa wewe si fisadi tu hadi chupi za familia yako unanunua kwa pesa ya ufisadi![]()
Kwa nini baba yako hakuwa fisadi unalia Lia kwa njaa humuSasa wewe si fisadi tu hadi chupi za familia yako unanunua kwa pesa ya ufisadi![]()
Dar sio tzaliyekuambia kuwa hapo ni dar ni nani
Hivi vipanki havitumiwi tena Tanga ni old fashion gari ikipanda tuta, kichwa kinagonga roof .. siku hizi ni mwendo wa hizo dungu kama niliyopost, hivyo vipanki havitumiwi tena labda Arusha kidogo ndio wanatumia hivyo ila kwa Tanga tulishavipiga ban hakuna mtu atapanda ukileta nowdaysMbona jamani mnapenda hvyo vipanya sura mbaya mbaya jamani, angalia kitu hichoView attachment 1980597
Ndo hapo sasaKwaiyo uchongaji wa vinyago mwenda zake ndiobalianza sio?
UchafuuuMbona jamani mnapenda hvyo vipanya sura mbaya mbaya jamani, angalia kitu hichoView attachment 1980597
Tanzania kumuajiri Tony kibaka wa dunia bado sijaelewa .
Malema,Polepole na wewe wote ni kundi moja wote waropokaji.Wewe ni mropokaji na kujitia mjuaji.
Humjui Malema.
Malema ni mtu mwenye kuchukia watu weupe na mabeberu, pia ni MTOVU wa Nidhamu.
Ndani ya ANC kuna magroup mawili yanayo support uchukuaji wa ardhi toka kwa watu weupe. Group la kina Zuma lenye ideology iliyosawa na kina Malema, na group la kina Mbeki hawa watu wa diplomasia.
Hakua na fujo, alikua ni mtovu wa nidhamu mkubwa sana na kufanya mambo mengi kitoto.
Ndio maana aliomba msamaha kwa Thabo Mbeki hadharani, na pia alienda kwa Mama yake Thabo Mbeki kuomba msamaha.
"Julius Malema on Tuesday apologised for maligning former presidents Thabo Mbeki and Nelson Mandela"
Huyo mtu alifeli shule sema ni mtu wa talalila ndefu na mtovu wa nidhamu, thanks alijua hilo na ulirudi shuleni.
Wewe utakua ulimjua late.
All in all, Mandela hakua na uwezo wakuwafanyia makubwa watu wa South Africa na hakua leader wa kihivyo.
Ni ANC waliamua kumbrand na kumarket Mandela - hili pia liliwekwa wazi na Thabo Mbeki alipoandika barua ya wazi kwa Zuma. Aliliweka bayana "Cult of Personality".
Ndio maana nakusihii acha ujuaji usio na tija. Mandela had nothing extraordinary.
Mama ni mtu mkweli asiyeyumhishwa,ni mda tuu atamtimua dalali wao Kadogosa ndio wataelewa vizuri..Zama za kuzani viongozi wa Afrika ni wajinga zimeshapita zamani sana.Naona waturuki wanatafuta tenda ya lot 3 na 4 kwa nguvu zote, wamemchagua mama Samia kuwa kiongozi bora mwanamke wa mwaka katika jarida la The Muslim 500
Kama dunia nzima ilimkubali Mandela, wewe ni nani na unalipi la ziada?, Huo ujuaji ndio unaowafanya kukataa chanjo iliyokubalika duniani kote na kumdhalilisha Magufuli aliyependwa na kukubalika nchi nyingi duniani.Wewe ni mropokaji na kujitia mjuaji.
Humjui Malema.
Malema ni mtu mwenye kuchukia watu weupe na mabeberu, pia ni MTOVU wa Nidhamu.
Ndani ya ANC kuna magroup mawili yanayo support uchukuaji wa ardhi toka kwa watu weupe. Group la kina Zuma lenye ideology iliyosawa na kina Malema, na group la kina Mbeki hawa watu wa diplomasia.
Hakua na fujo, alikua ni mtovu wa nidhamu mkubwa sana na kufanya mambo mengi kitoto.
Ndio maana aliomba msamaha kwa Thabo Mbeki hadharani, na pia alienda kwa Mama yake Thabo Mbeki kuomba msamaha.
"Julius Malema on Tuesday apologised for maligning former presidents Thabo Mbeki and Nelson Mandela"
Huyo mtu alifeli shule sema ni mtu wa talalila ndefu na mtovu wa nidhamu, thanks alijua hilo na ulirudi shuleni.
Wewe utakua ulimjua late.
All in all, Mandela hakua na uwezo wakuwafanyia makubwa watu wa South Africa na hakua leader wa kihivyo.
Ni ANC waliamua kumbrand na kumarket Mandela - hili pia liliwekwa wazi na Thabo Mbeki alipoandika barua ya wazi kwa Zuma. Aliliweka bayana "Cult of Personality".
Ndio maana nakusihii acha ujuaji usio na tija. Mandela had nothing extraordinary.
na bado kidogo mkuuNaona serikali kazin sasa wamevamia mabandle ya internetnow nothing is cheap in Tz no more