Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hampendi mtu yeyote yule anaye challenge fikra zenu ama kuwaambia ukweli, yaani mnataka anyone who pleases u and agrees with your position, ata kama ni porojo or skewed reasoning, it is prudent and a sign of maturity to accept divergent views without considering an individual to be an enemy, just because he/she is opposing your perception of things.., wengi mko na utoto wa kishamba sana.
Wacha kujifanya umeambulia kitu wakati unandika ujinga mtupu...kuwa kinyume na mtu ni jambo la kawaida sn, ila huwezi jifanya ww ni bora kwenye kukosoa kila kitu alafu uonekane uko sawa...
 
Hampendi mtu yeyote yule anaye challenge fikra zenu ama kuwaambia ukweli, yaani mnataka anyone who pleases u and agrees with your position, ata kama ni porojo or skewed reasoning, it is prudent and a sign of maturity to accept divergent views without considering an individual to be an enemy, just because he/she is opposing your perception of things.., wengi mko na utoto wa kishamba sana.
Jamaa unajikuta nani wewe.?
 
Kama dunia nzima ilimkubali Mandela, wewe ni nani na unalipi la ziada?, Huo ujuaji ndio unaowafanya kukataa chanjo iliyokubalika duniani kote na kumdhalilisha Magufuli aliyependwa na kukubalika nchi nyingi duniani.

Ninarudia tena, ni busara mawazo yako ukayalinganisha na mawazo ya waliowengi, hata Mandela wakati anapigania haki za watu weusi aliitwa gaidi, mtovu wa nidhamu na maneno mengi ya kumdhalilisha.

Julius Malema "is a radical politician", hiyo mara nyingi haipendezi kwa watu wengi, yes anayo mapungufu yake lakini mazuri yake yanazidi mabaya yake, ndio sababu umaarufu wake na umaarufu wa chama chake unazidi kuongezeka siku hadi siku, "The guy is making waves inside and outside South Africa", wewe endelea kuwashusha na kuwaponda watu wanaozidi kufanikiwa kwa kisingizio cha Elimu, wewe Elimu uliyonayo ukilinganisha na Malema ipi yenye kuleta manufaa?

Nakusikitikia sana! Usiwe bendera fuata upepo.

So, Dunia ikikubali ujinga basi....? Hivi unafikiri unafikiri uvumbuzi ulitokana na kufuata dunia or kupinga mitazamo ya Wadunia?

Kaa utambue kuanzia leo: "Being on the side of the majority is often a sign that you are wrong, or most unlikely to be right."

Hii ni extract ya barua ya Thabo Mbeki kwa Zuma, akiongela 'Cult of Personality'

"In this regard there were exceptional circumstances attached to Comrade Nelson Mandela, which were not of his making or will.

In the context of the global struggle for the release of political prisoners in our country, our movement took a deliberate decision to profile Nelson Mandela as the representative personality of these prisoners, and therefore to use his personal political biography, including the persecution of his then wife, Winnie Mandela, dramatically to present to the world and the South African community the brutality of the apartheid system."

Huyo ni Mbeki akiongelea walivyo fanya promo ya Mandela ulimwenguni. Ni promo tu!

Malema anakua popular kwa sera mbili:

1. Sera za ardhi, 'expropriation of land without compensation' inayokubalika na "majority maskini South Africa.

2. Sera za wageni weusi South Africa. Wakati wanasiasa wengi wamejikita kwenye policies za kuwakandamiza waamiaji weusi kuwafurahisha majority South Africans, Malema kajikita kutetea uwepo wa wageni weusi na kupinga wageni weupe - hii ndio inambeba Malema nje ya borders za South Africa.

Mimi nimezaliwa Tanzania, Muhimbili in 1980s na nimekulia hapo Ubungo plaza. Tangu na miaka 19/20 nimekulia South Africa, Johannesburg mpaka 35.
 
Nakusikitikia sana! Usiwe bendera fuata upepo.

So, Dunia ikikubali ujinga basi....? Hivi unafikiri unafikiri uvumbuzi ulitokana na kufuata dunia or kupinga mitazamo ya Wadunia?

Kaa utambue kuanzia leo: "Being on the side of the majority is often a sign that you are wrong, or most unlikely to be right."
joto la jiwe yuko vizuri kichwani ila nachoshangaa ni yeye kushindwa kuelewa jinsi dunia hii inavyokwenda, labda ni kukosa exposure au anamaslahi fulani.

Mtu utashindwaje kuelewa kuwa Mandela amepaishwa kwasababu aliwaachia Boers uchumi wote. Yaani wazungu wa South Africa ambao ni 8% ya population wanamiliki 90% ya ardhi yote, halafu kiongozi wa nchi upo tuu unafurahia kusifiwa huku 90% ya wananchi wako wanaumia? Inaingia akilini kweli?

Kwa hiyo na sisi tukubali tuu kuwa Mandela ni bora kwa kuwa tuu wakubwa wamesema? Tukubali kila kitu cha WHO kwa kuwa wamesema? Tukubali tuu chanjo kwa kuwa wamesema? Kwa akili hizi tutaendelea kutawaliwa kifikra miaka nenda miaka rudi.
 
joto la jiwe yuko vizuri kichwani ila nachoshangaa ni yeye kushindwa kuelewa jinsi dunia hii inavyokwenda, labda ni kukosa exposure au anamaslahi fulani.

Kwa hiyo na sisi tukubali tuu kuwa Mandela ni bora kwa kuwa tuu wakubwa wamesema? Tukubali kila kitu cha WHO kwa kuwa wamesema? Tukubali tuu chanjo kwa kuwa wamesema? Kwa akili hizi tutaendelea kutawaliwa kifikra miaka nenda miaka rudi.
Ndio hapo nashangaa!

Umeeleza vyema. Mwana labda exposure finyu ila kushabikia or shobokea kelele za watu ni ufinyu wa fikra.

Kama mtu makini, ni lazima kila jambo ulipitishe kwenye chujio la fikra zako kama lina faa ama halifai.

Huwezi ibuka na kushangilia usililijua kwakua tu wengine wanashangilia, wakilia or kuvua nguo??🤔🙄
 
joto la jiwe yuko vizuri kichwani ila nachoshangaa ni yeye kushindwa kuelewa jinsi dunia hii inavyokwenda, labda ni kukosa exposure au anamaslahi fulani.

Mtu utashindwaje kuelewa kuwa Mandela amepaishwa kwasababu aliwaachia Boers uchumi wote. Yaani wazungu wa South Africa ambao ni 8% ya population wanamiliki 90% ya ardhi yote, halafu kiongozi wa nchi upo tuu unafurahia kusifiwa huku 90% ya wananchi wako wanaumia? Inaingia akilini kweli?

Kwa hiyo na sisi tukubali tuu kuwa Mandela ni bora kwa kuwa tuu wakubwa wamesema? Tukubali kila kitu cha WHO kwa kuwa wamesema? Tukubali tuu chanjo kwa kuwa wamesema? Kwa akili hizi tutaendelea kutawaliwa kifikra miaka nenda miaka rudi.
Mkuu, kwa upande wa exposure nipo vizuri, labda useme Elimu, sikubahatika kufika chuo Kikuu.
 
IMG_4637.jpg

Morogoro Tz
 
Mkuu, kwa upande wa exposure nipo vizuri, labda useme Elimu, sikubahatika kufika chuo Kikuu.
Education (elimu) ni neno waingereza (hata wafaransa) walilitohoa kutoka neno la kigiriki linaloitwa Educo, likimaanisha, to draw out from within. Kukaa darasani siyo lazima kuelimika.

Kwa ninavyo kusoma katika michango yako mingi hapa, sitoshangaa kama wakati mwingine unafanya makusudi, dumbing yourself down for a specific purpose, whatever that is.
 
Hawa watu walikuwa wanakwenda kuuharibu huu mji kwa mabanda yao, mm cwez kusapot huu ujinga hata kidogo, vijana wadogo wanatoka vijijini huko hawataki kusoma wanakuja kuwa machinga wanatuchafulia miji kwa huu upumbavu wa slogan ya mnyonge.
Tatizo sio hao watu bali ni hawakuwa na maeneo maalumu, ni kama usipoweka makabati ya nguo au vyombo nyumbani kwako ndio utajua jambo hili
 
FIFA Rankings mpya zinatoka kesho, nimefanya calculations nataka nione kama zitafanana na zao hio kesho tar 21 October

Tanzania
Old points: 1115.37
New Points: 1115.81
Change: +0.44

Kenya
Old points: 1205.12
New Points: 1170.82
Change: -34.3

Uganda
Old points: 1288.85
New Points: 1297.35
Change: +17.5

Rwanda
Old points: 1129.37
New Points: 1096.86
Change: -32.51

  • Rwanda walikuwa wametuzidi points na ranking, ila zitakazotoka kesho, tutawazidi points na ranking
  • Hizi nimepost tu, kesho zitakapotolewa nitarud kuona kama calculations zilikuwa sahihi au la

View attachment 1981337
View attachment 1981338

hatimae FIFA wametoa ranking yao mpya leo
hizi ni ranking za dunia nzima
  • Tanzania tumepanda nafasi 2 kutoka nafasi ya 132 hadi 130
  • Rwanda wameshuka nafasi 5 kutoka 128 hadi 133 (tumewazidi)
  • Kenya wameshuka nafasi 2 kutoka 102 hadi 104
  • Uganda wamepanda nafasi 4 kutoka nafasi ya 86 hadi 82
IMG_2499.jpg

IMG_2500.jpg





ranking za mwanzo kbla za leo
IMG_2492.jpg

IMG_2493.jpg
 
Back
Top Bottom