Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naona kiba anawapelekesha kule boomplay
daily rank kashika nafasi ya kwanza
9AF57E3A-DC0B-40D5-9B45-E22BB21F206E.png
 
Hiyo Geita hapo kwa wasio jua ni ule uwanja mpya uliopo Chato ambao baadhi ya watu humu huwa wanakamatika na zile cheap politics za jukwaa la siasa.

ATCL wanaenda Geita (Chato) mara tatu kwa wiki.
zipi hizo kwamba Magufuli alijipendelea kikabila/kiukoo badala ya kuujenga Geita Town? Yaani huo ndo ukweli! come rain come sun! Au evidence nilizotoa humu ndani hazitoshi?
 
Nenda kwenye website yao. Nauli kati ya Nbi na Dar ni kati ya ksh 26,000 na ksh 28,000. (one way). Ila Friday naona inafika hadi ksh 32,000.
View attachment 1981749

Quite expensive, the Good thing is ATCL can lower the flight fares to the lowest margins and yet make profits and outcompete the dying kq.
As you may be aware, atcl is renting her aircrafts from GOT.
 
hivi kwann hakuna ustaarabu wa kukubali different opinion? why matusi? kwa vile wengine hawajui kutukana au? May be hii ndo sababu wakina Gwamba na Saanane hatunao kisa tu walikuwa na maoni tofauti! Aisee siwezi kumsamehe mwendazake kwa hili!
 
ndio haijashinda tena 😂😂😂 na haitashinda tena sahau hio
Beach yenyewe imefungw kwa sababu ya Covid-19. Nyinyi kwa ulafi mkali mliamua kutofunga hoteli zenu ili mpate mapato kutoka watalii kutoka Urusi na Ukraine. Sisi tukifungua hoteli na beaches zetu basi mtatoka kwenye hizo rankings na sisi tutarudi kwenye hizo rankings.
 
uhehhee tumeshika nafasi moja sisi na nyinyi sasa tusubiri tuone nani atakweda juu ya mwenzie 😂😂😂😂
Sisi ndio tumekuwa juu yenu miaka zote sema wakati huu watu wanafungiana mipaka so ranking yetu imeshuka. Akina UK na US wakianza kufungua mipaka yao basi ranking yetu itapanda. Kumbuka sisi tuna marafiki wengi ulaya kuwashinda nyie.
 
Beach yenyewe imefungw kwa sababu ya Covid-19. Nyinyi kwa ulafi mkali mliamua kutofunga hoteli zenu ili mpate mapato kutoka watalii kutoka Urusi na Ukraine. Sisi tukifungua hoteli na beaches zetu basi mtatoka kwenye hizo rankings na sisi tutarudi kwenye hizo rankings.
yani muipiku zanzibar hio musahau mpaka dunia itasmama na hili nakuhakikishia kwa asilimia 100 😂😂😂😂
 
Sisi ndio tumekuwa juu yenu miaka zote sema wakati huu watu wanafungiana mipaka so ranking yetu imeshuka. Akina UK na US wakianza kufungua mipaka yao basi ranking yetu itapanda. Kumbuka sisi tuna marafiki wengi ulaya kuwashinda nyie.
sasa kama mulikua juu yetu mutambue hii sio ile tz ya 90s mark my words

hahha eti munamarafiki wengi 😂😂
 
Back
Top Bottom