babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Hiyo Geita hapo kwa wasio jua ni ule uwanja mpya uliopo Chato ambao baadhi ya watu humu huwa wanakamatika na zile cheap politics za jukwaa la siasa.
ATCL wanaenda Geita (Chato) mara tatu kwa wiki.