Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

leta evidence hao waliouwawa walimtukania Jiwe mama yake!
Hakuna kiongozi aliongoza kutukanwa wazi wazi kama JPM cz alileta mabadiliko ya kweli hapa Tz yaliyowaumiza mafisadi na vibaraka wao, so JPM kutukaniwa mama ilikuwa ni kitu cha kawaida sn labda utake kukataa sahizi.

Btw nakuomba uwache huu ujinga mara moja, baki kwenye uchambuzi.
 
Hakuna kiongozi aliongoza kutukanwa wazi wazi kama JPM cz alileta mabadiliko ya kweli hapa Tz yaliyowaumiza mafisadi na vibaraka wao, so JPM kutukaniwa mama ilikuwa ni kitu cha kawaida sn labda utake kukataa sahizi.

Btw nakuomba uwache huu ujinga mara moja, baki kwenye uchambuzi.
leta ushaidi hao walipotezwa roho walimtukania mama yake!
 
The Largest, Modern Airport in the Région
JNIA
IMG_4830.jpg

IMG_4826.jpg

IMG_4827.jpg

IMG_4817.jpg

IMG_4828.jpg
 
hivi unawezaje kumfananisha raisi akokaa miezi6 na raisi alokaa miaka 6?
hivi kwa akili ya kawaida ii kitu inawezekana?
mkakati uliopo ni kumuheshimisha maza mbele jamii 'legitimacy..sjui mnanielewa..?
ila niwaambieni kabisa: mngeweza kufanikiwa bila ya kumuhusisha uncle magu:
 
Hivi Coco pamekosa Mwekezaji wa kutransform hilo eneo kweli? Jiji wameshindwa kufanya?
Manji alitaka kuununua ufukwe wote huo, ili ajenge mahoteli ya kisasa, awamu ya tano ilimkatalia, kwasababu alitaka sehemu hiyo iwe private. Sheria zetu zinakataza hilo, kwa kuwa wananchi masikini (kwenye nchi yao) watakosa sehemu za kupumzikia na hii falsafa ni mawazo ya Nyerere aliyoyatoa mwaka 1956 kuhusu sheria za ardhi.
Still This is not right,
Pale panarakiwa kuwa modernized
Inaonekana kama ni temporary solution au kuna watu wamepiga pesa, unakumbuka ule mpango wa kujenga park, sambamba na ujenzi wa hiyo barabara (daraja), wakati wa Magu?
 
Leo nipo na wewe so be careful cz kuna watu wanaakili sn humu JF wamesema tuachane na snitches ila natambaa na wewe leo, ss niambie 7bu zilizokufanya umsifie JPM kipindi yuko hai zen uanze kumponda kipindi amekufa, hujioni kwamba wewe ni mtu wa ajabu?
Mimi nilishawaambia achaneni na hii maneno maana hata aandike nini haziwezi badilisha chochote.

Kwanini mnaangaika kureply comments zake wakati hazibadilishi chochote!

Embu acheni hizi maneno.
 
Mkuu nakushauri achana na huo mjadala, huyo jamaa anapenda sana ligi na inaonekana ni mzee fulani retired so ana muda wa kutosha kueneza chuki 24/7 humu..
In fact huo mjadala wa kisiasa hauna faida yoyote kwenye huu uzi, Tujikite kwenye battle yetu pendwa.

We still have a job to do, Bado hatujawaonesha wakunya the greatness of Dar and the Tz at Large
Kila siku nawaambia hata hawaelewi wakati wakiendelea kujibizana hivi hawatokaa wafikie muafaka zaidi ya kuvuruga tu huu uzi.

Binafsi siwezi poteza muda wangu kubishana kisa JPM au SSH maana siwezi badilisha chochote na ninae bishana hawezi badilisha chochote.
 
Nairobi West estate along Mombasa road vs Dar is slum residential., tofautisha.., Justinr bado sijaona any residential around your CBD that can come any closer to Nairobi west estate.., umejaribu kuponda lakini wapi., pengine utafute Kibera uweke humu ikuliwaze tu,
View attachment 1978773
VS
2968215_JamiiForums38820984.jpg
Mm huwa sikatishiw maneno kwa mbele kaka...kwaiyo ulikuwa unamanisha kibera ndio jini linalo kumiza sanaaa mind you iyo sio slum peke mkonayo apo kunya land...so chill broo...subiri gither ikamilike
JamiiForums-1972539792.jpg
 
Nairobi West estate along Mombasa road vs Dar is slum residential., tofautisha.., Justinr bado sijaona any residential around your CBD that can come any closer to Nairobi west estate.., umejaribu kuponda lakini wapi., pengine utafute Kibera uweke humu ikuliwaze tu,
View attachment 1978773
VS
2968215_JamiiForums38820984.jpg
Ivi unawezaj kuongelea Dar ikiwa hiki ndio kinairobary?...zaidi ya msitu mzito akuna majengo kabisaacompare to kijito nyama...
JamiiForums-64562249.jpg
JamiiForums1689386433.jpg
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom