Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo linaanzia mmekutana wote ni aina ile ya watu ambao hamuwezi kumpuuza mtu kwa sababu mtaonekana dhaifu au mtakuwa mmeonesha udhaifu au labda mtaonekana mmeshindwa kumbe walaa hata.
Sio hivyo mkuu, ni kwamba kuna mda lazima tuweke mambo hadharani, ujinga ukiachwa mwishowe hugeuka kuwa ukweli.
 
Tatizo linaanzia mmekutana wote ni aina ile ya watu ambao hamuwezi kumpuuza mtu kwa sababu mtaonekana dhaifu au mtakuwa mmeonesha udhaifu au labda mtaonekana mmeshindwa kumbe walaa hata.
Nikweli hatupaswi kuwapa attention wajinga ila yakizidi inabidi utoke ukanushe au uwakumbushe walipotoka, mana ujinga ukiachwa hugeuka kuwa ukweli.
 
Sio hivyo mkuu, ni kwamba kuna mda lazima tuweke mambo hadharani, ujinga ukiachwa mwishowe hugeuka kuwa ukweli.
Waswahili husema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza (sijajua kama numepatia)

Hivi kuna mtu atabisha kuwa SGR, mradi mkubwa wa umeme (JNHP) ujenzi wa stendi za kisasa, ujenzi wa flyover na interchange nk vimeanza kujengwa enzi za JPM?

Achaneni na hizo mishe maana hazibadilishi chochote zaidi ya kupoteza tu muda wako bure.
 
Waswahili husema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza (sijajua kama numepatia)

Hivi kuna mtu atabisha kuwa SGR, mradi mkubwa wa umeme (JNHP) ujenzi wa stendi za kisasa, ujenzi wa flyover na interchange nk vimeanza kujengwa enzi za JPM?

Achaneni na hizo mishe maana hazibadilishi chochote zaidi ya kupoteza tu muda wako bure.
Mm nakupenda sana mkuu, kuna mda unanikwaza ila nakausha cz wazalendo wote wa humu huwa nawakaushia wakiteleza lkn huyu mtu anayeitwa Gezaulole ananikwaza kuliko unavyoweza kudhani na ndiyo maana leo nimemuamulia, ila nadhani msg sent and delivered so kazi iendelee.
 
Waswahili husema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza (sijajua kama numepatia)

Hivi kuna mtu atabisha kuwa SGR, mradi mkubwa wa umeme (JNHP) ujenzi wa stendi za kisasa, ujenzi wa flyover na interchange nk vimeanza kujengwa enzi za JPM?

Achaneni na hizo mishe maana hazibadilishi chochote zaidi ya kupoteza tu muda wako bure.
Nimesema Nakupenda cjasema nakukubali, mark these words.
 
2967127_tapatalk_1633074448903.jpg
😂😂😂 hivi nyie kenyans haka kamji ni kakulinganisha na DSM kweli.?
 
BRT na vi bus vichache visifanye ujifanye hauijui Tanzania wewe 😂 😂 😂 😂 😂 wacha propaganda nani.., kuna matako pia licha ya wewe kuweka uso wa dar unajaribu kulinganisha na matako ya Kenya, weka uso vs uso ama matako vs matako..,
Sio kila sehemu ya Tz iko na buses and organized transport., na umeweka picha za zamani za Nairobi machakos country bus, it doesn't look like that today na mabasi mengine hapo left the game kitambo, hazipo tena 😂 😂
Tanzania kwa uhalisia..,
images

local-transport-in-tanzania_gg69642660.jpg

View attachment 1978191
dar-es-salaam-bus-station-tanzania-174875631.jpg

crowd-people-bus-stop-rush-hour-dar-es-salaam-tanzania-february-city-center-traffic-congestion-passenger-50180866.jpg

townspeople-waiting-public-transport-bus-stop-dar-es-salaam-tanzania-february-passengers-expect-transportation-to-50180893.jpg

dar-es-salaam-tanzania-december-construction-main-street-capital-city-185636313.jpg


dala.png
Unaleta picha za Zamani Sana mkuu hizo dalada nyingi zilishakufa baada ya kubadili route,kwanza majoriy hizo Dala Dala zilishatoweka Mjini five years back
 
Back
Top Bottom