The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,830
- 82,358
Sio hivyo mkuu, ni kwamba kuna mda lazima tuweke mambo hadharani, ujinga ukiachwa mwishowe hugeuka kuwa ukweli.Tatizo linaanzia mmekutana wote ni aina ile ya watu ambao hamuwezi kumpuuza mtu kwa sababu mtaonekana dhaifu au mtakuwa mmeonesha udhaifu au labda mtaonekana mmeshindwa kumbe walaa hata.