Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Samahani wakuu ila mm siwezi kumuacha huyu mtu cz ameni proove wrong so I ask myself why mtu ani proove wrong, kwmb mm ni kiazi au? Ss natembea naye usiku wa leo mpk anijibu.
 
What is the point of these vaccines if those fully vaccinated are dying of COVID?🤷‍♂️

 
Kwasababu mm kwanza ifahamike kwamba mm ni mwana CCM ila co CCM mpumbavu, na ndiyo maana hata ckumpigia kura JPM 2015, but 2020 mm nilikuwa msimamizi katika kituo fulani na nilishuhudia wapiga kura hususan wengine ni upinzani lkn walipigia CCM kwenye kura za urais, msemo wao ulikuwa hakuna kama JPM, ss ww leo unaniletea maneno ya kipuuzi kabisa eti JPM alikuwa mbaguzi wkt huku uswazi tumeshuhudia iliyokweli.
 
Samahani wakuu ila mm siwezi kumuacha huyu mtu cz ameni proove wrong so I ask myself why mtu ani proove wrong, kwmb mm ni kiazi au? Ss natembea naye usiku wa leo mpk anijibu.

Mkuu nakushauri achana na huo mjadala, huyo jamaa anapenda sana ligi na inaonekana ni mzee fulani retired so ana muda wa kutosha kueneza chuki 24/7 humu..
In fact huo mjadala wa kisiasa hauna faida yoyote kwenye huu uzi, Tujikite kwenye battle yetu pendwa.

We still have a job to do, Bado hatujawaonesha wakunya the greatness of Dar and the Tz at Large
 
Mkuu nakushauri achana na huo mjadala, huyo jamaa anapenda sana ligi na inaonekana ni mzee fulani retired so ana muda wa kutosha kueneza chuki 24/7 humu..
In fact huo mjadala wa kisiasa hauna faida yoyote kwenye huu uzi, Tujikite kwenye battle yetu pendwa.

We still have a job to do, Bado hatujawaonesha wakunya the greatness of Dar and the Tz at Large
Ana mambo ya kichawi sn huyu mtu anayeitwa Geza Ulole, mm wala sistahili kumtusi huyu mzee mana I believed kwamba yeye ni one of the reasons to why many Tanzanians are here, lkn amekuwa mjinga na tunavyomuacha anazidi kuwa mjinga kwa selfishness anayoi apply humu ndani.
 
Halafu kuna mtu anajitapa hapa kwamba tu argue kwa facts about impending collapse of Kenyan economy


Kenya borrows Ksh.314.6 billion in three months

Citizen TV

Oct 18, 2021 4:23 AM

File Photo of The National Treasury.

In Summary

This to represent a 49.5 per cent rise in new loans taken in a similar period in 2020 when total borrowing stood at Ksh.210.4 billion.

The loans taken include Ksh.306.8 billion in gross domestic borrowing and Ksh.7.7 billion in external loans and grants.

Translated into a daily cycle, this would imply that the government has borrowed an estimated Ksh.3.4 billion every 24 hours.

Kenya borrowed Ksh.314.6 billion in three months to September 30 according to new data from the National Treasury covering the first quarter of the 2021-22 fiscal year.
This to represent a 49.5 per cent rise in new loans taken in a similar period in 2020 when total borrowing stood at Ksh.210.4 billion.

The loans taken include Ksh.306.8 billion in gross domestic borrowing and Ksh.7.7 billion in external loans and grants.
Translated into a daily cycle, this would imply that the government has borrowed an estimated Ksh.3.4 billion every 24 hours.

Treasury has raised its borrowing threshold in the current fiscal year on the back of increased expenditure needs against a largely depressed revenue base occasioned largely by the COVID-19 pandemic.
This leaving the National Treasury with little scope to plug the hole but borrow from both local and foreign markets.

By the end of June 2022, the government is estimated to borrow a cumulative Ksh.1.008 trillion from the local market and another Ksh.379.7 billion in foreign loans.
The sum total of domestic borrowing includes Ksh.661.6 billion in net loans and Ksh.346.8 billion in local debt roll-overs.

In contrast, the Treasury had sort to raise only Ksh.786.6 billion locally in the financial year concluded on June 30 this year and Ksh.373.2 billion in external loans.
The variance to higher borrowing mirrors the government’s increased appetite for new loans to foot its mounting bills
Screenshot_20211018-192033_Opera.jpg
 
Mkuu nakushauri achana na huo mjadala, huyo jamaa anapenda sana ligi na inaonekana ni mzee fulani retired so ana muda wa kutosha kueneza chuki 24/7 humu..
In fact huo mjadala wa kisiasa hauna faida yoyote kwenye huu uzi, Tujikite kwenye battle yetu pendwa.

We still have a job to do, Bado hatujawaonesha wakunya the greatness of Dar and the Tz at Large
CC: The best 007
 
Sisi watanzania tukae tuungane tuwashukuru viongozi waliopita mana kwa namna moja ama nyingine wamepambana kuhakikisha kwamba leo tuko hapa, mm binafsi kuna viongozi siwakubali kabisa lkn kuna mazuri wamefanya, mfano mm cmkubali JK lkn cwez kumsema vby cz chini ya uongozi wake mm nilifanikisha baadhi ya mambo hususan elimu, amenibeba sn huyu mtu siwezi kumsema vby japo kuna mda nam expose, ss huyu mzee Geza anachonishangaza ni kwamba amebadilika ghafla na badiliko lake amekuwa nyoka kabisa.
 
Sisi watanzania tukae tuungane tuwashukuru viongozi waliopita mana kwa namna moja ama nyingine wamepambana kuhakikisha kwamba leo tuko hapa, mm binafsi kuna viongozi siwakubali kabisa lkn kuna mazuri wamefanya, mfano mm cmkubali JK lkn cwez kumsema vby cz chini ya uongozi wake mm nilifanikisha baadhi ya mambo hususan elimu, amenibeba sn huyu mtu siwezi kumsema vby japo kuna mda nam expose, ss huyu mzee Geza anachonishangaza ni kwamba amebadilika ghafla na badiliko lake amekuwa nyoka kabisa.
ukiniambia Azory Gwanda na Ben Sanane wako wapi basi nitamuacha kwa amani!
 
ukiniambia Azory Gwanda na Ben Sanane wako wapi basi nitamuacha kwa amani!
Nitajie kiongozi yoyote duniani ambaye hajawahi kuuwa, kwamfano wewe Gezaulole mtu anakutusi matusi ya mama na una uwezo wa kumpoteza ungefanyaje?

Geza kindly nakuambia wacha haya mambo stick na uwezo wako wa kuchambua mambo lkn ukileta huu ujinga unajidhalilisha kabisa.
 
Nitajie kiongozi yoyote duniani ambaye hajawahi kuuwa, kwamfano wewe Gezaulole mtu anakutusi matusi ya mama na una uwezo wa kumpoteza ungefanyaje?

Geza kindly nakuambia wacha haya mambo stick na uwezo wako wa kuchambua mambo lkn ukileta huu ujinga unajidhalilisha kabisa.
Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK hawajaua na hawajapoteza watu!
 
Nitajie kiongozi yoyote duniani ambaye hajawahi kuuwa, kwamfano wewe Gezaulole mtu anakutusi matusi ya mama na una uwezo wa kumpoteza ungefanyaje?

Geza kindly nakuambia wacha haya mambo stick na uwezo wako wa kuchambua mambo lkn ukileta huu ujinga unajidhalilisha kabisa.
Kama umehongwa basi kosoa kiuweledi na co hii style uliyokuja nayo, watu wanashindwa kukuelewa kabisa.
leta evidence hao waliouwawa walimtukania Jiwe mama yake!
 
leta evidence hao waliouwawa walimtukania Jiwe mama yake!
Hakuna kiongozi aliongoza kutukanwa wazi wazi kama JPM cz alileta mabadiliko ya kweli hapa Tz yaliyowaumiza mafisadi na vibaraka wao, so JPM kutukaniwa mama ilikuwa ni kitu cha kawaida sn labda utake kukataa sahizi.

Btw nakuomba uwache huu ujinga mara moja, baki kwenye uchambuzi.
 
Back
Top Bottom