Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Manji alitaka kuununua ufukwe wote huo, ili ajenge mahoteli ya kisasa, awamu ya tano ilimkatalia, kwasababu alitaka sehemu hiyo iwe private. Sheria zetu zinakataza hilo, kwa kuwa wananchi masikini (kwenye nchi yao) watakosa sehemu za kupumzikia na hii falsafa ni mawazo ya Nyerere aliyoyatoa mwaka 1956 kuhusu sheria za ardhi.

Inaonekana kama ni temporary solution au kuna watu wamepiga pesa, unakumbuka ule mpango wa kujenga park, sambamba na ujenzi wa hiyo barabara (daraja), wakati wa Magu?
Tunataka pesa za kusaidia hao hao maskini.Maskini wewe anakusaidia nini?
 
What is the point of these vaccines if those fully vaccinated are dying of COVID?🤷‍♂️


Acha usichanje afu upate uviko ndio utajua maana ya hizo chanjo..

Ujinga umekuwa mwingi Sana vichwani mwenu,chanjo sio tiba ni booster but haikupi 100% Kinga hususani kama una complications nyingi za afya..

Hutaki chanjo Kaa pembeni maana wapinga chanjo huwa mnatafutiza tunakosa Ili ku trend,wakati chanjo zinaanzanwalikufa watu wachache sana kwa damu kuganda makelele yakawa mengi ila huwezi Kuta wapinga chanjo wanaleta Takwimu za watu waliookolewa na chanjo.
 
eti mind your line., sasa umeandika kizungu eti kunionya ., kazi rahisi tu mbona tuandike kwa mate na wino upo.., same locality, kwingine usijisumbue, tunapajua., wacha machungu zoea ukweli, jikubalini mahali mpo kwa sasa..,
View attachment 1978752
View attachment 1978753
Utazungusha angle zote but ni same area tu..,
View attachment 1978756
View attachment 1978759
View attachment 1978757
View attachment 1978758
View attachment 1978760
Like i say mind your line kaka, dont dare DSM, unaweza ata kuijaribu iyo KKoo u ayo chorachora na izo wino za smartphone?...
2407658_tapatalk_1588389991510.jpg
 
Wewe Gangilonga wacha huu ujinga, naheshimu Watz wote humu ndani, Gangilonga Mana ake Iringa, ni mji wng wa asili sasa wacha ujinga au unaanzisha vita na mm ndugu yako.
kuna kitu huelewi yaani mtu wa nje akiingia humu anaona nguvu mnazotumia kuaminisha Jiwe alikuwa malaika. Yaani inakaa unaumia sana jamaa kuwa na mawazo tofauti. kubali yaishe bana, uishi kwa amani. Kuna watu wameumia na malaika wacha wateme nyongo.
 
kuna kitu huelewi yaani mtu wa nje akiingia humu anaona nguvu mnazotumia kuaminisha Jiwe alikuwa malaika. Yaani inakaa unaumia sana jamaa kuwa na mawazo tofauti. kubali yaishe bana.
Nimegundua wewe ni mjinga sn, Magu ni kama chifu Mkwawa, tupo hapa kwa ajili ya Magu, hawa Wakenya ambao leo wametii ni kwasababu ya Magu, la sivyo tulikuwa hatuna 7bu yoyote ya ku compete na Wakenya cz walituzidi kwa mambo mengi, mm nilikuwepo wkt huu uzi unaanzishwa lkn ckuthubutu kujibishana na Wakenya, nilikuwa na Id tofauti na hii, hatukuwa na uwezo wa kupambana na Kenya cz walituzidi ila leo Magu ametupa kauli ya kushindana hata Wakenya wanajua hilo na ndiyo maana wanamchukia Magu, ss wewe na upumbavu uliobeba kichwani unaanza kumtusi mtu aliyekupa 7bu ya kuwa hapa, huo ni ujinga.
 
Nimegundua wewe ni mjinga sn, Magu ni kama chifu Mkwawa, tupo hapa kwa ajili ya Magu, hawa Wakenya ambao leo wametii ni kwasababu ya Magu, la sivyo tulikuwa hatuna 7bu yoyote ya ku compete na Wakenya cz walituzidi kwa mambo mengi, mm nilikuwepo wkt huu uzi unaanzishwa lkn ckuthubutu kujibishana na Wakenya, nilikuwa na Id tofauti na hii, hatukuwa na uwezo wa kupambana na Kenya cz walituzidi ila leo Magu ametupa kauli ya kushindana hata Wakenya wanajua hilo na ndiyo maana wanamchukia Magu, ss wewe na upumbavu uliobeba kichwani unaanza kumtusi mtu aliyekupa 7bu ya kuwa hapa, huo ni ujinga.
kwahiyo alivyokuwa anakandamiza Wapinzani kisa ya mtazamo tofauti niseme sawa tuu? duh.
 
Ukiacha huyo...Max wa JF alitobolewa miguu na drill enzi za JK...Owner wa Mwanahalisi yy alimwagiwa tindikali, kuna Dr aling'olewa kucha Mwabepande...Slaa aliwekewa Sumu...Mwakyembe aliwekewa Sumu...kuna watu wana unganisha kifo cha Akwelina na JPM ila wanasahau kuna Kijana aliuwawa Arusha kwenye maandamano ya Cdm na mke wa Slaa akapokea kichapo nyang'anyang'a enzi za JK...
 
Ukiacha huyo...Max wa JF alitobolewa miguu na drill enzi za JK...Owner wa Mwanahalisi yy alimwagiwa tindikali, kuna Dr aling'olewa kucha Mwabepande...Slaa aliwekewa Sumu...Mwakyembe aliwekewa Sumu...kuna watu wana unganisha kifo cha Akwelina na JPM ila wanasahau kuna Kijana aliuwawa Arusha kwenye maandamano ya Cdm na mke wa Slaa akapokea kichapo nyang'anyang'a enzi za JK...
max wa JF alitobolewa drill lini?
 
Tatizo linaanzia mmekutana wote ni aina ile ya watu ambao hamuwezi kumpuuza mtu kwa sababu mtaonekana dhaifu au mtakuwa mmeonesha udhaifu au labda mtaonekana mmeshindwa kumbe walaa hata.
 
Tatizo linaanzia mmekutana wote ni aina ile ya watu ambao hamuwezi kumpuuza mtu kwa sababu mtaonekana dhaifu au mtakuwa mmeonesha udhaifu au labda mtaonekana mmeshindwa kumbe walaa hata.
Sio hivyo mkuu, ni kwamba kuna mda lazima tuweke mambo hadharani, ujinga ukiachwa mwishowe hugeuka kuwa ukweli.
 
Back
Top Bottom