Wang Yi
Senior Member
- Jan 12, 2021
- 197
- 426
Nitalazimika mzee, kwa hali inavyoenda humu ndani labda italeta sanity kwa vile watu wanamwabudu humu ndani!
Peleka haya mambo jukwaa la siasa mkuu. Haya mambo hapa si mahali pake sema unaforce tu na wewe soon tutAkuita mobutu wa hii thread. Kuwa muungwana maana Magufuli ameshapita aliyoyafanya ameyafanya tusongembele. Tatizo lako uko so biased kiasi kwamba unataka kuleta perfection kwa mama Samia kitu ambacho hakipo. Kila kiongozi anafanya makosa whether ni kwa kukusudia au bahati mbaya hivyo hakuna perfect leader. TUACHANE NA MAMBO YA SIASA KATIKA UZI HUU. PERSONALLY , AM FED UP WITH THESE POLITICAL THINGS.Chato Kijiji huwezi fananisha na Jiji na NDIO Chato ilipendelewa tena kiukabila haikuwa na sifa ya kupelekewa mabilioni mbele ya Geita Town (watu +800,000 sensa 2012)! Kujenga hilo daraja hakukumpa mwendazake fursa ya kuchukua fedha za serikali nje ya idhini ya Bunge (wizi wa kiamabavu) na kwenda kujenga Chato! Jibu hili swali 👇👇 na si una cherry pick miradi kujaribu ku-distort the bigger picture! BTW leo nina nondo zaidi za kushusha dhidi ya Magufuli na genge lake! A brutal fact Magufuli was no different to Mobutu!