Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
leta picha za Geita Town halafu mie nikulipe na za Chato wilaya! tuanze public facilities nishaonyesha hospitali, tawi la Benki na stendi za mabasi! Una zako ambazo zipo bora?Hapa ☝️ mzee geza umetupiga changa la macho, umewahi kufika hizi sehemu au unaokota picha Google na kuropoka tu.? Geita town pameendelea zaidi, mara hata 100 mbele ya chato, chato ni kijijini tu mzee wangu, kuanzia individual development level na kila kitu geita ipo mbele ya chato... Kuhusu kupendelewa naeza sema ndio au hapana, kwa mfano kujengwa kwa uwanja wa ndege chato ni sahihi since kuna mbuga ya wanyama kubwa tu (CHATO BURIGI) ili watalii washuke moja kwa moja (this the reason ule uwanja wa ndege wa KIA kutengenezwa Moshi while Arusha ndio tourism hub na ni jiji kubwa kulinganisha na Moshi) alafu hata hivyo chato ipo karibu sana na Geita mjini, pia ulikua ni mpango wa serikali kujenga/kuboresha airports kila mkoa.... kujengwa kwa tawi la CRDB chato ni sahihi, rudi kwenye makusudio ya benki hiyo na lengo la kuanzishwa kwake, Anza hapa CRDB means COOPERATIVE RURAL DEVELOPMENT BANK (benki ya maandeleo ya vijijini) hizi zipo kila mahali hapa tz kuna ubaya gani katawi Chato kujengewa yakwao.? na ni wilaya kubwa tu.?.. kuhusu VETA pia hakuna ubaya kujengwa Chato, ukiwa kiongozi lazima uongozi huo uanzie nyumbani, lazima nyumbani kwako na penyewe pawe mfano, wazungu wanasema "Charity begins at home" haikua dhambi kuwatengezea wakwao chuo Ili wapate ujuzi na hatimae kujikwamua katika umaskini na kuleta maendeleo CHATO na taifa Zima kwa jumla wake.. kuhusu HOSPITALI kubwa, kidogo kuna kaupendeleo raisi magufuli alifanya, kwasababu moja, makao makao makuu ya mkoa wa Geita ni Geita mjini hivyo basi hospitali Ilibidi itengenezwe makao makuu ya mkoa, lakini hata hivyo bado hospital kutengenezwa kule sio dhambi since Chato ni sehemu ya mkoa wa Geita, na pia ilikua ni mpango wa serikali kuwapunguzia Safari watu Kagera watakafuata huduma za afya mkoani Geita.. chukua hii mzee geza HUWEZI KUWA KIONGOZI WA TAIFA UNAFANYA MAENDELEO MAKUBWA NCHI NZIMA ALAFU NYUMBANI KWENU WATU WANAKUFA NJAA, huo utakua ni uhanangwa, kila siku tunawacheka wakenya humu raisi wao Moi alivyokufa nyumbani kwao hakutengeneza hata kipange cha barabara ya lami na jeneza lake lilipekwa kwa chopa
Chato haikupendwlewa ni chizi pekee ndio utamuaminisha huu ujinga
Tanesco Chato
leta picha ya Tanesco Geita mjini!

mzee geza umetupiga changa la macho, umewahi kufika hizi sehemu au unaokota picha Google na kuropoka tu.? Geita town pameendelea zaidi, mara hata 100 mbele ya chato, chato ni kijijini tu mzee wangu, kuanzia individual development level na kila kitu geita ipo mbele ya chato... Kuhusu kupendelewa naeza sema ndio au hapana, kwa mfano kujengwa kwa uwanja wa ndege chato ni sahihi since kuna mbuga ya wanyama kubwa tu (CHATO BURIGI) ili watalii washuke moja kwa moja (this the reason ule uwanja wa ndege wa KIA kutengenezwa Moshi while Arusha ndio tourism hub na ni jiji kubwa kulinganisha na Moshi) alafu hata hivyo chato ipo karibu sana na Geita mjini, pia ulikua ni mpango wa serikali kujenga/kuboresha airports kila mkoa.... kujengwa kwa tawi la CRDB chato ni sahihi, rudi kwenye makusudio ya benki hiyo na lengo la kuanzishwa kwake, Anza hapa CRDB means COOPERATIVE RURAL DEVELOPMENT BANK (benki ya maandeleo ya vijijini) hizi zipo kila mahali hapa tz kuna ubaya gani katawi Chato kujengewa yakwao.? na ni wilaya kubwa tu.?.. kuhusu VETA pia hakuna ubaya kujengwa Chato, ukiwa kiongozi lazima uongozi huo uanzie nyumbani, lazima nyumbani kwako na penyewe pawe mfano, wazungu wanasema "Charity begins at home" haikua dhambi kuwatengezea wakwao chuo Ili wapate ujuzi na hatimae kujikwamua katika umaskini na kuleta maendeleo CHATO na taifa Zima kwa jumla wake.. kuhusu HOSPITALI kubwa, kidogo kuna kaupendeleo raisi magufuli alifanya, kwasababu moja, makao makao makuu ya mkoa wa Geita ni Geita mjini hivyo basi hospitali Ilibidi itengenezwe makao makuu ya mkoa, lakini hata hivyo bado hospital kutengenezwa kule sio dhambi since Chato ni sehemu ya mkoa wa Geita, na pia ilikua ni mpango wa serikali kuwapunguzia Safari watu Kagera watakafuata huduma za afya mkoani Geita.. chukua hii mzee geza HUWEZI KUWA KIONGOZI WA TAIFA UNAFANYA MAENDELEO MAKUBWA NCHI NZIMA ALAFU NYUMBANI KWENU WATU WANAKUFA NJAA, huo utakua ni uhanangwa, kila siku tunawacheka wakenya humu raisi wao Moi alivyokufa nyumbani kwao hakutengeneza hata kipange cha barabara ya lami na jeneza lake lilipekwa kwa chopa

