The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wamejawa chuki za kijinga, hawapendi kuona mji fulani wa Tz ukiendelea kisa tu kuna mtu wa huko hawampendi, so wanataka kuaminisha Watz kwamba Chato ilikuwa inajengwa kuliko Dodoma au Dar.Mabibi na mabwana, hawa ndio upinzani wenye ndoto ya kuitoa CCM madarakani.
Yaani wameshindwa hata kutumia akili ndogo tu kutambua kuwa haya majengo ni tofauti!

