Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mabibi na mabwana, hawa ndio upinzani wenye ndoto ya kuitoa CCM madarakani.
Yaani wameshindwa hata kutumia akili ndogo tu kutambua kuwa haya majengo ni tofauti!



Wamejawa chuki za kijinga, hawapendi kuona mji fulani wa Tz ukiendelea kisa tu kuna mtu wa huko hawampendi, so wanataka kuaminisha Watz kwamba Chato ilikuwa inajengwa kuliko Dodoma au Dar.
 
FB_IMG_16343735382942753.jpg
 
Danganyika is very corrupt. Meko alikua muuaji lakini mungu ni nani akamuua pia.
Screenshot_20211016-115149.jpg
 
Wamejawa chuki za kijinga, hawapendi kuona mji fulani wa Tz ukiendelea kisa tu kuna mtu wa huko hawampendi, so wanataka kuaminisha Watz kwamba Chato ilikuwa inajengwa kuliko Dodoma au Dar.
Badala waangaike kujenga chama chao huwa wanawekeza kwenye kueneza chuki pamoja na kupotosha.

Huoni hawana tofauti na wakunya kwenye kuwalamba miguu wazungu , kiongozi wao akipiga picha na mzungu huwa inakuwa ni breaking news kama tu wakunya wanavyo fanya.
 
Tutegemee maziwa nyie mna ng'ombe? Tz ni nchi ya pili Africa kuwa na ng'ombe wengi, au unaongelea maziwa ya unga ambayo JPM aliyapiga ban

Kwamba ngano na unga tunategemea Kenya, so Bakhressa cku hz ni mkenya? Ukiingia maduka ya Kenya yamejaza ngano na unga wa Bakhressa na bidhaa nyingine nyingi, so ni mkenya yule
Kenya inaipiga Tanzania in both milk and meat production..lete data inaprove otherwise
 
what are you really trying to justify??that jamiiforums imejaa watu wenye low IQ kama wewe?
Siundoke humu kwenye forum ya watanzania, unasubiri nini ss, nyie ondokeni muende kwenye forum zenu kwani hamna forums nyie? Sisi watanzania wala hatuna shobo na mambo yenu ila nyie mnajipendekeza kwetu au kwasababu huwa tunawapa chakula?
 
Wamejawa chuki za kijinga, hawapendi kuona mji fulani wa Tz ukiendelea kisa tu kuna mtu wa huko hawampendi, so wanataka kuaminisha Watz kwamba Chato ilikuwa inajengwa kuliko Dodoma au Dar.
unataka candid opinion yangu juu ya hili?
 
Sawa weka ila uoneshe ni jinsi gani Chato imepewa miradi mingi kuliko miji yote Tanzania, alafu pia uoneshe katiba ikisema baadhi ya miji hairuhusiwi kupewa miradi ya maendeleo.
Chato ilipendelewa na matokeo yake Geita Town ikabaki nyuma! Kama JPM ange-concentrate effort kuendeleza Geita Town basi ungekuwa mji mmoja very modern ila kwa sababu anazozijua yeye binafsi akagawanya rasilimali na awamu yake ya pili alikuwa awekeze zaidi aliona aibu kufanya yote awamu ya kwanza. Matokeo yake ubinafsi huo unawafanya wana Chato sas hivi kutaka kujitenga maana wanajiona bora zaidi ya wenzao wa Geita! Huo ndo ukweli najua mtatukana humu ndani!


Geita-Travel-Guide-806x440.jpg





Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita, Geita Town
ErsCxhHXAAAVb7m




VS


Hospitali ya Wilaya Chato
chato-pic.jpg




VETA Chato
ErJWk14VkAY4Hy-
 
Chato ilipendelewa na matokeo yake Geita Town ikabaki nyuma! Kama JPM ange-concentrate effort kuendeleza Geita Town basi ungekuwa mji mmoja very modern ila kwa sababu anazozijua yeye binafsi akagawanya rasilimali na awamu yake ya pili alikuwa awekeze zaidi aliona aibu kufanya yote awamu ya kwanza. Matokeo yake ubinafsi huo unawafanya wana Chato sas hivi kutaka kujitenga maana wanajiona bora zaidi ya wenzao wa Geita! Huo ndo ukweli najua mtatukana humu ndani!


Geita-Travel-Guide-806x440.jpg





Hospitali ya Mkoa Geita Town
ErsCxhHXAAAVb7m




VS


Hospitali ya Wilaya Chato
chato-pic.jpg
Hujaonesha bado ni vipi Chato ilipendelewa kuliko miji yote Tanzania, pia hujaonesha sehemu katiba imesema ni marufuku baadhi ya miji Tanzania kupewa miradi ya maendeleo.
 
Hujaonesha bado ni vipi Chato ilipendelewa kuliko miji yote Tanzania, pia hujaonesha sehemu katiba imesema ni marufuku baadhi ya miji Tanzania kupewa miradi ya maendeleo.
usilazimishie mikoa mingine nimekutolea mfano candid wa jinsi Geita Town ilivyokuwa disadvantaged wewe unalazimishia Dodoma!
 
Sasa mbn huoneshi kifungu cha katiba kikisema ni marufuku miradi ya maendeleo kupelekwa baadhi ya miji Tanzania.
sheria miji zipo zinazobainisha hospitali level ipi inapaswa kuwa mijini na vijijini! Pitia miongozo ya TAMISEMI!
 
Back
Top Bottom