Chato ilipendelewa na matokeo yake Geita Town ikabaki nyuma! Kama JPM ange-concentrate effort kuendeleza Geita Town basi ungekuwa mji mmoja very modern ila kwa sababu anazozijua yeye binafsi akagawanya rasilimali na awamu yake ya pili alikuwa awekeze zaidi aliona aibu kufanya yote awamu ya kwanza. Matokeo yake ubinafsi huo unawafanya wana Chato sas hivi kutaka kujitenga maana wanajiona bora zaidi ya wenzao wa Geita! Huo ndo ukweli najua mtatukana humu ndani!
Hospitali ya Mkoa Geita Town
VS
Hospitali ya Wilaya Chato