Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Tow uchufu tumesha choka ...lila siku ndio akoako kwa mradi...kamechoka kapumzishenHuo sasa ni wivu wa kichawi.
Picha zaidiView attachment 1976204
Tow uchufu tumesha choka ...lila siku ndio akoako kwa mradi...kamechoka kapumzishenHuo sasa ni wivu wa kichawi.
Picha zaidiView attachment 1976204
Kusema kweli huyu baba alikuwa mbaguzi pia hii miradi ni mingi kupelekwa Wilayani badala ya mkoani. Mungu amrehemu huko alipo. Angejenga hii Geita kwenye vumbi la kufa mtu leo kungekuwa na Jiji la Geita baada ya Mwanza.Nitajie wilaya nyingine Tanzania iliyopata upendeleo Tanzania kama Chato kipindi cha Urais wa Marehemu Magufuli, yaani imejengewe uwanja wa ndege wa Kimataifa, ikapewa ferry, ikaanzishiwa mbuga ya wanyama, ikajengewa uwanja wa mpira, ikajengewa soko la dhahabu, ikajengewa machinjio na soko la mnada la kisasa, ikajengewa ofisi ya Tanesco ya kisasa, Ofisi ya CRDB ya kisasa, ikajengewa stendi ya mabasi ya kisasa, chuo cha VETA cha kisasa, hospitali yenye hadhi ya rufaa ya kanda, mabarabara na mataa ya barabarani, nyumba za polisi n.k.! Mind you Chato ina idadi ya watu 365,000 vs watu 807,000 Geita Town (sensa 2012)! Wacha kufuru mzee!
![]()
Msoga napajua hapafikii investments za serikali kwa Chato hata kidogo!Jaribu kwenda msoga alafu uone kama utakutana na vumbi la Chato.
exactly!! ndo nachojaribu kuwafafanuliwa watu humu ndani! Na sijui ingekuwaje by 2025 kama angeendelea kuwapo madarakani. Halafu watu hawajiulizi mbona sipingi miradi ya Mwanza? Mwanza as a city deserved what it has got! Tembeleeni Kigoma town au Bukoba town au Musoma town ndo mjue nini maana ya Chato district kupendelewa!Kusema kweli huyu baba alikuwa mbaguzi pia hii miradi ni mingi kupelekwa Wilayani badala ya mkoani. Mungu amrehemu huko alipo. Angejenga hii Geita kwenye vumbi la kufa mtu leo kungekuwa na Jiji la Geita baada ya Mwanza.
Hio sio picha ya Nairobi expressway. Huoni magari tayari yanaitumia? Nairobi expressway bado haijaanza kutumika.Iko wapi ss hyo road yenye hadhi ya juu wkt ishachakaa kabla hata haijafunguliwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ukiangalia muundo wa wilaya ya chato utakubaliana na mimi kwamba hizi investment zilikua sahihi kufanywaNitajie wilaya nyingine Tanzania iliyopata upendeleo Tanzania kama Chato kipindi cha Urais wa Marehemu Magufuli, yaani imejengewe uwanja wa ndege wa Kimataifa, ikapewa ferry, ikaanzishiwa mbuga ya wanyama, ikajengewa uwanja wa mpira, ikajengewa soko la dhahabu, ikajengewa machinjio na soko la mnada la kisasa, soko la kisasa, ikajengewa ofisi ya Tanesco ya kisasa, Ofisi ya CRDB ya kisasa, ikajengewa stendi ya mabasi ya kisasa, chuo cha VETA cha kisasa, hospitali yenye hadhi ya rufaa ya kanda, mabarabara na mataa ya barabarani, nyumba za polisi n.k.! Mind you Chato ina idadi ya watu 365,000 vs watu 807,000 Geita Town (sensa 2012)! Wacha kufuru mzee!
![]()
kwahiyo Mafia Island, Bukoba Town, Kigoma Town na Musoma Town hazijajitenga?ukiangalia muundo wa wilaya ya chato utakubaliana na mimi kwamba hizi investment zilikua sahihi kufanywa
chato imejitenga na mikoa yote miwili, yaani geita ni mbali na kagera ni mbali
huduma kama hizi kuwepo chato, kuna warahisishia huduma wananchi
huduma ambazo walitakiwa wasafiri umbali mrefu kwenda geita au kagera
isitoshe chato ni tanzania.
Wewe wacha kutumia lugha chafu. Mama yupo vizuriKweli kabisa yani unamfananisha Magufuli na huyu mama mpika visheti?
Siku hz kila kitu bongo kinasuasua mpk umeme unasuasua.
Bullshit!
Halafu eti jitu pumbavu linamtetea huyu mama
MY TAKE
Sikujua International school of Moshi ina mahusiano na KCMC, yaani ilianzishwa na foundation moja! Na sikujua KCMUCo ina chuo cha Pharmacy! Hongera zao maana hamna kitu kigumu (capital intensive) kama kuanzisha shule ya famasia!
Kinakaa hakijulikani labda hapa nchini! Hakitoi degree mpaka sasa nimepitia website yake!Hicho chuo ni International, apo utakutana na wanafunzi kutoka mataifa mbalimbali kama Somalia, Kenya, Ethiopia, Zambia, Botswana, Nigeria, Sudan. Hapo nimemention wale ambao nliwahi kukutana nao binafsi. Tena ukija kwenye Orthopaedics ndio hamna chuo wala hospital hapa EAC na Kati inayoiweza KCMC na wanatumia German Technologies
Hiyo crude oil itakua imetokana na watu na wanyama wanaokufa kwa njaa miaka nenda rudiata ivo jangwa yetu sio tu hasara, ila imetupa crude oil. kenya is yet to joint OPEC in the coming few years View attachment 1976238View attachment 1976233View attachment 1976234
Hii ni screenshot ya baadhi ya wanafunzi Bachelor of Science in Prosthetics and Orthotics (BSC.P/O)Kinakaa hakijulikani labda hapa nchini! Hakitoi degree mpaka sasa nimepitia website yake!
Hahaha eti nini xng hua ?punyeto inashusha uwezo wa kufikiri mwambieni huyu Geza Ulole aache
Mmmh hapa ni hatari mzee wangu,Hatari baba, yn hii sehemu tamu sana hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitajie wilaya nyingine Tanzania iliyopata upendeleo Tanzania kama Chato kipindi cha Urais wa Marehemu Magufuli, yaani imejengewe uwanja wa ndege wa Kimataifa, ikapewa ferry, ikaanzishiwa mbuga ya wanyama, ikajengewa uwanja wa mpira, ikajengewa soko la dhahabu, ikajengewa machinjio na soko la mnada la kisasa, soko la kisasa, ikajengewa ofisi ya Tanesco ya kisasa, Ofisi ya CRDB ya kisasa, ikajengewa stendi ya mabasi ya kisasa, chuo cha VETA cha kisasa, hospitali yenye hadhi ya rufaa ya kanda, mabarabara na mataa ya barabarani, nyumba za polisi n.k.! Mind you Chato ina idadi ya watu 365,000 vs watu 807,000 Geita Town (sensa 2012)! Wacha kufuru mzee!
![]()