carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,272
Hii ni wewe unasema au ndio article inavyosema?Hizi ni 10k km ambazo Uhuru amejenga. Total ni 21k km ya lami. Wivu wenu hautabadilisha ukweli huo.
Hii ni wewe unasema au ndio article inavyosema?Hizi ni 10k km ambazo Uhuru amejenga. Total ni 21k km ya lami. Wivu wenu hautabadilisha ukweli huo.
Kwahiyo kwa miaka michache ya Uhuru kajenga 10,000km ambazo ni nyingi kuliko marais wote wa Kenya na pengine ni rekodi ya AfrikaHizi ni 10k km ambazo Uhuru amejenga. Total ni 21k km ya lami. Wivu wenu hautabadilisha ukweli huo.




Nimeliona hapo ila nakumbuka wanaharakati wa twitter walituambia SSH halitumiia tena pamoja na hao walinzi eti mama hawatumii tena!Nimelimisi li Chevy (jammer) la kibabe.



Data za serikali ya Kenya zinasema Kenya ina 21,000 kilometres of tarmack roads wakati Tanzania ina 13,000 kilometres of tarmack roads. Najua ukweli inauma lakini itabidi uzoee.
ndio. Uhuru amejenga barabara yenye urefu sawia na barabara zilizojengwa na marais wote watatu waliomtangulia.Kwahiyo kwa miaka michache ya Uhuru kajenga 10,000km ambazo ni nyingi kuliko marais wote wa Kenya na pengine ni rekodi ya Afrika![]()
We hujawahi kufika geita unadangaywa tu na wanasiasa wa upinzani unaondoka nayo .. kwanza, soko la kisasa, Machinjio ya kisasa.. hizo facilities zilitengenezwa Geita mjini na sio chato.. pia chato kulijengwa hospital kubwa tu ya mkoa, pamoja na jengo la Halmashauri. Pita hapa👇. Individual development level mjini Geita 👇. . Nilikuepo hii mikoa juzi tu naijua vizur, huna cha kunidanganya .. kwahiyo kwasasa najua nini kinaendelea, tembea bro usijifiche DSM pekee
Kwahiyo unajiongopea mwenyewe au unaongopa kwa maslahi ya nani hasa.ndio. Uhuru amejenga barabara yenye urefu sawia na barabara zilizojengwa na marais wote watatu waliomtangulia.
Ukiniletea article inayosema kenya ina japo 15k za paved roads naondoka Jf.Data za serikali ya Kenya zinasema Kenya ina 21,000 kilometres of tarmack roads wakati Tanzania ina 13,000 kilometres of tarmack roads. Najua ukweli inauma lakini itabidi uzoee.
Kwamba within 7 good years UHURU ametengeneza 10k km of paved roads, 😂😂😂, wacha we.. alafu wakoloni pamoja na marais wote wa kenya waliopita wanatengeneza 11km of paved roads.? 😂😂🏃🏃🏃 1963-2013.. bwahahahah .. bro ni kweli uyasemayo.? Wakenya bhana muache uongoHizi ni 10k km ambazo Uhuru amejenga. Total ni 21k km ya lami. Wivu wenu hautabadilisha ukweli huo.
Article inasema kwamba serikali imejenga 10,000 km of tarmack road lakini wanaongea kuhusu serikali ya Uhuru. Hawaongei kuhusu total km under tarmack. Unataka nikuletee ushahidi kutoka Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) kwamba Kenya ina 21,000 km of tarmack roads? Ushahidi huo upo ukiutaka nitakuletea chini ya masaa 24. Nakumbuka nikiisoma mwezi uliopita aidha kwenye economic survey report au kwenye rebasing report. Kama unataka hio data sema nitakuletea ila lazima niende niitafute kwanza ila ipo na niliisoma.Hii ni wewe unasema au ndio article inavyosema?
We hujawahi kufika geita unadangaywa tu na wanasiasa wa upinzani unaondoka nayo .. kwanza, soko la kisasa, Machinjio ya kisasa.. hizo facilities zilitengenezwa Geita mjini na sio chato.. pia chato kulijengwa hospital kubwa tu ya mkoa, pamoja na jengo la Halmashauri. Pita hapa👇. Individual development level mjini Geita 👇. . Nilikuepo hii mikoa juzi tu naijua vizur, huna cha kunidanganya .. kwahiyo kwasasa najua nini kinaendelea, tembea bro usijifiche DSM pekee
Hyo article inabd itunzwe vizuri, kuna mtu itabidi apigwe na kitu kizitoo![]()
😂😂😂 Jamaa ni waongo sana hawaKwahiyo kwa miaka michache ya Uhuru kajenga 10,000km ambazo ni nyingi kuliko marais wote wa Kenya na pengine ni rekodi ya Afrika![]()
Report ipo. Najua nikikuletea utaruka story na kusema KNBS inapika data. Nitapost kesho. Nilikuwa nishaisoma ila itanibidi niitafute hio report kwenye folder ya computer yangu. By the way nitapost kesho lakini najua utaruka na kusema huamini data hio licha ya data hio kuwa ni official data kutoka serikali ya Kenya.Ukiniletea article inayosema kenya ina japo 15k za paved roads naondoka Jf.
Wewe je unaamini kwamba Uhuru kajenga kms hizo?Report ipo. Najua nikikuletea utaruka story na kusema KNBS inapika data. Nitapost kesho. Nilikuwa nishaisoma ila itanibidi niitafute hio report kwenye folder ya computer yangu. By the way nitapost kesho lakini najua utaruka na kusema huamini data hio licha ya data hio kuwa ni official data kutoka serikali ya Kenya.
Ndio within 9 years Uhuru amejenga 10,000 km of tarmack. Najua hamuamini lakini sisi sio malazy kama nyinyi. Ama wacha nitafute hio report niilete saa hii japo itanichukua muda kidogo. Munipe dakika 30 nitafute hio report ya KNBS iliyotolewaa mwaka huu.Kwamba within 7 good years UHURU ametengeneza 10k km of paved roads, 😂😂😂, wacha we.. alafu wakoloni pamoja na marais wote wa kenya waliopita wanatengeneza 11km of paved roads.? 😂😂🏃🏃🏃 1963-2013.. bwahahahah .. bro ni kweli uyasemayo.? Wakenya bhana muache uongo
Usilete picha za majengo binafsi mi naongelea rasilimali za nchi yaani za serikali kupelekwa Chato!
![]()
VS
![]()
![]()
MAJENGO MAPYA YA MAHAKAMA GEITA NA CHATO YAKAGULIWA NA MENEJIMENTI YA MAHAKAMA YA TANZANIA
Pichani ni muonekano wa jengo jipya la Mahakama ya Wilaya Chato lililopo mkoani Geita, jengo hilo la kisasa lipo katika hatua za mwish...tanzaniajudiciary.blogspot.com
Ila kwa kusema UHURU alitengeneza km za lami 10,000 ndani ya miaka saba ni uongo, sahii nakubali nyie huwa mnapika dataReport ipo. Najua nikikuletea utaruka story na kusema KNBS inapika data. Nitapost kesho. Nilikuwa nishaisoma ila itanibidi niitafute hio report kwenye folder ya computer yangu. By the way nitapost kesho lakini najua utaruka na kusema huamini data hio licha ya data hio kuwa ni official data kutoka serikali ya Kenya.
Sijui. Siwezi kuwa 100% sure. Lakini naamini serikali yetu, mbona serikali idanganye? Itafaidika vipi kwa kudanganya? Anyway nimeamua wacha nitafute hio report ya serikali kuu iliyotolewa mwezi uliopita ninaiweka baada ya dakika chache.Wewe je unaamini kwamba Uhuru kajenga kms hizo?
Sawaa tunasubiriNdio within 9 years Uhuru amejenga 10,000 km of tarmack. Najua hamuamini lakini sisi sio malazy kama nyinyi. Ama wacha nitafute hio report niilete saa hii japo itanichukua muda kidogo. Munipe dakika 30 nitafute hio report ya KNBS iliyotolewaa mwaka huu.