Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!

BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.

This is Kenyatta's mausoleum
30589655322_ae51d2ba1a_b.jpg




Tom Moboya's mausoleum
DhUmJvzXUAABEX_




Oginga Odinga's mausoleum
dsc00415.jpg




Nyerere's mausoleum
IMG_3621-1024x768.jpg




Nkrumah's mausoleum
2070760188-2021-jan-19-15-18-59-000000-Kwame-Nkrumah-Mausoleum-1.jpg




Mandela's Graveyard





VS


Magufuli mausoleum
2778275_IMG-20210517-WA0089.jpg




MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!

Sure. Hapa creativity hakuna kabisa. Special place kama hii haitakiwi kuwa na muonekano casual kama huu.
 
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.
Nyie wakenya hamna uwezo wa kushindana na Sisi ma superpower.
 
Sure. Hapa creativity hakuna kabisa. Special place kama hii haitakiwi kuwa na muonekano casual kama huu.
constructive criticism haikubaliki humu ndani kikisemwa kitu watu hurukia 'chuki'! Aisee sasa kusema burial place ya Magufuli haina creativity imekaaa ugly na nimetoa comparison kwa other mausoleum walizozikwa viongozi inahusiana vp na chuki!?
 
But ata mie nimeshindwa.. eti Birr ya Ethiopia inashida shillingi ya kenya by x2. But mbona tena wa Ethiopia na wa Eritrea wamerundika Githurai45 ivo.. 🤔
Nguvu ya safaru haina uhusiano wowote na nguvu ya uchumi wa nchi husika. Hata Ethiopia ina sarafu yenye nguvu kushinda Japan lakini hio haimaanishi kwamba uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kushinda uchumi wa Japan. Vile vile safaru ya Kenya ina nguvu sawia na ya Japan yaani 1 to 1 ratio ( shilingi moja ya Kenya ni sawia na yen moja ya Japan) lakini hio haina maana kwamba uchumi wa Kenya unatoshana na uchumi wa Japan. Ni kawaida watu wasiolewa mambo ya uchumi kufikiri kwamba nguvu ya safaru ya nchi husika ina uhusiano mkubwa na ukubwa wa uchumi. Nchi za bara Asia huwa zinapunguza nguvu ya sarafu zao ili kufanya exports zao kuwa more competitive.
 
Nyie wakenya hamna uwezo wa kushindana na Sisi ma superpower.
ata juzi ulisikia eti Tz ime export vitu zaidi ya kenya 'FOR THE VERY FIRST TYME SINCE INDEPENDENCE', that alone ment tht kenya had been the dorminant economy eversince,.. we are yet to revert back to where we were before. It was only due to corona last year 2020🥱. itikadi kali ya serkali ya kenya ndo kafanya vile, kuzingatia masharti makali kudhibiti corona
 
Nguvu ya safaru haina uhusiano wowote na nguvu ya uchumi wa nchi husika. Hata Ethiopia ina sarafu yenye nguvu kushinda Japan lakini hio haimaanishi kwamba uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kushinda uchumi wa Japan. Vile vile safaru ya Kenya ina nguvu sawia na ya Japan yaani 1 to 1 ratio ( shilingi moja ya Kenya ni sawia na yen moja ya Japan) lakini hio haina maana kwamba uchumi wa Kenya unatoshana na uchumi wa Japan. Ni kawaida watu wasiolewa mambo ya uchumi kufikiri kwamba nguvu ya safaru ya nchi husika ina uhusiano mkubwa na ukubwa wa uchumi. Nchi za bara Asia huwa zinapunguza nguvu ya sarafu zao ili kufanya exports zao kuwa more competitive.
very true Bruh
 
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.
Sisi ndiyo baba
 
Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!

BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.

This is Kenyatta's mausoleum
30589655322_ae51d2ba1a_b.jpg




Tom Moboya's mausoleum
DhUmJvzXUAABEX_




Oginga Odinga's mausoleum
dsc00415.jpg




Nyerere's mausoleum
IMG_3621-1024x768.jpg




Nkrumah's mausoleum
2070760188-2021-jan-19-15-18-59-000000-Kwame-Nkrumah-Mausoleum-1.jpg




Mandela's Graveyard





VS


Magufuli's mausoleum
2778275_IMG-20210517-WA0089.jpg




MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!
mkuu kaburi haliimhitaji mbwembwe,kuna mda tuachane na maada zisizo na tija,

mambo ya waasisi
 
Naona wamachinga taratibu wameanza kuvunja vibanda vyao pale kariakoo pasipo shuruti, baba yao hayupo tena, ofcz mm ni mmoja wa watu waliokuwa wanapinga huu upumbavu. Tunajenga infrastructures za gharama kubwa ili miji yetu ipendeze, unajua miji yenye kupendeza co tu inaleta faraja na kuongeza umri wa kuishi lkn pia inapunguza ajali za kizembe, imagine sidewalks zote zina vibanda zen pedestrian wanapita on road ni upumbavu, kwahili nasema hongera Mama kama Mama.View attachment 1973163View attachment 1973164View attachment 1973165View attachment 1973166View attachment 1973167View attachment 1973168
safi sana
 
Back
Top Bottom