Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unadhani Kenya itaruhusu ndege yenu kupiga route ya Nairobi? Wacha kuota mchana mzee.
yaani nawewe hujui hata mambo fuatilia,
vitu vishasukwa tiyati tarehe tu ndiyo inangojewa
images.jpg
 
Hata mimi nimeshangaa Uhuru anafanya nini? Anawezaje kuwaruhusu malazy kuja Nairobi kuuwa KQ? Hio haikubaliki. Wakenya watazua rabsha wakifahamu kuwa TZ inajaribu kuuwa KQ.
hatuji kuuwa KQ hiyo ni biashara mzee,kama nyie mnafika Tz kwanini sisi tusije Kenya,

ushindani unaanza taratibu,kikubwa ni ufanisi tu wa utendaji kazi ndiyo unaotakiwa atakaye win atateka soko
 
Nakumbuka a while back, nilikuwa na route sana za Uganda kwa basi.

Unakuta unaondoka Dar na basi Akamba, zuri kabisa, kitu AC safi. Mkifika Nairobi mna badilishiwa basi na kupewa basi la Akamba bovu yaani, vioo vina piga kelele hatari.

Ukiuliza, wana kwambia barabara za Kenya na Uganda mbaya, na pia wakipeleka basi baya Tz hato panda mtu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hatuji kuuwa KQ hiyo ni biashara mzee,kama nyie mnafika Tz kwanini sisi tusije Kenya,

ushindani unaanza taratibu,kikubwa ni ufanisi tu wa utendaji kazi ndiyo unaotakiwa atakaye win atateka soko
Pilots mtatowa wapi nyie malazy au mnadhani kutrain pilots ni kama kutrain watu wa kuosha choo? Kutrain pilots kunachukua miaka kadhaa na ni gharama kubwa ajabu.
 
Sasa hapo pesa ukiangalia EA ni hela gani ambayo ina purchasing power..
Ksh 1000 inafanya mambo mengi sana EAST afrika yote lkn nyie visenti vyenu mkija navyo hku mnatoka mkinungunika[emoji1787][emoji1787]
Kumbe ujui hesabu [emoji849][emoji849][emoji849] yaani dola moja ya marekani inafanya mambo makubwa mara 3 ya mambo inayofanya kenya ,nadhani umenielewa Tony254 njoo uchukue ili zigo la mavii linaitwa komora huku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
uko na akili finyu sana. gdp size in general. and gdp/population ie. gdp per capita is directly propotional to the influence, sophistication, development and quality of life in a country. take the case of US for instance, or the modern china, or even SA in africa
So Kenya now imeanza kulinganishwa na US and China [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pilots mtatowa wapi nyie malazy au mnadhani kutrain pilots ni kama kutrain watu wa kuosha choo? Kutrain pilots kunachukua miaka kadhaa na ni gharama kubwa ajabu.
kwani wanaoendesha KQ mliwatoa wapi?

wacha kuchekesha dunia,[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe ujui hesabu [emoji849][emoji849][emoji849] yaani dola moja ya marekani inafanya mambo makubwa mara 3 ya mambo inayofanya kenya ,nadhani umenielewa Tony254 njoo uchukue ili zigo la mavii linaitwa komora huku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huyo nilimcheka sana nikagundua kuwa ni kichwa maji[emoji23][emoji23] hata hajielewi
 
Back
Top Bottom