Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona wamachinga taratibu wameanza kuvunja vibanda vyao pale kariakoo pasipo shuruti, baba yao hayupo tena, ofcz mm ni mmoja wa watu waliokuwa wanapinga huu upumbavu. Tunajenga infrastructures za gharama kubwa ili miji yetu ipendeze, unajua miji yenye kupendeza co tu inaleta faraja na kuongeza umri wa kuishi lkn pia inapunguza ajali za kizembe, imagine sidewalks zote zina vibanda zen pedestrian wanapita on road ni upumbavu, kwahili nasema hongera Mama kama Mama.
IMG_20211013_173140_580.jpg
IMG_20211013_173124_112.jpg
IMG_20211013_173103_585.jpg
IMG_20211013_173055_341.jpg
IMG_20211013_173045_254.jpg
IMG_20211013_173039_622.jpg
 
Sio kupinga. Nimeuliza swali tu. Hii mindege mnayonunua mnapanga kuyatumia kwenye routes gani? Yaani hata siwaelewi. Anyway yangu macho tu. Tutaona kama hii business strategy yenu itawork.
Nairobi, ndola, Lumbumbashi, kinsasha, kigali na SA. Tayari route za lusaka, harare, entebbe Guanzhou mumbai comoro Bujumbura zina operate
 
14 trips per week ni nyingi sana. Hio haitowezekana kamwe. Zambia mna trips tatu tu halafu Kenya mnataka kupewa trips 14? Wacheni ulafi.
KQ ilikuwa inakuja Dar 7 times a day kabla Magu hajateremsha idadi ya flights. 14 times a week ni ndogo sana the route is very profitable can be shared equitably between KQ and ATC
 
Back
Top Bottom