The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sasa hivi utasikia tuna GDP ya 200 c yuko Tony Blair, wazungu wanafki sanaView attachment 1973157baada ya mama kuchukua mkopo, wameanza kumpamba![]()





Sasa hivi utasikia tuna GDP ya 200 c yuko Tony Blair, wazungu wanafki sanaView attachment 1973157baada ya mama kuchukua mkopo, wameanza kumpamba![]()





Ila mama angalau wiki hii kanifurahisha, akiendelea hivi kdg nitakuwa na Imani naye.View attachment 1973157baada ya mama kuchukua mkopo, wameanza kumpamba![]()








Airbus 4 dreamliners 2 dash 400 5So mna ndege ngapi mpya mliyonunua in the last 5 years zilizowasili tayari? Zinakaribia kufika kumi sasa sio?
Nairobi, ndola, Lumbumbashi, kinsasha, kigali na SA. Tayari route za lusaka, harare, entebbe Guanzhou mumbai comoro Bujumbura zina operateSio kupinga. Nimeuliza swali tu. Hii mindege mnayonunua mnapanga kuyatumia kwenye routes gani? Yaani hata siwaelewi. Anyway yangu macho tu. Tutaona kama hii business strategy yenu itawork.
Ndoto za Magu zinatimia kila uchao, haiwezekani nchi kubwa na tajiri kama hii ikakosa ndege zake ni aibu, Magu ni geniusKQ kifo kipo mlangoni kwake sasa




Ongea kwa vigezo mkuu. Unafahamu maana ya bilateral agreement on air services between kenya na tz? Kama hujui uka google kidogoUnadhani Kenya itaruhusu ndege yenu kupiga route ya Nairobi? Wacha kuota mchana mzee.










Umeshindwa kujibu hoja na kuja na porojo za hovyo tuu.Hakuna ndege ya Tanzania ambayo imewahi kuja Kenya kutoka enzi za East African airlines. Sema Uhuru anampenda mama na amemuonea huruma tu.
KQ inashirikiana na Precision Air...Huo upuuzi wa kwamba mtakuja Nairobi 14 times a week siamini. Hata KQ sidhani inakuja TZ 14 times a week.
Nimepanda sana KQ route ya Dar to Zanzibar inawatu wengi sana Imagine Wanaotoka Nairobi... Hapa Huyu mama Kacheza Kama peleHuo upuuzi wa kwamba mtakuja Nairobi 14 times a week siamini. Hata KQ sidhani inakuja TZ 14 times a week.
KQ ilikuwa inakuja Dar 7 times a day kabla Magu hajateremsha idadi ya flights. 14 times a week ni ndogo sana the route is very profitable can be shared equitably between KQ and ATC14 trips per week ni nyingi sana. Hio haitowezekana kamwe. Zambia mna trips tatu tu halafu Kenya mnataka kupewa trips 14? Wacheni ulafi.






