dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
eti the biggest denomination in Tz Tsh10,000/-, is equivalent to only Ksh400/-. tz mkonashida aky
nadhani kuna uhitaji wa Zanzibar-Nairobi route pia tena Air Tanzania ifanye fasta!Nimepanda sana KQ route ya Dar to Zanzibar inawatu wengi sana Imagine Wanaotoka Nairobi... Hapa Huyu mama Kacheza Kama pele
Yaani Ukitoka Nairobi to Dar Via Zanzibar katibu Nusu ya Abiria wanashukia Zanzibar na wengine Wangine Wengi wanapanda kwenda Dar, Nadhani kwa mbinu hii Wakenya Wataanza kuleta figisunadhani kuna uhitaji wa Zanzibar-Nairobi route pia tena Air Tanzania ifanye fasta!
Inakaa hii habari ya Air Tanzania 2 daily flights imekuumiza saana mr Agressive Kenyan! Tulia mzee while Znz-Nrb route is loading...halafu FYI kuna uwezekano wa partnership ya KLM/Air France na Air Tanzania hizi ni za moto chini ya carpet! 🗣️👂Hakuna ndege ya Tanzania ambayo imewahi kuja Kenya kutoka enzi za East African airlines. Sema Uhuru anampenda mama na amemuonea huruma tu.
Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!
BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.
This is Kenyatta's mausoleum
![]()
Tom Moboya's mausoleum
![]()
Oginga Odinga's mausoleum
![]()
Nyerere's mausoleum
![]()
Nkrumah's mausoleum
![]()
Mandela's Graveyard
VS
Magufuli mausoleum
![]()
MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!
Ntaghacha heshimu rais wako. Huyu mama sijaona tatizo lake. Yupo freshi tu. Hang over ya Hayati weka kando. Maisha lazima yasonge mbele.View attachment 1973157baada ya mama kuchukua mkopo, wameanza kumpamba🚮
You sound very optimistic but naive. Nawaombea ufanisi katika hii industry ngumu ya airline. Mkiambulia patupu hatutawacheka maana inaeleweka. Hii industry ni ngumu kama mawe.Nairobi, ndola, Lumbumbashi, kinsasha, kigali na SA. Tayari route za lusaka, harare, entebbe Guanzhou mumbai comoro Bujumbura zina operate
Magu ndugu yako au?bado nina omboleza magu
Mama kama mama, nani kama mama hakuna, Mama la mama Rais wa kwanza mwanamke East Africa, yn Tanzania ndio baba wa Democracy EA, anaitwa Samia Suluhu Hasan, a.k.a Madam Samia, mm ukifanya vizuri nakusifia ukizingua nakuripua cz I am purely communist.View attachment 1973201
Hasa kwa kuweka wazi kiasi kilichopokelewa na matumizi yake,nimependa huu utaratibu.ila vp kuhusu ile tozo kwa ajili vituo vya afya,na ekimu?kwa sababu naona huu mkopo ni Kama umefuta changamoto zote za hizi sektaIla mama angalau wiki hii kanifurahisha, akiendelea hivi kdg nitakuwa na Imani naye.
Na bado meli zetu zitatia nanga kwenye bandari zenu soon. WE ARE THE EA SUPER POWER.Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.
Vipi unaogopa ATCL yenye ndege 11 wakati KQ inazo ndege 40?Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.




.Anaitwa RAJAMUTA kwa kiswahili yani Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania au Wazungu wanamuita PURTA kifupi unaweza kumuita The President of the United Republic of Tanzania.View attachment 1973193
Hamna uwezo wa kutuzuiaUnadhani Kenya itaruhusu ndege yenu kupiga route ya Nairobi? Wacha kuota mchana mzee.
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.