Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali tu, Saudi Arabia ni Jangwa na hawapandi chakula ila wanalisha watu wao wote. Wanawezaje kufanya hivyo? Hakuna Wakulima wengi huko Saudi Arabia ila wanakula na kukunywa. Saudi Arabia inaimport chakula chao karibu chote. Serikali ya Saudi Arabia ingewezaje kudistribute chakula hicho kwa raia wake bila barabara nzuri? Barabara mbaya kinaongeza makali ya njaa. Simple tu maana hata serikali ikitaka kusaidia wananchi wake, lorry za chakula zinaharibikia njiani, au zinakwama matopeni. Zinapata hitilafu kwa sababu ya barabara mbovu. Puncture na kuvunjika kwa shock absorber ni baadhi ya matatizo yanayozikumba malorry yanayosafiri kwenye barabara mbovu. Kama inachukua siku nne badala ya masaa 18, basi hata baadhi ya vyakula vitakuwa vimeharibikia njiani kwa mfano maziwa au samaki, au mboga kama sukuma wiki. Usipuuze umuhimu wa barabara ya lami kwa kupunguza makali ya njaa. Benefit yake ni indirect lakini itaonekana polepole. Pia barabara mbaya ilikuwa inawafanya Wakenya katika maeneo mengine kutotangamana na Waturkana. Sasa hivi Waturkana wanaweza kusafiri virahisi hadi maeneo mengine ya Kenya na kufanya biashara. Vile vile Wakenya kutoka maeneno mengine ya nchi wanaweza kuenda Turkana na kuinvest katika biashara kama hoteli na kadhalika. Usipuuze the economic benefits ya hii barabara. Manufaa yataonekana baada ya miaka mitano au kumi.
Nikisomaga comments za Tony huwa nacheka sana, mana hiki kiswahili anachotumiaga huwa kinanchekesha sn

By the way nilikuwa cjui kama sukuma wiki ndio mboga pendwa kule Kenya, lkn Wakenya walikaa kimya wasiseme kama huwa wanategemea sukuma wiki
 
So Kenya now imeanza kulinganishwa na US and China
and so is kenya to this eastern africa block and to some extend southern africa. coz i hear our kenya shilling is exchanging hands even to as far as zambia, malawi, dr congo etc. infact its legal tender in somalia. but ya tz inabaki tz
 
Sio kupinga. Nimeuliza swali tu. Hii mindege mnayonunua mnapanga kuyatumia kwenye routes gani? Yaani hata siwaelewi. Anyway yangu macho tu. Tutaona kama hii business strategy yenu itawork.
Kwenye soccer tunasema tunakuja kuikabia kwa juu kq ifilie kwa mbali,kq imetunyinya vya kutosha
 
Yaani mtu aache kupanda Airbus mpya ya kisasa eti apande Ile mikweche iliyo shikizwa na gundi kwenye bawa!
Alafu matangazo ya hizo Airbus sasa, hatari tupu, unaambiwa ni ndege za kisasa zaidi, alafu mtu apande KQ karogwa au? Kwani hata hapa bongo ATCL imeua upinzani kwasababu ya nn kama co quality ya ndege zao na services.
 
Hii si kaburi la serikali (hoja ilikataliwa) la familia si amezikwa makaburi ya ukoo? ama? Kiufupi with my humble opinion kaburi la mwendazake limegharimu fedha nyingi na hamna aesthetic. Watu wa hearse wanapaswa kujiongeza! Tuna stones nyingi za kisasa from tanga stones to mahenge stones! Yaani plenty! Umeona paa lake? Huwa naambiwa mjuaji lakini 🙄!
Magu Alikukosea nini Maana Unachuki binafsi hata Hayupo Duniani
Nafuatilia sana Comment zako humu
yaani we jamaa umejawa na Ujuaji mwingi sana Pia chuki
Magufuli Alisha pumzika Hata umchukie Vipi haita Saidia
 
Magu Alikukosea nini Maana Unachuki binafsi hata Hayupo Duniani
Nafuatilia sana Comment zako humu
yaani we jamaa umejawa na Ujuaji mwingi sana Pia chuki
Magufuli Alisha pumzika Hata umchukie Vipi haita Saidia
Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!

BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.

This is Kenyatta's mausoleum
30589655322_ae51d2ba1a_b.jpg




Tom Moboya's mausoleum
DhUmJvzXUAABEX_




Oginga Odinga's mausoleum
dsc00415.jpg




Nyerere's mausoleum
IMG_3621-1024x768.jpg




Nkrumah's mausoleum
2070760188-2021-jan-19-15-18-59-000000-Kwame-Nkrumah-Mausoleum-1.jpg




Mandela's Graveyard





VS


Magufuli's mausoleum
2778275_IMG-20210517-WA0089.jpg




MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!
 
Back
Top Bottom