Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.

 
Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!

BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.

This is Kenyatta's mausoleum
30589655322_ae51d2ba1a_b.jpg




Tom Moboya's mausoleum
DhUmJvzXUAABEX_




Oginga Odinga's mausoleum
dsc00415.jpg




Nyerere's mausoleum
IMG_3621-1024x768.jpg




Nkrumah's mausoleum
2070760188-2021-jan-19-15-18-59-000000-Kwame-Nkrumah-Mausoleum-1.jpg




Mandela's Graveyard





VS


Magufuli's mausoleum
2778275_IMG-20210517-WA0089.jpg




MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!
Sasa wewe mpumbavu ulifikili walio muua wanaweza kujenga kitu creative you very stupid
 
Nguvu ya safaru haina uhusiano wowote na nguvu ya uchumi wa nchi husika. Hata Ethiopia ina sarafu yenye nguvu kushinda Japan lakini hio haimaanishi kwamba uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kushinda uchumi wa Japan. Vile vile safaru ya Kenya ina nguvu sawia na ya Japan yaani 1 to 1 ratio ( shilingi moja ya Kenya ni sawia na yen moja ya Japan) lakini hio haina maana kwamba uchumi wa Kenya unatoshana na uchumi wa Japan. Ni kawaida watu wasiolewa mambo ya uchumi kufikiri kwamba nguvu ya safaru ya nchi husika ina uhusiano mkubwa na ukubwa wa uchumi. Nchi za bara Asia huwa zinapunguza nguvu ya sarafu zao ili kufanya exports zao kuwa more competitive.
Waeleweshe wakunya wenzako waelewe ndio maana huwa nasema kwamba wewe Tony hufanani na hawa wakunya wenzako.
 
tuna penda kupenda tz coz we are rest assured we dorminate them in each and every aspect/sector
 
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.
Mulianzishe dude...mnapumzi sasa? Wakati mnakufa njaaa
 
Back
Top Bottom