Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
"E"is loading....Kampuni ya Abood leo imeingiza Tanzania basi mpya 20. Gari zimepelekwa kwao Morogoro.View attachment 1973292View attachment 1973294View attachment 1973300
"E"is loading....Kampuni ya Abood leo imeingiza Tanzania basi mpya 20. Gari zimepelekwa kwao Morogoro.View attachment 1973292View attachment 1973294View attachment 1973300
Tony254,vp tena mkuu,si mnasemaga ss ni malezi,vp mnaanza kuweka mpira kwapani!? Na mkindelea,tuta-retaliate na kawaida huwa hmhimili kipigo chetu!Ni Kheri tu tuanze vita maana kwenye uhusiano mwema sisi ndio tunaumia.
Mpumbavu mama yako mzazi!



nilijua ume ni block kumbe upo live


.mbonq nilipo kuomba unitumie ile picha ya machoko ysmepaka lipstick ukunitumia na humu imefutwa au ni wewe ulifuta? Nitumie niko na shida nayoHadi komora the legendary kakata pumzi siyo mchezoHii battle inakufa kabla ya 2025.
Hapana mkuu, kaburi la mkuu wa nchi halitakiwi kujengwa hovyo hovyo eti sababu halihitaji mbwembwe. Kama watu binafsi tu wanajengewa kaburi yenye muonekano mzuri sembuse mkuu wa nchi? Kujenga kaburi la muonekano wa hovyo wakati uwezo (kifedha) wa kujenga kaburi zuri upo ni kejeli au alama ya kutomheshimu anayemjengewa hilo kaburi.mkuu kaburi haliimhitaji mbwembwe,kuna mda tuachane na maada zisizo na tija,
mambo ya waasisi
Kampuni ya Abood leo imeingiza Tanzania basi mpya 20. Gari zimepelekwa kwao Morogoro.View attachment 1973292View attachment 1973294View attachment 1973300
Hapana mkuu, kaburi la mkuu wa nchi halitakiwi kujengwa hovyo hovyo eti sababu halihitaji mbwembwe. Kama watu binafsi tu wanajengewa kaburi yenye muonekano mzuri sembuse mkuu wa nchi? Kujenga kaburi la muonekano wa hovyo wakati uwezo (kifedha) wa kujenga kaburi zuri upo ni kejeli au alama ya kutomheshimu anayemjengewa hilo kaburi.
amelipa kodi?Kampuni ya Abood leo imeingiza Tanzania basi mpya 20. Gari zimepelekwa kwao Morogoro.View attachment 1973292View attachment 1973294View attachment 1973300
Mfano mzuri ni China huwa anafanya devaluation ili kuongeza exportation, lkn haina mana kuwa uchumi wake ninmdgo.Nguvu ya safaru haina uhusiano wowote na nguvu ya uchumi wa nchi husika. Hata Ethiopia ina sarafu yenye nguvu kushinda Japan lakini hio haimaanishi kwamba uchumi wa Ethiopia ni mkubwa kushinda uchumi wa Japan. Vile vile safaru ya Kenya ina nguvu sawia na ya Japan yaani 1 to 1 ratio ( shilingi moja ya Kenya ni sawia na yen moja ya Japan) lakini hio haina maana kwamba uchumi wa Kenya unatoshana na uchumi wa Japan. Ni kawaida watu wasiolewa mambo ya uchumi kufikiri kwamba nguvu ya safaru ya nchi husika ina uhusiano mkubwa na ukubwa wa uchumi. Nchi za bara Asia huwa zinapunguza nguvu ya sarafu zao ili kufanya exports zao kuwa more competitive.
Ya kutosha amelipaamelipa kodi?
Hapana mkuu, kaburi la mkuu wa nchi halitakiwi kujengwa hovyo hovyo eti sababu halihitaji mbwembwe. Kama watu binafsi tu wanajengewa kaburi yenye muonekano mzuri sembuse mkuu wa nchi? Kujenga kaburi la muonekano wa hovyo wakati uwezo (kifedha) wa kujenga kaburi zuri upo ni kejeli au alama ya kutomheshimu anayemjengewa hilo kaburi.
ndo nilichokuwa nasema ndo maana nimeleta la Mandela na Bush Snr pia watu waone makaburi ya familia yanavyopangwa! Kama unajenga mausoleum basi iwe inapendeza au kama ni makaburi tu kama ya familia basi garden nzuri ya kuvutia! basi hata mkishindwa basi kokoto nyeupe! Serious japokuwa la Mkapa gharama ndogo linapendeza kuliko la Magufuli!Izo ni mbwembwe tuu mbona la mkapa lipo simpo tuu watu hawasemii
Kwani lazy anawezaje kuthreat vitu vyote hivyo?This is very good. We have to protect Kenyan industries, Kenyan farmers and Kenyan airline. Tunawapenda ndugu zetu lakini sio kiasi hiki cha kuwaruhusu kuuwa industries zetu.




Hawawezi, kwanza wamepagawa kuona ndege mbili kubwa zinaongozanaMulianzishe dude...mnapumzi sasa? Wakati mnakufa njaaa





Northern Korea ndo wana GDP ndogo kuliko KenyaMfano mzuri ni China huwa anafanya devaluation ili kuongeza exportation, lkn haina mana kuwa uchumi wake ninmdgo.
Value ya currency ni namba tu, ukiangalia south korea wapo mpka na 100000, ukitaka uwe chizi jaribu kulinganisha izo namba ujione unauchumi mkubwa kuliko s.korea








Mkapa co Magufuli mkuu, hapa anaongelewa mwamba yn ukitoa Nyerere anafuata yeye, but cna tatizo na kabuli, huwa c complicate makabuli.Izo ni mbwembwe tuu mbona la mkapa lipo simpo tuu watu hawasemii
Sasa subiri 14× a week ndo utajua ujuiair tanzania aka wings of kilimanjaro are only flying coffins. hamuna ubunifu kwenye hii fani, kwenyu hii ni jambo geni sana. tuulize sisi watu wenye uzoefu katika hii sector. tuna tesa hadi anga ya juu




