Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wewe huoni kwamba barabara mbaya pia ilikuwa inachangua ukali wa baa la njaa? Barabara ambayo haipitiki na inachukua siku nne kutoka Nairobi hadi Turkana saa hii inachukua chini ya masaa 18 kutoka Nairobi hadi Turkana.
Itasaidiaje kupunguza jangwa/ukame ambao ndio sababu kubwa ya njaa na vifo?
 
Yani wadanganyika wazalendo wanafurahia kifo cha magu miezi sitaa baadae
Screenshot_20211013-155013.jpg
 
Itasaidiaje kupunguza jangwa/ukame ambao ndio sababu kubwa ya njaa na vifo?
Swali tu, Saudi Arabia ni Jangwa na hawapandi chakula ila wanalisha watu wao wote. Wanawezaje kufanya hivyo? Hakuna Wakulima wengi huko Saudi Arabia ila wanakula na kukunywa. Saudi Arabia inaimport chakula chao karibu chote. Serikali ya Saudi Arabia ingewezaje kudistribute chakula hicho kwa raia wake bila barabara nzuri? Barabara mbaya kinaongeza makali ya njaa. Simple tu maana hata serikali ikitaka kusaidia wananchi wake, lorry za chakula zinaharibikia njiani, au zinakwama matopeni. Zinapata hitilafu kwa sababu ya barabara mbovu. Puncture na kuvunjika kwa shock absorber ni baadhi ya matatizo yanayozikumba malorry yanayosafiri kwenye barabara mbovu. Kama inachukua siku nne badala ya masaa 18, basi hata baadhi ya vyakula vitakuwa vimeharibikia njiani kwa mfano maziwa au samaki, au mboga kama sukuma wiki. Usipuuze umuhimu wa barabara ya lami kwa kupunguza makali ya njaa. Benefit yake ni indirect lakini itaonekana polepole. Pia barabara mbaya ilikuwa inawafanya Wakenya katika maeneo mengine kutotangamana na Waturkana. Sasa hivi Waturkana wanaweza kusafiri virahisi hadi maeneo mengine ya Kenya na kufanya biashara. Vile vile Wakenya kutoka maeneno mengine ya nchi wanaweza kuenda Turkana na kuinvest katika biashara kama hoteli na kadhalika. Usipuuze the economic benefits ya hii barabara. Manufaa yataonekana baada ya miaka mitano au kumi.
 
Hahahaha, KQ ikipoteza routes za Tanzania ni sawa na mvulana kukatwa sehemu zake za Siri?
Hata mimi nimeshangaa Uhuru anafanya nini? Anawezaje kuwaruhusu malazy kuja Nairobi kuuwa KQ? Hio haikubaliki. Wakenya watazua rabsha wakifahamu kuwa TZ inajaribu kuuwa KQ.
 
Yaani, sasa hivi nakamata mmoja mmoja, Nampa vitu, anakaa pembeni, anavutwa mwingine.

Taratibu, no stress no hasira, mpaka teheshimiaene humu... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa wanapenda kujitia hamnazo lakini pamoja na kujitia kote hamnazo bado wanapewa kichapo humu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, KQ ikipoteza routes za Tanzania ni sawa na mvulana kukatwa sehemu zake za Siri?
Unajua kwenye uchumi, vitu vyote vipo connected, KQ kutokana na matatizo ilizo nazo, including madeni makubwa, uje jumlisha madeni ya Kenya in general, haiwezi ku afford ku compete na Air Tanzania.

Sisi tutaweka bei affordable na hawato weza ku follow. Matokeo yake, watapoteza hii route.
 
Unajua kwenye uchumi, vitu vyote vipo connected, KQ kutokana na matatizo ilizo nazo, including madeni makubwa, uje jumlisha madeni ya Kenya in general, haiwezi ku afford ku compete na Air Tanzania.

Sisi tutaweka bei ndogo na hawato weza ku follow. Matokeo yake, watapoteza hii route.
Yaani mtu aache kupanda Airbus mpya ya kisasa eti apande Ile mikweche iliyo shikizwa na gundi kwenye bawa! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani mtu aache kupanda Airbus mpya ya kisasa eti apande Ile mikweche iliyo shikizwa na gundi kwenye bawa! [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka a while back, nilikuwa na route sana za Uganda kwa basi.

Unakuta unaondoka Dar na basi Akamba, zuri kabisa, kitu AC safi. Mkifika Nairobi mna badilishiwa basi na kupewa basi la Akamba bovu yaani, vioo vina piga kelele hatari.

Ukiuliza, wana kwambia barabara za Kenya na Uganda mbaya, na pia wakipeleka basi baya Tz hato panda mtu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom