Tz kukiwa na upungufu wa chakula baadhi ya maeneo serikali inapeleka chakula kwa hela yake from national food reserves to wananchi husika. Pia uarabuni ni jangwa miaka yote hatujawahi kusikia wanakufa njaa.Hakuna kitu katika somo la economy linalosema a governmet(feed its people)..
Rudi shule tena mzee au wewe utuletee siku tz serekali imelisha watu

