Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu pande za uswazi Yombo, yn ni lami tupu, leo nimetembelea uswahilini aisee hatari ila kuna baadhi ya roads zimesimama wakazi wanasema keshakufa baba yetu hakuna kitakacho endelea
IMG_20211012_185423_648.jpg
IMG_20211012_185321_462.jpg
IMG_20211012_185244_895.jpg
IMG_20211012_185056_014.jpg
 
wazee ishu ya borders huko baharini kenya vs somalia.. so kenya imekuwa landlocked au kuna kaspace wameachiwa

kama imekuwa landlocked, ngoja tufanye mpango na somalia tuwe na port alliance ushirikiano na somalia

afu lamu & mombasa ports zao zitakuwaje sasa.. ah ningekuwa rais somalia ningeamza kuwa na nuclear weapon kuwashughulia wakenya huko kwenye mipaka baharin
 
Hawa tunaenda nao bampa to bampa mpk waondoke wote humu ndani tubaki pekeetu tupeane vitasa, niligindua kwamba wakunya ili waelewe inapasa uende nao kichizi chizi vile wao wako, jamaa co wastaarabu kabisa, hawawezi ku debate kistaarabu, so tunapiga panapouma hata kule twitter mwendo ni huu huu vitasa tuu
Staili yako ya KataFunua wakunyaland nimeipenda
 
wazee ishu ya borders huko baharini kenya vs somalia.. so kenya imekuwa landlocked au kuna kaspace wameachiwa

kama imekuwa landlocked, ngoja tufanye mpango na somalia tuwe na port alliance ushirikiano na somalia

afu lamu & mombasa ports zao zitakuwaje sasa.. ah ningekuwa rais somalia ningeamza kuwa na nuclear weapon kuwashughulia wakenya huko kwenye mipaka baharin

bahati yao kuna kaspace wameachiwa.. thou somalia didn’t fully get what they fought for and kenya took something less than what they wanted before
IMG_2317.png
 
Back
Top Bottom