bro, not Tz na Kenya at all, zote are in the same bracket, Tz is even worse usijitekenye., Tz with a GDP 0f $65B na iko na watu fukara wa kutupwa kwa wingi, population kubwa pato kidogo, tofauti iko wapi na Nigeria? Elewa Tanzania, Nigeria, Angola, Ghana, Kenya na SA are in the same bracket as far as GDP is concerned in relation na standards za raiya wake ilivyo, usijaribu kujikweza wewe team Man Useless., ungesema nikama tu kuweka Nigeria vs Mauritius, ama Kenya na Seychelles or Botswana, hizi taifa ndogo flourish kisa small population in relation to the size of GDP,.., uwezi kulinganisha China na Singapore or Qatar., Singapore and Qatar are first world countries, China ni developing, na ni upper middle income., licha ya GDP yao kubwa na ya pili duniani..., jifunze economics, wacha kukurupuka kiushabiki ukitetea Tanzania fukara, jikubalini tu sio dhambi.,